-
Serikali ya Sudan yakanusha kuwepo njaa nchini humo
Jun 15, 2024 23:09Serikali ya Sudan imekanusha uwezekano wa kutokea baa la njaa nchini humo. Hayo ni kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan.
-
Ripoti: 90% ya migogoro iliyopuuzwa duniani ipo Afrika
Jun 06, 2024 00:54Shirika moja la kibinadamu limesema aghalabu ya migogoro iliyotelekezwa duniani ipo katika nchi za bara Afrika.
-
Wataalamu: Eneo huria la biashara barani Afrika litachochea ukuaji wa biashara jumuishi
May 27, 2024 23:19Wataalamu wa Kiafrika walisema jana Jumatatu huko Nairobi Kenya kwamba utekelezaji kamili wa Eneo Huria la Biashara barani Afrika (AfCFTA) utaleta ukuaji shirikishi katika bara zima.
-
Iran yapongeza maadhimisho ya "Siku ya Afrika"
May 26, 2024 03:41Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepongeza na kutoa mkono wa kheri kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Afrika (Africa Day).
-
Guterres: Afrika ina mchango muhimu kwa amani na usalama wa dunia
May 24, 2024 03:52Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameashiria nafasi muhimu ya Afrika katika kuufanya ulimwengu uwe pahala pazuri na salama na kusisitiza kuwa, "Wakati umefika wa kuanika uwezo wa amani wa Afrika."
-
Katibu Mkuu wa UN atuma rambirambi kufuatia kufa shahidi Ebrahim Raisi na wenzake
May 21, 2024 08:56Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametuma salamu za rambirambi kwa familia za shahidi Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wenzake aliokuwa amefuatana nao na kutoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Iran.
-
Mahdavi: Iran iko tayari kusafirisha vifaa vya matibabu barani Afrika
May 02, 2024 08:15Katibu wa Baraza la Sera ya Mauzo ya Nje la Shirika la Chakula na Dawa la Wizara ya Afya ya Iran ametangaza utayarifu wa Iran wa kusafirisha vifaa na suhula za matibabu barani Afrika.
-
Iran na Uganda zaazimia kupanua ushirikiano katika uga wa mawasiliano na teknolojia ya habari
May 02, 2024 07:51Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran ametangaza utayari wa taifa hili wa kushirikiana na Uganda katika miradi ya mawasiliano na teknolojia habari na uhamishaji wa taaluma hiyo kwa taifa hilo la Afrika Mashariki.
-
Iran na nchi za Afrika zaunda kamati ya ushirikiano katika sekta ya kilimo
Apr 29, 2024 23:19Wizara ya Jihadi ya Kilimo ya Iran imetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika zimekubaliana kuunda kamati ya ushirikiano wa pamoja katika sekta ya kilimo.
-
Viongozi wa Afrika watilia mkazo kuzidisha ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi
Apr 22, 2024 23:38Viongozi wa Afrika wametoa wito wa ushirikiano zaidi wa kikanda katika kupambana na ugaidi , ikiwa ni pamoja na kuunda jeshi la kikanda. Wito huu umetolewa jana katika mkutano wa kilele wa kutafuta suluhu kwa changamoto za kiusalama zinazolikabili bara hilo mjini Abuja Nigeria.