-
Trump aiamuru Wizara ya Vita ya Marekani kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia
Oct 30, 2025 08:47Rais Donald Trump wa Marekani ameiagiza Wizara ya Vita ya nchi hiyo kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia; katika uamuzi ambao umewatia wasiwasi wapinzani wa silaha za maangamizi ya umati na wataalamu masuala ya usalama duniani.
-
Belarus yadhamiria kukuza uhusiano na Iran
Oct 30, 2025 08:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Belarus, Maxim Ryzhenkov, amesema nchi yake imedhamiria kukuza uhusiano na Iran katika nyanja mbalimbali.
-
Agizo la Trump la kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia; Dunia inarudi kwenye mashindano ya silaha za nyuklia?
Oct 30, 2025 08:22Rais Donald Trump wa Marekani ameamuru kuanzishwa tena majaribio ya silaha za nyuklia za nchi hiyo.
-
Grossi: Hakujaonekana ongezeko la urutubishaji urani nchini Iran
Oct 30, 2025 03:17Licha ya Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa la Nishati ya Atomiki IAEA kutangaza kuwa hakuna ongezeko lolote la urutubishaji urani nchini Iran, lakini wakati huo huo amedai kuwa kumeonaka harakati mpya katika vituo vya nyuklia vya Iran.
-
Marekani kuunda kikosi kipya cha kijeshi cha kukandamiza raia
Oct 30, 2025 03:17Wizara ya Vita ya Marekani imeamuru wanajeshi wa Gadi ya Taifa kuunda kikosi kipya haraka kwa ajili ya kukandamiza zaidi raia wanaolalamikia uongozi mbovu wa Trump katika majimbo yote ya Marekani. Kikosi hicho kitapewa nguvu zote za kukandamiza maandamano ya wananchi ya kupigania haki zao.
-
Miili 460 ya watu yapatikana hospitalini El Fasher, mawaziri wa Sudan na Misri wakutana
Oct 30, 2025 03:16Zaidi ya wagonjwa 460 na watu walioandamana nao wameripotiwa kupatikana wameuawa katika hospitali ya uzazi huku kukiwa na ripoti za kuendelea ukatili dhidi ya raia huko El Fasher, Sudan. Hayo yameripotiwa huku mawaziri wa Mambo ya Nje wa Sudan na Misri wakikutana kujadiliana hali ya eneo hilo la magharibi mwa Sudan.
-
Angola yatangaza kuwekeza kwenye satelaiti mpya
Oct 30, 2025 03:16Serikali ya Angola imetangaza kuwa itaongeza uwekezaji katika sekta ya mawasiliano ya simu, ambao utajumuisha mpango wa kurusha satelaiti mpya ya uchunguzi na kupanua mtandao wa taifa wa mawasiliano kama sehemu ya mkakati mpana wa kufaidika vizuri na teknolojia za kisasa zinazojumuisha watu wote nchini humo.
-
Belarusi: Tuna azma thabiti ya kupanua ushirikiano wetu na Iran
Oct 30, 2025 02:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Belarus amefanya mazungumzo na Naibu Waziri na Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kisiasa na Kimataifa cha Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran na kusisitiza nia na azma thabiti ya nchi yake ya kupanua ushirikiano na Iran.
-
Iran yalaani kuendelea mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wasio na ulinzi wa Gaza
Oct 30, 2025 01:54Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali mashambulizi makubwa ya anga ya utawala wa Israel katika maeneo mbalimbali ya kusini, katikati na kaskazini mwa Gaza.
-
Ripota wa UN amfumba mdomo vibaya Mzayuni
Oct 30, 2025 01:26Baada ya mwakilishi wa Israel katika Umoja wa Mataifa kumwita Francesca Albanese, ripota maalumu wa umoja huo katika masuala ya Palestina kuwa ni mchawi, Albanese ametoa majibu makali yaliyomziba mdomo Mzayuni huyo na kumfedhehesha mbele ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.