-
Polisi 130 wa Afghanistan wajisalimisha kwa magaidi wa Taleban
Jul 25, 2017 03:50Kwa akali polisi 130 wa serikali ya Afghanistan wamejisalimisha kwa wanachama wa kundi la kigaidi na Kiwahabi la Taleban kufuatia kudhibitiwa mji wa Kohestan mkoa wa Faryab, kaskazini mwa Afghanistan.
-
Karibu watu 40 wauawa katika hujuma ya kigaidi Kabul, Afghanistan
Jul 24, 2017 10:54Habari kutoka Afghanistan zinaarifu kwamba, karibu watu 40 wameuawa na wengine 60 kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililotokea leo mjini Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Russia: Marekani inapaswa kutoa maelezo kwa nini inawapa silaha magaidi nchini Afghanistan
Jun 24, 2017 02:35Russia imewataka viongozi wa Afghanistan na Marekani watoe maelezo kuhusiana na sababu zilizozifanya helikopta zisizojulikana kulisaidia genge la kigaidi la Daesh nchini Afghanistan.
-
Afghanistan yatoa shukurani kwa Iran kwa kuwahifadhi wakimbizi wa nchi hiyo
Jun 20, 2017 22:14Mkuu wa Baraza la Utekelezaji la Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Afghanistan, Abdullah Abdullah ametoa shukurani za dhati kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuwapa hifadhi maelfu ya wakimbizi wa taifa hilo katika kipindi cha miongo mitatu iliyopita.
-
Marekani yakiri askari wake watatu wameangamizwa Afghanistan
Jun 11, 2017 03:32Viongozi wa Marekani wametangaza kuwa askari watatu wa nchi hiyo wameuliwa na mwengine mmoja amejeruhiwa baada ya askari mmoja wa Afghanistan kuwafyatulia risasi wanajeshi wa Marekani huko mashariki mwa Afghanistan.
-
Watu 20 wauawa katika mlipuko mazikoni Kabul, Afghanistan
Jun 03, 2017 10:41Watu wasiopungua 20 wameuawa katika mlipuko wa kigaidi wakiwa katika maziko katika kitongoji cha mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
-
Rais wa Afghanistan atoa hukumu ya kunyongwa wanachama 11 wa kundi la Haqqani
Jun 01, 2017 23:34Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan ametoa hukumu ya kunyongwa wanachama 11 kundi la kigaidi na ukufurishaji la Haqqani nchini humo.
-
Iran yalaani hujuma ya Kabul, idadi ya waliouawa yapindukia 80
May 31, 2017 10:30Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi lililoutikisa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul na kuuwa makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.
-
Iran: Tunaunga mkono mwenendo wa amani nchini Afghanistan
May 30, 2017 03:41Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Afghanistan ametangaza kuunga mkono kikao cha mjini Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo chenye lengo la kudumisha usalama ndani ya taifa hilo.
-
Nchi za Magharibi zinafaidika na biashara ya mihadarati Afghanistan
May 27, 2017 23:14Mashirika ya kijasusi ya nchi za Magharibi yanafaidika na biashara ya mihadarati nchini Afghanistan, imebainika.