-
Iran imeweza vipi kuwa na nafasi ya juu katika nyanja za afya ya wanawake wajawazito?
Jan 03, 2025 10:49Moja ya masuala muhimu ambayo yameonekana katika miongo miwili iliyopita ni nafasi ya juu ya mfumo wa afya wa Iran kati ya nchi za kanda ya Asia Magharibi na dunia kwa ujumla.
-
Wanajeshi wa Ufaransa wamefukuzwa kutoka nchi gani za Kiafrika?
Jan 03, 2025 00:13Baada ya Mali, Niger, Burkina Faso, Chad na Senegal serikali ya Ivory Coast pia inataka kuondolewa na kufukuzwa wanajeshi wa Ufaransa katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Vikwazo vipya vya Washington dhidi ya Iran na Russia kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi wa Marekani
Jan 02, 2025 08:46Wizara ya Hazina ya Marekani ilitangaza katika taarifa yake Jumanne iliyopita kuwa: "Idara ya Udhibiti wa Mali za Kigeni (OFAC) imeiwekea vikwazo taasisi tanzu ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) na shirika tanzu la Idara ya Ujasusi ya Russia (GRU) yenye makao yake makuu mjini Moscow na mkurugenzi wake.
-
Himaya ya wananchi katika Ulimwengu wa Kiislamu kwa muqawama wa Palestina
Jan 01, 2025 04:08Mwaka mpya wa Miladia wa 2025 umeanza katika ulimwengu wa Kiislamu kwa himaya na uungaji mkono mkubwa wa wananchi kwa makundi ya wapiganaji wa Palestina na viongozi wa muqawama.
-
"Msimu wa Pili wa Vurugu" dhidi ya Wahamiaji huko Marekani
Dec 31, 2024 23:53Donald Trump anatazamiwa kuanza rasmi kuhudumu katika wadhifa wa urais wa Marekani tarehe 20 Januari, na anatarajia kuchukua hatua kubwa za kukatisha kasi ya uhamiaji na kuwafurusha wahamiaji haramu kutoka nchini humo.
-
Janga lingine; Kuporomoka kwa mfumo wa afya wa Gaza
Dec 31, 2024 10:48Msemaji wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametangaza kwamba mfumo wa afya na matibabu wa Gaza umeporomoka, akisema: juhudi zote za shirika hili kwa ajili ya kuhifadhi mfumo wa afya katika Gaza zimeenda na maji.
-
Taifa kubwa lenye mamia ya maelfu ya watu wasio na makazi
Dec 30, 2024 23:12Hali ya kiuchumi na kijamii imekuwa ngumu zaidi kwa raia wa Marekani, na idadi ya watu wasio na makazi katika nchi hiyo imefikia rekodi ya kihistoria katika miaka ya hivi karibuni.
-
Senegal; kituo kinachofuata cha kufukuzwa wanajeshi wa Ufaransa barani Afrika
Dec 30, 2024 04:42Ousmane Sonko,Waziri Mkuu wa Senegal amewaambia wabunge wa nchi hiyo kwamba wanajeshi wa Ufaransa lazima waondoke nchini humo na kwamba, kambi za kijeshi za kigeni katika nchi hiyo ya Kiafrika zitafungwa katika siku za usoni.
-
Masih Isa katika nchi yake ya Palestina; Wanaodai kuwa Wakristo wameketi Vatican
Dec 30, 2024 00:18“Kama Nabii Isa Masih (as), au Yesu Kristo kama anavyojulikana baina ya Wakristo, angekuwa miongoni mwetu hii leo, asingesita hata kidogo kupambana na vinara wa ukandamizaji na ubeberu duniani, na wala asingestahamili njaa na kulazimishwa kuhama kwa mabilioni ya watu ambao wamesukumwa vitani na madola ya kibeberu."
-
Makubaliano ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China ya kutekeleza mpango wa kistratejia wa nchi mbili
Dec 29, 2024 08:38Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China wametathimini kuwa chanya mchakato unaopiga hatua wa kutekeleza vipengee vya ushirikiano wa kistratejia katika miaka ya karibuni.