Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Serikali ya Sudan yakanusha kuwepo njaa nchini humo

    Serikali ya Sudan yakanusha kuwepo njaa nchini humo

    Jun 15, 2024 23:09

    Serikali ya Sudan imekanusha uwezekano wa kutokea baa la njaa nchini humo. Hayo ni kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan.

  • Ripoti: 90% ya migogoro iliyopuuzwa duniani ipo Afrika

    Ripoti: 90% ya migogoro iliyopuuzwa duniani ipo Afrika

    Jun 06, 2024 00:54

    Shirika moja la kibinadamu limesema aghalabu ya migogoro iliyotelekezwa duniani ipo katika nchi za bara Afrika.

  • Wataalamu: Eneo huria la biashara barani Afrika litachochea ukuaji wa biashara jumuishi

    Wataalamu: Eneo huria la biashara barani Afrika litachochea ukuaji wa biashara jumuishi

    May 27, 2024 23:19

    Wataalamu wa Kiafrika walisema jana Jumatatu huko Nairobi Kenya kwamba utekelezaji kamili wa Eneo Huria la Biashara barani Afrika (AfCFTA) utaleta ukuaji shirikishi katika bara zima.

  • Iran yapongeza maadhimisho ya

    Iran yapongeza maadhimisho ya "Siku ya Afrika"

    May 26, 2024 03:41

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepongeza na kutoa mkono wa kheri kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Afrika (Africa Day).

  • Guterres: Afrika ina mchango muhimu kwa amani na usalama wa dunia

    Guterres: Afrika ina mchango muhimu kwa amani na usalama wa dunia

    May 24, 2024 03:52

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameashiria nafasi muhimu ya Afrika katika kuufanya ulimwengu uwe pahala pazuri na salama na kusisitiza kuwa, "Wakati umefika wa kuanika uwezo wa amani wa Afrika."

  • Katibu Mkuu wa UN atuma rambirambi kufuatia kufa shahidi  Ebrahim Raisi na wenzake

    Katibu Mkuu wa UN atuma rambirambi kufuatia kufa shahidi Ebrahim Raisi na wenzake

    May 21, 2024 08:56

    Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametuma salamu za rambirambi kwa familia za shahidi Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wenzake aliokuwa amefuatana nao na kutoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Iran.

  • Mahdavi: Iran iko tayari kusafirisha vifaa vya matibabu barani Afrika

    Mahdavi: Iran iko tayari kusafirisha vifaa vya matibabu barani Afrika

    May 02, 2024 08:15

    Katibu wa Baraza la Sera ya Mauzo ya Nje la Shirika la Chakula na Dawa la Wizara ya Afya ya Iran ametangaza utayarifu wa Iran wa kusafirisha vifaa na suhula za matibabu barani Afrika.

  • Iran na Uganda zaazimia kupanua ushirikiano katika uga wa mawasiliano na teknolojia ya habari

    Iran na Uganda zaazimia kupanua ushirikiano katika uga wa mawasiliano na teknolojia ya habari

    May 02, 2024 07:51

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran ametangaza utayari wa taifa hili wa kushirikiana na Uganda katika miradi ya mawasiliano na teknolojia habari na uhamishaji wa taaluma hiyo kwa taifa hilo la Afrika Mashariki.

  • Iran na nchi za Afrika zaunda kamati ya ushirikiano katika sekta ya kilimo

    Iran na nchi za Afrika zaunda kamati ya ushirikiano katika sekta ya kilimo

    Apr 29, 2024 23:19

    Wizara ya Jihadi ya Kilimo ya Iran imetangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika zimekubaliana kuunda kamati ya ushirikiano wa pamoja katika sekta ya kilimo.

  • Viongozi wa Afrika watilia mkazo kuzidisha ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi

    Viongozi wa Afrika watilia mkazo kuzidisha ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi

    Apr 22, 2024 23:38

    Viongozi wa Afrika wametoa wito wa ushirikiano zaidi wa kikanda katika kupambana na ugaidi , ikiwa ni pamoja na kuunda jeshi la kikanda. Wito huu umetolewa jana katika mkutano wa kilele wa kutafuta suluhu kwa changamoto za kiusalama zinazolikabili bara hilo mjini Abuja Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS