-
Hatua za awali za kumaliza vita ya Ukraine na mustakabali usiojulikana
Feb 12, 2025 09:12Baada ya Russia kumuachilia mfungwa Mmarekani, kitendo ambacho Rais wa Marekani alikielezea kama juhudi ya kumaliza vita vya Ukraine, Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, alitangaza kwamba yuko tayari kubadilishana ardhi na Russia.
-
Mpango wa Trump kwa ajili ya Gaza; njama za kuifuta Palestina
Feb 12, 2025 03:10Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria upinzani mkubwa wa nchi za eneo na kimataifa dhidi ya mpango haramu wa Rais wa Marekani kuhusu Gaza na kueleza kwamba, mpango huo wa kuwahamisha kwa nguvu watu wa Palestina kutoka Gaza kwa mujibu wa mpango wa kikoloni wa "kuifuta Palestina".
-
Maandamano makubwa ya wananchi wa Iran katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yana jumbe gani?
Feb 11, 2025 08:01Wananchi wa Iran walikuwa na mahudhurio makubwa katika maadhimisho ya mwaka wa 46 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Jibu la Russia kwa vitisho vya Trump dhidi ya BRICS
Feb 10, 2025 23:14Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetoa taarifa kuhusiana na tishio la Rais Donald Trump wa Marekani la kutoza ushuru wa asilimia 100 kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka nchi za BRICS iwapo dola itafutwa katika mabadilishano ya kibiashara ya nchi hizo, na kusisitiza kuwa ushirikiano wa nchi wanachama wa BRICS unalenga kuimarisha uwezo wa kijamii, kiuchumi na kibinadamu wa nchi hizo.
-
Juhudi za Trump za kufutililia mbali mpango wa kuundwa nchi huru ya Palestina
Feb 10, 2025 12:00Kuongezeka misaada ya silaha ya Rais Donald Trump wa Marekani kwa Israel pamoja na mpango wake wa kuwahamisha kwa nguvu wakazi wa Ukanda wa Gaza na kuwapeleka Misri na Jordan kunaonyesha kuwa moja ya vipaumbele vyake ni kubadili ramani ya eneo hilo na kuharibu kabisa mpango wa kuanzisha nchi huru ya Palestina.
-
Mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kikanda na duniani
Feb 09, 2025 23:10Leo Iran inaadhimisha miaka 46 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaliyotokea mwaka 1979 chini ya uongozi wa hayati Imam Ruhullah Khomeini. Matokeo na mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran daima yamekuwa na taathira kwa kanda ya Asia Magharibi na dunia kwa ujumla.
-
Suluhisho la kikanda ndiyo njia bora ya kumaliza mgogoro wa Kongo DR
Feb 09, 2025 07:17Wakuu wa nchi wanachama katika jumuiya mbili za kikanda za Mashariki na Kusini mwa Afrika, jana Jumamosi, wafanya mkutano wa aina yake katika mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam wakijaribu kutafuta suluhisho la kumaliza mgogoro wa mashariki mwa Kongo DR.
-
Ushiriki wa Nigeria katika BRICS ni muhimu, kwa nini?
Feb 08, 2025 22:51Uanachama wa Nigeria katika shirika la BRICS, kama "nchi mshirika" na yenye uchumi mkubwa zaidi katika bara la Afrika, ni suala muhimu na lenye taathira kwa bara hilo na mataifa yanayoinukia kiuchumi.
-
Kwa nini nchi za Kiafrika zinawafukuza wanajeshi wa Ufaransa?
Feb 08, 2025 02:11Domino ya kuwafukuza wanajeshi wa Ufaransa katika nchi za Kiafrika inaendelea, na katika wiki zijazo, vikosi vya jeshi la Ufaransa pia vitaondoka Ivory Coast.
-
Hamas ina uwezo gani wa kujijenga upya?
Feb 08, 2025 00:46Ikiwa ni katika kuendelea mwenendo wa kukiri uwezo wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) wa kujikarabati na kujijenga upya, duru za Kizayuni kwa mara nyingine tena zimetangaza kushangazwa na uwezo mkubwa wa kundi hilo la muqawama katika uwanja huo.