-
Polisi ya Iran yaangamiza magaidi 8 waliohusika na shambulizi la kigaidi Sistan na Baluchestan
Aug 27, 2025 07:16Polisi ya Iran imetoa kipigo kikubwa kwa magaidi wanaoungwa mkono na nchi ajinabi katika mkoa wa Sistan na Baluchestan, kusini-mashariki mwa Iran, kwa kuwaangamiza magaidi 8 waliohusika na shambulio baya la karibuni dhidi ya maafisa wa polisi katika mkoa huo.
-
Kwa nini Iran inataka hatua kali zaidi zichukuliwe na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu dhidi ya utawala wa Kizayuni?
Aug 27, 2025 03:44Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran karibuni hivi alifika mjini Jeddah, Saudia kwa ajili ya kushiriki katika kikao cha dharura cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu na kukitaja kikao hicho kuwa mtihani wa kihistoria kwa Umma wa Kiislamu na pengine miongoni mwa fursa chache za kuunda muungano wa kieneo na kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Araqchi: Hatua ya Australia ya kumfukuza balozi wa Iran ni kutaka kuiridhisha Israel
Aug 27, 2025 03:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelaani uamuzi wa Australia wa kumfukuza balozi wa Tehran nchini humo kutokana na madai eti ya mashambulizi kwenye vituo vya Kiyahudi, na kueleza kuwa ni kitendo cha kutaka kuiridhisha "serikali inayoongozwa na wahalifu wa kivita."
-
Iran yaapa kulipiza kisasi baada ya Australia kumfukuza balozi wake
Aug 26, 2025 11:43Iran imeapa kuchukua hatua zinazofaa za kulipiza kisasi baada ya Australia kumfukuza balozi wa Jamhuri ya Kiislamu nchini humo kwa madai ya "chuki dhidi ya Wayahudi," na kusisitiza kwamba vitendo vya ubaguzi wa kidini havina nafasi katika utamaduni, historia au imani ya taifa la Iran.
-
Iran yakanusha madai ya Trump kuhusu kutengeneza silaha za nyuklia
Aug 26, 2025 02:34Iran imekanusha tuhuma zilizotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa taifa hili, ikisema madai hayo yametegemea kauli zilizopitwa na wakati ambazo zilitolewa na raia wa kawaida wa Iran.
-
Pezeshkian amwambia Putin: Iran haijawahi kamwe kutaka kumiliki silaha za nyuklia
Aug 26, 2025 00:12Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Jumatatu alizungumza kwa simu na Rais Vladimir Putin wa Russiai na kumweleza kuwa Tehran haijawahi kutaka kumiliki wala haitatafuta silaha za nyuklia, akisisitiza msimamo wa muda mrefu wa Iran kuhusu mpango wake wa nyuklia.
-
Araghchi: Historia haitasamehe usuasuaji zaidi katika kukomesha janga la Gaza
Aug 25, 2025 08:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi ametoa wito wa kuchukuliwa hatua madhubuti za kimataifa kukomesha mauaji ya halaiki ya Israel yanayoendelea huko Gaza, akisema kuwa nchi zote zinapaswa kusimama upande sahihi wa historia ambao "hautasamehe" ucheleweshaji wowote zaidi wa kupunguza mateso ya watu wa Palestina.
-
Pezeshkian: Migawanyiko kati ya mataifa ya Kiislamu inainufaisha Israel pekee
Aug 25, 2025 07:30Rais wa Iran amesema umoja wa wananchi wa Iran na katika mataifa yote ya Kiislamu ndiyo kinga kuu dhidi ya vitisho vya maadui, akionya kuwa migawanyiko ni kwa maslahi ya Israel pekee.
-
Iran na Ulaya kuendelea na mazungumzo ya nyuklia mjini Geneva
Aug 25, 2025 07:03Iran na nchi tatu zenye nguvu za Ulaya - Ujerumani, Ufaransa na Uingereza - zinatazamiwa kuanza tena mazungumzo ya nyuklia huko Geneva, Uswisi siku ya Jumanne, yakiangazia maswala ya nyuklia na uondoaji wa vikwazo.
-
Kiongozi Muadhamu: Iran itasimama kidete dhidi ya matakwa ya Marekani
Aug 24, 2025 09:35Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani inahujumu na kukabiliana na Iran kwa sababu inataka taifa hili liwe tiifu kwake, lakini wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu watapambana vikali na “tusi hilo kubwa”.