-
Safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran mjini Kabul
Jan 28, 2025 07:04Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amefanya safari yake ya kwanza rasmi mjini Kabul tangu wanamgambo wa Taliban waliporejea tena madarakani nchini Afghanistan Agosti 2021.
-
Kwa nini Trump hastahamili kuwepo kwa wahamiaji Waislamu huko Marekani?
Jan 27, 2025 23:23Moja ya amri tisa za Donald Trump katika siku ya kwanza ya uongozi wake ni kupitiwa upya sheria ya kurejesha marufuku ya Waislamu kuingia Marekani, suala ambalo iwapo litaidhinishwa na kutekelezwa, litakuwa na madhara makubwa kwa wahamiaji Waislamu nchini Marekani na hata waombaji visa Waislamu.
-
"Walituona kama familia yao"; Mateka wa Israel wamesema nini kuhusu mwenendo wa Kiislamu wa askari wa Hamas?
Jan 27, 2025 02:30Ulinganisho wa hali ya wafungwa wa Kipalestina walioachiliwa huru na ile ya mateka wa Israel waliokuwa wakishikiliwa na harakati za ukombozi wa Palestina unaonyesha mienendo ya kibinadamu ya wanamuqawama na ushindi wao katika masuala mengine ya vita vya Gaza.
-
Uroho wa Trump katika muhula wa pili wa urais wake
Jan 27, 2025 01:11Rais Donald Trump wa Marekani ameanza muhula wake wa pili wa uongozi huku akiweka hadharani uroho wake wa kupora ardhi, biashara na fedha za mataifa mengine ambapo ametangaza wazi azma yake ya kutaka kunyakua na kuunganisha ardhi za nchi huru na Marekani na pia kuhodhi kandarasi zenye faida kubwa kutoka kwa washirika wa Washington.
-
Kwa nini utawala wa Kizayuni hautekelezi makubaliano ya kuondoka Lebanon?
Jan 26, 2025 08:57Utawala wa Kizayuni baada ya kukabiliwa na upinzani mkubwa kutokana na kukataa kuondoa askari wake kusini mwa Lebanon katika muda uliopangwa, sasa umeanza kutoa tuhuma za uongo dhidi ya Iran.
-
Sababu za kukua uchumi wa Iran licha ya kukabiliwa na vikwazo
Jan 25, 2025 23:13Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imestawi pakubwa kiuchumi licha ya vikwazo na sera za Marekani na nchi za Magharibi dhidi yake.
-
Kwa nini Araqchi ametaja matamshi ya Guterres kuhusu Iran kuwa ni ya kifidhuli?
Jan 25, 2025 05:24Sayyid Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema akijibu hotuba ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran kwamba: "Kufungamana kwa muda mrefu Iran na mfumo wa kimataifa wa kutoeneza silaha za maangamizi kuko wazi kwa kila mtu."
-
Changamoto zinazoikabili Ulaya mbele ya Sera za Trump: Wasiwasi na wahka
Jan 24, 2025 23:30Wakati Donald Trump akianza muhula wake wa pili kama Rais wa Marekani, nchi za Ulaya zimeingiwa na wasiwasi na wahka mkubwa kuhusu sera zake. Sasa, maafisa wa nchi za Ulaya wanatafuta njia za kushughulikia changamoto zinazojitokeza baina pande hizo mbili, kuanzia kwenye vitisho vya kibiashara hadi masuala ya usalama.
-
Sababu gani zimepelekea kuongezeka mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan?
Jan 24, 2025 08:51Katika siku za hivi karibuni, mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na walowezi dhidi ya Wapalestina wanaoishi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan yameongezeka.
-
Matokeo ya usitishaji vita vya Gaza kwa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Jan 24, 2025 00:02Jeshi na baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni wamekabiliwa na hali mbaya kutokana na matokeo ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.