-
Marekani yaendelea kuua raia wasio na hatia nchini Afghanistan katika hujuma ya anga
Nov 09, 2017 04:23Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan UNAMA umesema mashambulizi ya anga ya hivi karibuni yaliyotekelezwa na ndege ya kivita ya Marekani yameua raia wasiopungua 10.
-
Abdullah Abdullah: Askari wa kigeni waondoke nchini Afghanistan, hatuwahitaji
Nov 01, 2017 09:09Mkuu wa Baraza la Utekelezaji la Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Afghanistan, Abdullah Abdullah amewataka askari wa kigeni wanaoongozwa na Marekani waondoke nchini humo.
-
Iran yalaani mashambulio ya kigaidi ndani ya misikiti nchini Afghanistan
Oct 21, 2017 04:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulio ya kigaidi yaliyolenga misikiti miwili katika miji ya Kabul na Ghor nchini Afghanistan hapo jana na kusababisha kuuawa na kujeruhiwa makumi ya waumini waliokuwemo ndani ya misikiti hiyo.
-
71 wauawa katika mashambulizi ya kigaidi ya Taliban, Afghanistan
Oct 17, 2017 11:41Watu wasiopungua 71 wameuawa huku wengine 200 wakijeruhiwa katika wimbi jipya la mashambulizi ya kigaidi ya kundi la Taliban nchini Afghanistan leo Jumanne.
-
Rais Rouhani: Matatizo ya Mashariki ya Kati yakiwemo ya Afghanistan ni ya kutatuliwa kieneo
Sep 12, 2017 00:10Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matatizo ya Mashariki ya Kati yakiwemo yale yanayoikabili Afghanistan yanaweza kupatiwa ufumbuzi kieneo na kwamba, katu matatizo hayo hayawezi kutatuliwa na maajinabi na madola kutoka nje ya eneo hili.
-
Marekani yaendeleza ukatili wake, yaua raia 30 Afghanistan
Aug 30, 2017 22:22Makumi ya raia wameuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na ndege ya kivita ya Marekani katika mkoa wa Logar, mashariki mwa Afghanistan.
-
14 wauawa, kujeruhiwa katika shambulizi karibu na ubalozi wa US, Kabul
Aug 29, 2017 03:12Habari kutoka Afghanistan zinasema, kwa akali watu watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia shambulizi la bomu lililotokea karibu na ubalozi wa Marekani mjini Kabul hii leo.
-
Askari wa jeshi la anga la Uingereza waungana na wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan
Aug 27, 2017 23:29Gazeti moja la kila wiki linalochapishwa nchini Uingereza limefichua kuwa kikosi maalumu cha askari wa jeshi la anga la nchi hiyo wanatazamia kuelekea Afghanistan ili kuunga mkono stratejia mpya ya kijeshi iliyotangazwa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kupambana na kile alichokitaja kuwa ugaidi huko Afghanistan.
-
Russia: Stratejia mpya ya US nchini Afghanistan, hatima isiyo na tija
Aug 24, 2017 09:49Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema stratejia mpya ya kijeshi ya Washington kuhusiana na Afghanistan itagonga mwamba kwa kuwa inasisitizia utumiaji wa mabavu.
-
Stratijia mpya ya kijeshi ya Marekani nchini Afghanistan
Aug 23, 2017 07:22Hatimaye baada ya miezi kadhaa ya mizozano katika timu ya usalama wa taifa ya Marekani, siku ya Jumatatu iliyopita Rais wa nchi hiyo Donald Trump, alitangaza stratijia mpya ya vita ya Washington kuhusiana na Afghanistan sambamba na mpango wa kutuma askari zaidi nchini humo.