-
Kushindwa Trump katika "Kamari ya Jumamosi Adhuhuri"
Feb 17, 2025 04:31Jumamosi adhuhuri pia imekuja na kupita na licha ya Hamas kukataa kuwaachilia huru mateka wote wa Kizayuni kama alivyotaka Rais Donald Trump wa Marekani, rais huyo ameshindwa kutekeleza tishio lake la kuanzisha Jahannam huko Gaza.
-
Kumalizika mkutano wa 38 wa wakuu Umoja wa Afrika Addis Ababa
Feb 16, 2025 23:04Mkutano wa 38 wakuu wa Umoja wa Afrika ulimalizika jana katika makao makuu ya umoja huo mjini Addis Ababa Ethiopia.
-
Kuendelea upinzani mkubwa dhidi ya mpango wa Trump kuhamishwa kwa nguvu wakazi wa Gaza
Feb 16, 2025 10:21Katika muendelezo wa upinzani mkubwa dhidi ya mpango wa Trump wa kuwahamisha kwa nguvu watu wa Gaza, mbali na Waislamu, Wakristo pia wamepinga na kulalamikia mpango huo na kuonya dhidi ya matokeo yake mabaya.
-
Malengo maovu ya utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi
Feb 15, 2025 22:51Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendeleza mashambulizi ya kinyama katika maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Wito wa Hamas wa kuanzishwa harakati ya kimataifa ya kupinga mpango wa kuhamishwa kwa nguvu Wapalestina
Feb 15, 2025 08:02Harakati ya Mapambano yya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito kwa mataifa ya Kiarabu, Kiislamu na yaliyo huru duniani kujitokeza katika maandamano ya kupinga na kulaani mradi wa kuwaondoa kwa nguvu wananchi wa Palestina katika ardhi yao.
-
Utawala wa Kizayuni; muuaji wa 70% ya waandishi wa habari duniani
Feb 14, 2025 23:11Kamati ya Kulinda Waandishi wa Habari nchini Marekani sambamba na kutangaza kuwa, idadi kubwa ya waandishi wa habari waliuawa duniani kote mwaka jana imeeleza kwamba, utawala wa Kizayuni umehusika na mauaji ya takriban asilimia 70 ya waandishi hao.
-
Wanajeshi wa Ufaransa kutimuliwa pia nchini Senegal
Feb 14, 2025 09:02Ufaransa na Senegal zimeeleza kuwa zimeamua kuunda tume ikiwa ni katika fremu ya maandalizi ya kuondoka wanajeshi wa Ufaransa katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Malengo ya kisiasa na kiuchumi inayofuatilia Iran katika eneo la Amerika ya Latini
Feb 13, 2025 23:02Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Colombia wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu wakitilia mkazo kupanuliwa na kustawishwa uhusiano baina ya pande mbili.
-
Kujipa Marekani hadhi ya kipekee; mtazamo haribifu wenye madhara kwa dunia na hata kwa Marekani yenyewe
Feb 13, 2025 04:21Kujiona Marekani nchi ya kipekee yenye hadhi na ubora kuliko mataifa mengine yote, ni sera ambayo imekuwa na matokeo hasi na yenye madhara kwa dunia na vilevile kwa Marekani yenyewe.
-
Jibu la Iran kwa matamshi ya kiuhasama na yasiyo ya kidiplomasia ya Rais wa Marekani
Feb 12, 2025 22:56Katika ujumbe wake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilijibu matamshi ya kiuhasam na yasiyo ya kidiplomasia ya Rais wa Marekani, Donald Trump.