-
Viongozi wa Afrika watangaza mshikamano na watu wa Palestina
Feb 17, 2026 04:16Viongozi wa nchi za Afrika wametangaza mshikamano wao na watu wa Palestina na haki yao ya kujitawala.
-
Mijibizo dhidi ya njama za Israel za kuendeleza uporaji na ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Ukingo wa Magharibi
Feb 16, 2026 22:54Makundi ya Wapalestina na nchi kadhaa za eneo zimetoa mjibizo kwa mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuvamia na kuyakalia kwa mabavu maeneo kadhaa ya ardhi za Ukingo wa Magharibi, zikisisitiza kwamba, huo ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Sisitizo la Iran la kuendeleza mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Lango-bahari la Hormuz
Feb 16, 2026 07:37Wakati mivutano kati ya Iran na Marekani inazidi kuongezeka, Tehran imesisitiza kuwa, machaguo yake yote yako mezani, licha ya mazungumzo yanayoendelea baina yake na Washington.
-
Je, China ina msimamo gani kuhusu hatua mpya za utawala wa Israel katika Ukingo wa Magharibi?
Feb 16, 2026 00:05China sambamba na kuashiria kuidhinishwa kanuni mpya na baraza la mawaziri la usalama la Israel ili kuimarisha udhibiti wa Ukingo wa Magharibi, imeonya kuhusu matokeo mabaya ya hatua hiyo.
-
Kutoka Kongamano la Usalama hadi "Sarakasi ya Munich"; Msimamo wa Iran Kuhusu Matukio ya Ulaya
Feb 15, 2026 04:48Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: Ni jambo la kusikitisha kuona kwamba Kongamano la Usalama la Munich ambalo kwa kawaida huzingatiwa kuwa tukio muhimu na lenye hadhi kubwa, limegeuka kuwa "sarakasi ya Munich" kuhusu masuala ya Iran.
-
Ubepari na ukosefu wa utulivu wa kijamii
Feb 14, 2026 23:18Uhusiano kati ya ubepari na ukosefu wa utulivu wa kijamii ni mojawapo ya mada muhimu katika uwanja wa sayansi za jamii.
-
Je dunia kweli imekubali uongozi wa Marekani?
Feb 14, 2026 07:12Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amedai dunia imekaribisha nafasi ya uongozi wa Marekani.
-
Machungu ya ukoloni; safari za kifo na jinai za kikatili za Ufaransa nchini Madagascar
Feb 13, 2026 22:48Madagascar, kisiwa kikubwa zaidi barani Afrika na makao ya jamii ya Malagasy, iliingia katika moja ya vipindi vya giza zaidi katika historia yake mwishoni mwa karne ya 19.
-
Kwa nini Grossi amekiri haki ya Iran ya kurutubisha urani?
Feb 13, 2026 07:51Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekiri kwamba, Iran kama nchi iliyotia saini Mkataba wa Kuzuia Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT), ina haki ya kurutubisha urani.
-
Nguvu ya majini ya Iran; mseto wa nguvu za kijeshi, diplomasia, teknolojia na maadili ya kibinadamu
Feb 12, 2026 22:30Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, uwepo wa meli za Iran katika bahari na maji ya kimataifa ni mseto wa nguvu za kijeshi na diplomasia ya baharini.