-
Mchango wa NATO katika kuimarika magaidi barani Afrika
Mar 07, 2023 22:55Uwepo wa makundi ya kigaidi amilifu katika maeneo mbalibali barani Afrika hususan katika eneo la Sahel Afrika umekuwa tatizo na kikwazo cha kurejesha amani katika mataifa ya aeneo hilo.
-
Mapitio ya mkutano wa kwanza wa ushirikiano wa kiuchumi wa Iran na mataifa ya Afrika magharibi
Mar 07, 2023 07:58Katika siku ya kwanza ya mkutano wa ushirikiano wa kiuchumi wa Iran na mataifa ya Afrika magharibi kumetiwa saini hati 20 za ushirikiano katika nyuga tofauti zikiwemo za kisiasa, kiuchumi, kibiashara na kiutalii.
-
Mzozo katika kikao cha G20
Mar 06, 2023 23:01Kikao cha kundi la G20 ambacho kiliitishwa kwa kutiliwa mkazo suala la vita vya Ukraine, kimedhihirisha mzozo na hitilafu kubwa zilizopo baina ya nchi wanachama katika masuala tofauti ya kisiasa na kiuchumi kiasi kwamba kikao hicho kilimalizika bila ya kufikiwa makubaliano yoyote.
-
Mazungumzo ya Biden na Scholz: Kuongezeka mashinikizo dhidi ya Russia na misaada ya silaha kwa Ukraine
Mar 06, 2023 06:41Kitengo cha upashaji habari cha Ikulu ya Marekani, White House siku ya Ijumaa kilitoa taarifa baada ya mazungumzo ya rais wa nchi hiyo Joe Biden na kansela wa Ujerumani Olaf Scholz kikisema kuwa, nchi hizo mbili zimejipanga kuendelea na siasa za vvikwazo dhidi ya Russia hadi muda wowote zitakaohisi unafaa.
-
Faini ya dola bilioni 18 inaisubiri Pakistan
Mar 05, 2023 22:58Onyo lililotolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwamba kama serikali ya Pakistan haitochukua msimamo ulio wazi kuhusu mkataba wa kununua gesi kutoka Iran, basi kuna hatari Islamabad ikalazimika kulipa faini ya dola bilioni 18. Inaonekana wazi kuwa, viongozi wa Pakistan wamelichukulia kwa uzito onyo hilo.
-
Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela kuhusu uhusiano wa jadi na Iran
Mar 05, 2023 05:12Ivan Khel Pinto, Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesema katika mahojiano aliyofanyiwa na televisheni ya Al Mayadeen kwamba, uhusiano mzuri wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa muda mrefu, ni wa jadi na ni mkubwa.
-
Safari ya Grossi mjini Tehran katika kukaribia kikao cha Bodi ya Magavana ya IAEA
Mar 05, 2023 00:30Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) Ijumaa aliwasili hapa Tehran kwa minajili ya kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Onyo la Iran dhidi ya tishio au makosa yoyote ya utawala wa Kizayuni
Mar 04, 2023 05:14Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameonya kwamba Iran itatoa jibu kali kwa tishio au makosa yoyote ya utawala wa Kizayuni wa Israel popote pale na wakati wowote.
-
Ben Gvir atoa amri ya Wazayuni wenzake kupigwa risasi
Mar 03, 2023 23:19Itamar Ben Gvir, kiongozi wa chama cha Mayahudi wenye misimamo mikali ambaye pia ni Waziri wa Usalama wa Ndani katika baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu, tangu apewe nafasi hiyo amekuwa akiwapa silaha walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuwachochea wawaue kiholela Wapalestina wasio na hatia.
-
Umoja wa Mataifa waanzisha uchunguzi katika mauaji ya watu wa asili wa Kanada
Mar 03, 2023 05:25Kufichuliwa mauaji ya wakazi asilia wa Kanada, hasa watoto, kumeibua kashfa kubwa dhidi ya nchi hiyo inayodai kuwa mtetezi wa haki za binadamu ulimwenguni. Kuhusiana na hilo, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuanza shughuli yake ya uchunguzi kuhusu mauaji hayo ya kimbari ya watu asilia wa Kanada.