-
Tehran: Mazungumzo ya nyuklia na US 'hayana maana' baada ya uvamizi wa Israel
Jun 14, 2025 03:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mazungumzo na Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran "hayana maana" kufuatia mashambulizi ya kinyama ya Israel, huku akiishutumu Washington kwa kuunga mkono uchokozi huo.
-
Operesheni ya Ahadi ya Kweli 3; Israel yakumbwa na wimbi la makombora ya Iran
Jun 13, 2025 23:21Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza kufanya wimbi la mashambulizi ya makombora dhidi ya Israel, ili kulipiza kisasi kufuatia hujuma za utawala huo wa Kizayuni dhidi ya ardhi ya Iran.
-
Araqchi: Tunachotegemea kwa Ulaya ni kulaani mashambulizi ya Israel
Jun 13, 2025 22:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Serikali na wananchi wa Iran wanataraji kuiona jamii ya kimataifa hususan Umoja wa Ulaya unalaani shambulio hilo la kijinai la Israel dhidi ya nchi yao.
-
Rais Pezeshkian: Jibu halali na kali la Iran litamfanya adui kujuta
Jun 13, 2025 10:38Katika ujumbe wake kwa taifa kufuatia jinai ya kinyama iliyofanywa na utawala wa Kizayuni usiku wa kumkia leo, Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza juu ya ulazima wa watu kujiepusha na uvumi katika vita vya kisaikolojia vya adui na kuwaunga mkono na kuwaamini viongozi na kusema: Taifa la Iran na maafisa wa nchi hawatonyamaza mbele ya jinai hiyo.
-
Iran yataka kikao cha Baraza la Usalama, UN yakubali
Jun 13, 2025 10:01Katika barua ya dharura kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Mwakilishi wa Kudumu wa Iran kwenye Umoja wa Mataifa huko New York Marekani ametoa mwito wa kufanyika kikao cha dharura cha kulaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya vituo vya nyuklia na mauaji ya maafisa wa kijeshi wa Iran. Kwa upande wake, Umoja wa Mataifa umekubali kuitisha kikao hicho cha dharura.
-
Ayatullah Khatami: Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran utamfanya adui ajute
Jun 13, 2025 09:23Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran ameeleza kuwa, kukabiliana na adui na kupambana na mvamizi na dhalimu ni miongoni mwa mafundisho ya Ghadir na akasema: "Kwa fadhila za Mwenyezi Mungu, mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu utamfanya adui ajutie."
-
Kiongozi Muadhamu ateua makamanda wapya kuchukua nafasi ya waliouawa shahidi na Israel
Jun 13, 2025 09:10Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameteua makamanda wapya wakuu wa jeshi kuchukua nafasi ya waliouliwa shahidi na utawala haramu wa Israel
-
Spika wa Bunge la Iran: Tutamaliza kazi ambayo Israel imeanzisha
Jun 13, 2025 08:54Mohammad Baqer Qalibaf Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani uchokozi wa Israel dhidi ya Iran na akatangaza kwamba sasa ni wakati kulipiza kisasi, na kisasi hiki kitatekelezwa.
-
Uwezo mkubwa wa Iran wa kutoa pigo kali kwa utawala wa Kizayuni
Jun 13, 2025 08:25Ukiwa unatekeleza mpango wa pamoja na Marekani chini ya taa ya kijani ya Washington, baada ya vitisho vya mara kwa mara vya kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran, hatimaye utawala wa Kizayuni umeanzisha mashambulizi ya anga dhidi ya shabaha mbalimbali nchini Iran alfajiri ya Ijumaa, Juni 13, ambayo yamepelekea kuuawa shahidi idadi kadhaa ya makamanda wakuu wa kijeshi na raia wa kawaida, wakiwemo wanawake na watoto.
-
Mngurumo wa mwisho wa Israel: 'Simba Anayeinukia' kusambaratishwa na kimbunga cha Iran
Jun 13, 2025 06:57Mashambulio ya utawala ghasibu wa Israel katika miji kadhaa ya Iran yamefanyika leo alfajiri huku mivutano na hali ya wasi wasi ikiendelea kuongezeka katika eneo, jambo linaloonyesha wazi nia ya Tel Aviv ya kuchochea machafuko katika eneo hili tata la Asia Magharibi, ambapo anga inabadilika haraka kwa maslahi ya mrengo wa muqawama.