-
Kwa nini nchi za Ulaya zitashindwa tu katika kamari na Trump
Feb 21, 2025 09:20Kikao cha viongozi wa nchi kadhaa za Ulaya ambacho kilifanyika hivi karibuni huko Paris kuhusu mgogoro wa Ukraine kilimalizika bila natija yoyote.
-
Matakwa ya mashirika ya haki za binadamu ya kutopatiwa Israel vipuri vya ndege za kivita za F-35
Feb 20, 2025 22:53Muungano wa Kimataifa wa mashirika 232 ya kutetea haki za binadamu umezitaka nchi mbalimbali zinazohusika katika uundaji za ndege za kivita aina ya F-35 kuacha kuipatia Israel vipuri vya ndege hizo.
-
Kwa nini Iran inakaribisha kuimarisha na kupanua uhusiano na nchi jirani?
Feb 20, 2025 07:02Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni amekutana na kuzungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Russia, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Azerbaijan, Waziri Mkuu wa Tajikistan na Naibu Mkuu wa Baraza la Mawaziri la Turkmenistan. Mazungumzo haya yamefanyika pambizoni mwa Mkutano wa Tatu wa Kiuchumi wa Eneo la Kaspi hapa mjini Tehran.
-
Kuendelea kushtakiwa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina
Feb 19, 2025 23:04Gideon Sa’ar Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala vamizi wa Israel ameshtakiwa kwa kutenda jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.
-
Abbas Araghchi na Katibu Mkuu wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi walijadili mambo gani?
Feb 19, 2025 08:57Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekumbusha kuhusu uungaji mkono ulioonyeshwa na nchi za Kiarabu na Kiislamu kwa hatua ya maana iliyochukuliwa na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC ya kukabiliana na mpango wa pamoja wa Marekani na utawala wa Kizayuni unaolenga kuifuta Palestina, na akabainisha kwamba: "Ulimwengu wa Kiislamu unapaswa kuiunga mkono Palestina kwa msimamo thabiti."
-
Kushiriki Iran katika "Mkutano wa Nchi za Bahari ya Hindi" kuna umuhimu gani?
Feb 18, 2025 23:05Duru ya Nane ya Mkutano wa Nchi za Bahari ya Hindi chini ya kauli mbiu "Kuelekea Upeo Mpya wa Ushirikiano wa Baharini" imefanyika tarehe 16 na 17 mwezi huu wa Februari huko Oman kwa kuhudhuriwa na viongozi wa ngazi ya juu wa nchi 20 wanachama. Oman, India na Singapore kwa pamoja zilikuwa wenyeji wa kongamano hilo.
-
Uungaji mkono wa viongozi wa Afrika kwa Palestina na kulaaniwa vikali jinai za utawala wa Kizayuni
Feb 18, 2025 08:39Wakuu wa Umoja wa Afrika (AU) wametangaza kuiunga mkono Palestina na kulaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni. Mkutano wa 38 wa Umoja wa Afrika umefanyika Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia.
-
Je, BRICS inafuatilia sera zipi katika duru hii mpya?
Feb 18, 2025 01:01Brazil, ikiwa mwenyekiti mpya wa kundi la BRICS, imefafanua mipango ya kundi hili katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kibiashara, kisiasa na kiusalama.
-
Kushindwa Trump katika "Kamari ya Jumamosi Adhuhuri"
Feb 17, 2025 04:31Jumamosi adhuhuri pia imekuja na kupita na licha ya Hamas kukataa kuwaachilia huru mateka wote wa Kizayuni kama alivyotaka Rais Donald Trump wa Marekani, rais huyo ameshindwa kutekeleza tishio lake la kuanzisha Jahannam huko Gaza.
-
Kumalizika mkutano wa 38 wa wakuu Umoja wa Afrika Addis Ababa
Feb 16, 2025 23:04Mkutano wa 38 wakuu wa Umoja wa Afrika ulimalizika jana katika makao makuu ya umoja huo mjini Addis Ababa Ethiopia.