-
Iran yalaani shambulio la kigaidi la Kabul, Afghanistan
Dec 28, 2017 12:49Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi la kujitolea mhanga dhidi ya kituo kimoja cha masuala ya kiutamaduni na ofisi ya Shirika la Habari la Afghan Voice News katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
-
40 wauawa katika shambulizi la kigaidi Kabul, Afghanistan
Dec 28, 2017 04:32Kwa akali watu 40 wameuwa na wengine 30 kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililoutikisa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
-
Larijani: Marekani ndio chimbuko la matatizo yote ya Afghanistan na Mashariki ya Kati
Dec 26, 2017 00:15Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani ndio chimbuko la matatizo yote ya Afghanistan na eneo la Mashariki ya Kati kwa ujumla.
-
Russia yatoa indhari: Kuna magaidi zaidi ya 10,000 wa DAESH (ISIS) nchini Afghanistan
Dec 24, 2017 13:10Mjumbe maalumu wa rais wa Russia nchini Afghanistan ametoa indhari kuwa wanachama zaidi ya elfu kumi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh hivi sasa wako nchini Afghanistan na kwamba idadi yao inazidi kuongezeka kutokana na kubadilisha maskani yake kundi hilo baada ya kusambaratishwa katika nchi za Syria na Iraq.
-
Kukiri shirika la Kimarekani kuwa limekwenda Afghanistan kupora madini
Dec 10, 2017 08:09Kwa mara ya kwanza kabisa, shirika la Kimarekani-Kizayuni la Blackwater limekiri kuwa madini ndiyo yaliyolivutia kwenda nchini Afghanistan.
-
ICC kuchunguza jinai za Marekani nchini Afghansitan
Nov 21, 2017 04:33Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imeanza kufanya uchunguzi kuhusu jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu zilizotekelezwa na majeshi yanayoongozwa na Marekani nchini Afghanistan.
-
Askari wa US 'wapewa kibali' cha kuwabaka watoto wadogo nchini Afghanistan
Nov 18, 2017 04:40Wanajeshi wa Marekani waliotumwa nchini Afghnistan walifahamishwa kuwa suala la vijana kubakwa hususan wa kiume wa nchi hiyo ni utamaduni unaokubalika.
-
Kutolewa mwito mwengine na serikali ya Afghanistan kwa Taliban wa kujiunga na mchakato wa mazungumzo ya amani
Nov 16, 2017 23:13Abdullah Abdullah, Mkuu wa Baraza la Utekelezaji la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Afghanistan, kwa mara nyengine tena ametoa wito wa kulitaka kundi la Taliban lijiunge na mchakato wa mazungumzo ya amani ya nchi hiyo.
-
Karzai: Marekani inashirikiana na ISIS (Daesh) nchini Afghanistan
Nov 12, 2017 10:11Rais wa zamani wa Afghanistan, Hamid Karzai amesema Marekani inafanya kazi bega kwa bega na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi hiyo inayoshuhudia vita na ukosefu wa uthabiti kwa miaka mingi sasa.
-
Russia: Uchunguzi ufanyike kuhusu shambulizi la anga la Marekani Kunduz, Afghanistan
Nov 12, 2017 01:04Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imewataka maafisa wa serikali ya Afghanistan na taasisi za kimaraifa za kutetea haki za binadamu wafanye uchunguzi kamili na usiopendelea upande wowote kuhusu shambulizi la anga la Marekani katika mji wa Kunduz nchini Afghanistan.