Uchambuzi
  • Kwa nini Trump anapinga sarafu moja ya BRICS?

    Kwa nini Trump anapinga sarafu moja ya BRICS?

    Feb 01, 2025 23:17

    Donald Trump amezitishia nchi wanachama wa kundi la BRICS na kuandika katika mtandao wake makhususi wa kijamii wa Truth Social kwamba atazitoza nchi hizo ushuru wa asilimia 100 ikiwa zitazindua sarafu yao ya pamoja.

  • Mwisho wa domino ya kuwafukuza wanajeshi wa Ufaransa kutoka Afrika ya Kati

    Mwisho wa domino ya kuwafukuza wanajeshi wa Ufaransa kutoka Afrika ya Kati

    Feb 01, 2025 05:18

    Msemaji wa jeshi la Chad ametangaza kwamba nchi hiyo ilipokea kambi ya mwisho ya jeshi la Ufaransa Alhamisi, Januari 30.

  • Kuhudhuria kwa mara ya kwanza Iran vikao vya Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia (EAEU) ikiwa mwanachama mtazamaji

    Kuhudhuria kwa mara ya kwanza Iran vikao vya Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia (EAEU) ikiwa mwanachama mtazamaji

    Jan 31, 2025 23:00

    Baada ya Iran kukubaliwa kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia, Eurasian Economic Union (EAEU) mazingira mazuri yatakuwa yameandaliwa kwa ajili ya kustawishwa na kuongezwa kwa kasi mabadilishano ya kibiashara na mashirikiano ya kiuchumi kati ya pande mbili, na kuongezeka manufaa zitakayopata pande zote mbili.

  • Kwa nini utawala wa Kizayuni unaendeleza ukaliaji ardhi kwa mabavu na vita kusini mwa Lebanon?

    Kwa nini utawala wa Kizayuni unaendeleza ukaliaji ardhi kwa mabavu na vita kusini mwa Lebanon?

    Jan 31, 2025 08:44

    Najib Miqati Waziri Mkuu wa serikali ya mshikizo ya Lebanon amesisitiza kuwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni yanakiuka wazi mamlaka ya kujitawala ya Lebabon na ni ukiukaji mkubwa wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa baina ya pande mbili.

  • Kugonga mwamba mpango wa Serikali ya Marekani wa kuiwekea vikwazo ICC

    Kugonga mwamba mpango wa Serikali ya Marekani wa kuiwekea vikwazo ICC

    Jan 30, 2025 23:19

    Baraza la Seneti la Marekani halijauidhinisha mswada wa vikwazo dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, vikwazo ambavyo ni jibu la utoaji vitisho linalolenga kuiadhibu mahakama hiyo kwa uamuzi wake wa kutoa hati za kukamatwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na aliyekuwa waziri wa vita wa utawala huo wa Kizayuni Yoav Gallant.

  • Ukingo wa Magharibi, uwanja mpya baada ya Ghaza wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Ukingo wa Magharibi, uwanja mpya baada ya Ghaza wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Jan 30, 2025 04:50

    Kufuatia kusitishwa mapigano katika maeneo ya kusini mwa Lebanon na Ukanda wa Ghaza, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeanzisha operesheni mpya katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Operesheni hiyo ambayo malengo yake halisi hayajatajwa, imezusha wasiwasi kutokana na kuendelea kwake sambamba na tangazo lililotolewa na Trump la kutaka Wapalestina wa Ghaza wahamishiwe katika nchi za Misri na Jordan.

  • Kwa nini dunia inaendelea kupinga mpango wa kuwalazimisha wakazi wa Gaza kuhama nchi yao?

    Kwa nini dunia inaendelea kupinga mpango wa kuwalazimisha wakazi wa Gaza kuhama nchi yao?

    Jan 29, 2025 22:23

    Upinzani dhidi ya mpango wa Donald Trump wa kuwalazimisha Wapalestina wa Ukanda wa Gaza kuhama eneo hilo unaendelea. Umoja wa Mataifa pia umepinga suala hilo.

  • Uungaji mkono wa Marekani kwa hatua ya utawala wa Kizayuni dhidi ya UNRWA

    Uungaji mkono wa Marekani kwa hatua ya utawala wa Kizayuni dhidi ya UNRWA

    Jan 29, 2025 08:47

    Rais Donald Trump wa Marekani ameendeleza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa kufuta idhini ya serikali ya Biden kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), na kutangaza kuwa anaunga mkono uamuzi wa utawala huo wa kufunga ofisi ya UNRWA huko Quds Mashariki inayokaliwa kwa mabavu.

  • Huduma mpya za Trump kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Huduma mpya za Trump kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jan 28, 2025 23:05

    Katika siku za mwanzo za muhula wake wa pili wa uongozi, Donald Trump, rais mpya wa Marekani, kwa mara nyingine tena amefuata njia ile ile aliyopitia katika muhula wa kwanza wa uongozi wake. Katika muhula wa kwanza, Trump alitoa uungaji mkono mkubwa na ambao haujashuhudiwa kwa utawala wa Kizayuni na kuchukua hatua mpya sambamba na kuiunga mkono Israel na kuwapinga Wapalestina. Vitendo na misimamo hii imekutana na majibu chanya kutoka Tel Aviv.