-
Uonevu dhidi ya waandishi wa habari
Nov 03, 2017 05:44Baraza la habari Tanzania limepanga kuwapeleka mahakamani wale wanaotishia na kufanya uhalifu kwa wanahabari kwani ni jambo ambalo linaleta hofu kwao na kupelekea washindwe kufanya kazi kwa ufanisi Mwandishi wetu Silvano Kayera kutoka Dar es Salaam Tanzania anataarifa zaidi.
-
SAUTI: Wakenya wanaoishi nchini Tanzania wameshiriki uchaguzi wa marudio, huku wakiwataka wenzao (Kenya) kudumisha amani
Oct 26, 2017 13:06Wakenya wanaoishi nchini Tanzania wameshiriki zoezi la upigaji kura kwa ajili ya kumchagua rais wao katika uchaguzi wa rais wa marudio.
-
SAUTI: Rais John Magufuli wa Tanzania awatunuku zawadi waliohusika na ufuatiliaji wa sakata la makinikia
Oct 23, 2017 13:26Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewatunuku vyeti Maalum wajumbe wote wa kamati zilizofanya uchunguzi wa kiwango na thamani ya madini katika makinikia, pamoja na kufanya makubaliano kati ya serikali na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick Gold Corporation nchini humo.
-
SAUTI: Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya lawachagua viongozi wapya, watakiwa kutatua matatizo ya Waislamu
Oct 23, 2017 13:20Hatimaye Baraza Kuu la Waislamu nchini Kenya limefanya uchaguzi wa ndani ikiwa ni baada ya kupita zaidi ya miaka 10.
-
Kuendelea tafiti za kusaka Katiba Mpya nchini Tanzania + SAUTI
Oct 19, 2017 12:51Wananchi wa Tanzania wameendelea kuunga mkono kwa nguvu kubwa uundwaji wa katiba mpya inayotilia mkazo suala la uwajibikaji huku asilimia 79 wanataka mawaziri wanaoteuliwa wapitishwe na bunge na asilimia 64 wanataka wawe na uwezo wa kuwaondoa wabunge katikati ya uchaguzi iwapo hawatatekeleza majukumu yao ipasavyo Mwandishi wetu Silvano Kayera kutoka dar es salaam Tanzania ana taarifa zaidi…
-
Umuhimu wa Vyuo Vikuu vya Afrika kuwa na mtaala mmoja wa masomo + SAUTI
Oct 19, 2017 12:40Vyuo vikuu vya mataifa ya kusini mwa jangwa la Sahara vimetangaza kuwa viko tayari kutengeneza mitaala inayoendana na mahitaji ya jamii ya wakazi wa bara la Afrika. Watalaamu kutoka vyuo vikuu vya mataifa ya kusini mwa jangwa hilo wamesema, kanda hiyo inaendelea kuwa na matatizo ya maendeleo duni kutokana na wahitimu wa vyuo vikuu kutokuwa na uwezo wa kutatua matatizo yanayozikabili jamii zao. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylvanus Karemera anaripoti zaidi
-
SAUTI, Rais John Magufuli wa Tanzania awaapisha mawaziri na manaibu wao aliowateua hivi karibuni
Oct 09, 2017 13:07Rais John Pombe Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amewaapisha mawaziri na Manaibu Waziri ambao wametokana na mabadiliko madogo aliyoyafanya kwenye baraza lake la mawaziri.
-
SAUTI, Zaidi ya watu 20 wameuawa katika mashambulizi ya waasi wa ADF-NALU mjini Beni Kong DR
Oct 09, 2017 13:07Zaidi ya watu 20 wameripotiwa kuuawa na wanamgambo wa kundi la waasi la ADF-NALU wa nchini Uganda huko mjini Beni, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
SAUTI, Ripoti ya matukio ya Kiislamu, ni bomoabomoa itakavyoathiri misikiti TZ, kupuuzwa siku ya Ijumaa Kenya nk ....
Oct 06, 2017 13:11Ripoti ya matukio ya Kiislamu kuanzia nchini Tanzania ambapo Waislamu wameonyesha kusikitishwa kutokana na bomoabomoa inayoendelea jijini Dar es Salaam. Hatua hiyo imekuja baada ya kuwekwa alama ya x kwenye misikiti 16 kwa ajili ya kubomolewa.
-
SAUTI, Familia ya Tundu Lissu yakosoa mwendo wa kinyonga wa polisi Tanzania katika kufuatilia sakata la kupigwa risasi ndugu yao
Oct 05, 2017 12:22Familia ya mbunge wa Singida mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu, imelilalamikia jeshi la polisi la nchi hiyo kutokana na hatua yake ya kuchelewa katika kufanya uchunguzi wa tukio la kupigwa risasi ndugu yao.