-
Mkasa wa ajali ya treni ya abiria Dodoma Tanzania +SAUTI
Jan 03, 2021 12:22Treni iliyokuwa na abiria wapatao mia saba iliyokuwa safarini kutoka jijini Dar es salaam kuelekea mkoani Kigoma nchini Tanzania imepata ajali katika eneo la Bahi mkoani Dodoma, na kusababisha vifo vya watu watatu na makumi ya wengine kujeruhiwa.
-
Raisi: Chanjo ya corona ya Iran hadi sasa haijaonesha athari yoyote hasi + Video
Dec 30, 2020 12:25Naibu Waziri wa Afya na Mafunzo ya Tiba wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hadi hivi sasa hakuna athari zozote hasi zilizooneshwa na watu waliofanyiwa majaribio hayo, licha ya kupita zaidi ya masaa 24 ya tangu kudungwa chanjo hiyo.
-
Rwanda kutotoa kibali kwa Chuo Kikuu au taasisi ya elimu isiyomiliki majengo +SAUTI
Dec 24, 2020 11:56Serikali ya Rwanda imesema kwamba hakuna atakayeruhusiwa tena kufungua chuo kikuu au taasisi huria ya masomo ya juu katika majengo ya kupanga.
-
Zanganeh: Iran inafanya juhudi za kuuza mafuta katika soko la kimataifa
Dec 22, 2020 04:04Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Tehran inafanya jitihada za kuuza mafuta katika soko lal kimataifa licha ya kuendelea vikwazo vya kidhulma vya Marekani dhidi ya nchi hii.
-
Vipimo vya COVID-19 kupatikana kwa wingi na rahisi nchini Rwanda + Sauti
Dec 18, 2020 09:55Serikali ya Rwanda imeziruhusu zahanati zote binafsi nchini humo kupima maambukizo ya kirusi cha corona tena kwa kutumia vifaa vya kisasa zaidi vinavyotoa majibu chini ya dakika 15. Rwanda inasema inafanya hivyo kukabiliana na kasi ya ongezeko zaidi la wagonjwa wa COVID-19 nchini humo. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.
-
Dua maalumu yafanyika kuiombea amani Zanzibar baada ya kuundwa serikali ya Umoja wa Kitaifa +SAUTI
Dec 11, 2020 11:08Baada ya kuundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, kumefanyika dua maalumu ya kuviombea amani visiwa hivyo. Akizungumza katika hafla hiyo, Rais wa Zanzibar Hussein Ali Mwinyi amesema wanasiasa wana dhima mbele ya Mwenye Mungu.
-
Watetezi wa haki za binadamu Uganda walalamikia kimya cha serikali kwa ukandamizaji wa vikosi vya usalama +SAUTI
Dec 11, 2020 10:55Wanasheria wanaotetea haki za binadamu nchini Uganda wamejitokeza na kuilaumu serikali ya nchi hiyo kwa kutovichukulia hatua vikosi vya usalama ambavyo vimekuwa vikifanya ukandamizaji na mauaji dhidi ya raia.
-
Vita vya kupambana na rushwa vinaendelea nchini Rwanda + Sauti
Dec 10, 2020 13:15Serikali ya Rwanda imesema kuwa, utashi wa serikali na mikakati inayoendelea kuwekwa, ndivyo vitakavyokuwa suluhisho la kutokomeza ulaji rushwa nchini humo. Licha ya Rwanda kutajwa na mashirika ya kimataifa kuwa miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri kwenye mapambano ya ulaji rushwa lakini bado nchi hiyo inasema juhudi kali za kuikabili rushwa zitaendelea. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi…
-
Wamarekani wenye asili ya Afrika wapatao 100 waiomba serikali ya Rwanda idhini ya kuishi nchini humo + SAUTI
Dec 08, 2020 13:02Wamarekani wenye asili wapatao 100 wameiomba serikali ya Rwanda idhini ya kuishi nchini humo
-
Maalim Seif Sharif Hamad aapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar (SUK) + SAUTI
Dec 08, 2020 12:51Maalim Seif Sharif Hamad ameapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Zanzibar (SUK)