-
Rais wa Marekani anataka kunyakua Ukanda wa Gaza
Feb 07, 2025 08:40Katika taarifa isiyo na mfano wake na ya ghafla, Rais wa Marekani amesema mbele ya Waziri Mkuu wa Israel huko White House kwamba Marekani inanuia kuutwaa Ukanda wa Gaza na pia kuwa kuna uwezekano wa nchi hiyo kutambua rasmi udhibiti wa utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Sababu gani zimepelekea kuongezeka biashara ya nje ya Iran?
Feb 06, 2025 23:07Takwimu zinaonyesha kuwa, biashara ya nje ya Iran imefikia dola bilioni 104.
-
Donald Trump na kuanza tena sera iliyofeli ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran
Feb 06, 2025 08:57Jumanne ya Februari 4, 2025, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini hati ya utendaji ili kuendeleza sera za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran na kudai kwamba, "Yuko tayari kuzungumza na rais wa Iran."
-
Kwa nini Afrika Kusini inataka Marekani iwekewe vikwazo
Feb 05, 2025 23:01Waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha mauzo ya madini kwenda Marekani.
-
Iran na Iraq katika mkondo wa kuongeza maelewano na ushirikiano wa pamoja
Feb 05, 2025 09:51Rais wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zinapasa kujiepusha na masuala yanayozusha hitilafu na badala yake zinapasa kushikama na kuwa kitu kimoja; na kwa njia hiyo ni wazi kuwa njama za maadui na wale wanaozitakia mabaya wenzao hazitafanikiwa.
-
Kwa nini mataifa ya Ulaya yanaunga mkono chuki dhidi Uislamu?
Feb 04, 2025 23:09Ikiwa ni katika muendelezo wa siasa za chuki dhidi ya Uislamu mwanasiasa mwenye uraia pacha wa Sweden na Denmark na mwenye chuki dhidi ya Uislamu, Rasmus Paludan kwa mara nyingine tena ameivunjia heshima Qur'ani Tukufu kwa kuchoma moto nakala ya kitabu hicho kitakatifu cha Waislamu katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen.
-
Kuongezeka mashinikizo dhidi ya watetezi wa Palestina nchini Marekani katika muhula wa pili wa urais wa Trump
Feb 04, 2025 05:40Kwa kuanza muhula wa pili wa urais wa Donald Trump, pamoja na vitisho na hatua za serikali yake dhidi ya waungaji mkono wa Palestina, mashinikizo dhidi ya watu hao na harakati za ndani ya nchi hiyo pia zimeongezeka kwa kiasi kikubwa.
-
Vipi Canada na Mexico zimeingia katika vita vya kibiashara na Marekani?
Feb 03, 2025 22:54Baada ya Rais Donald Trump kuanzisha vita vya kibiashara dhidi ya Canada na Mexico kwa kuweka ushuru wa 25% kwa bidhaa zinazoagizwa kutoka katika nchi hizo, Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau ametangaza ushuru wa 25% kwa bidhaa zilizoagizwa kutoka Merika kama hatua ya kulipiza kisasi.
-
Mafanikio mapya ya kiulinzi ya Iran yana jumbe gani?
Feb 03, 2025 08:51Ikiwa ni katika muendelezo wa kuzindua mafanikio ya kiulinzi ya Iran, Jumapili ya jana tarehe Pili Februari, Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kilizindua kituo kipya cha chini ya ardhi.
-
Hali ya hatari Myanmar yarefushwa, Waislamu wa Rohingya wanaendelea kuteseka
Feb 02, 2025 22:58Utawala wa kijeshi wa Myanmar umerefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi sita zaidi, siku moja kabla ya kuadhimisha mwaka wa nne wa mapinduzi nchini humo.