Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Wagonjwa wa malaria nchini Zambia waliongezeka kwa asilimia 37 mwaka jana

    Wagonjwa wa malaria nchini Zambia waliongezeka kwa asilimia 37 mwaka jana

    Apr 22, 2024 23:37

    Alhamisi wiki hii Zambia itaungana na nchi nyingine kuadhimisha "Siku ya Malaria Duniani" chini ya kaulimbiu ya kimataifa "Jinsia, Afya, Usawa na Haki za Binadamu."

  • Ukame uliokithiri kusini mwa Afrika umewasababishia njaa mamilioni ya watu

    Ukame uliokithiri kusini mwa Afrika umewasababishia njaa mamilioni ya watu

    Mar 31, 2024 08:11

    Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umetangaza kuwa ukame ulioziathiri Zimbabwe na majirani zake Zambia na Malawi umefikia viwango vya hatari. Zambia na Malawi tayari zimetangaza kuwa zinakabiliwa na majanga ya kitaifa. Ukame pia umeiathiri Msumbiji na Madagascar kwa upande wa mashariki.

  • Benin yasema iko tayari kutuma maelfu ya askari nchini Haiti

    Benin yasema iko tayari kutuma maelfu ya askari nchini Haiti

    Feb 27, 2024 03:57

    Nchi nyingine ya Kiafrika ya Benin imetangaza utayarifu wake wa kutuma maelfu ya askari wataoungana na Kikosi cha Kimataifa cha kulisaidia jeshi la Haiti kupambana na magenge ya uhalifu.

  • Zaidi ya nusu ya nchi 20 zenye uchumi unaostawi kwa kasi zaidi duniani 2024 ni za Kiafrika

    Zaidi ya nusu ya nchi 20 zenye uchumi unaostawi kwa kasi zaidi duniani 2024 ni za Kiafrika

    Feb 20, 2024 22:50

    Afrika itachangia nchi 11 kati ya 20 zinazokua kwa kasi kiuchumi duniani mwaka 2024. Hayo ni kulingana na ripoti ya hivi punde ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB).

  • Watawala wa kijeshi Guinea watangaza kuvunja serikali ya mpito

    Watawala wa kijeshi Guinea watangaza kuvunja serikali ya mpito

    Feb 20, 2024 09:22

    Utawala wa kijeshi wa Guinea Conakry ambao ulitwaa madaraka kupitia mapinduzi zaidi ya miaka miwili iliyopita, umetangaza kuvunja serikali ya mpito ya nch hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Kiongozi wa HAMAS: Israel inabeba dhima ya kukwama mazungumzo ya kusitisha vita

    Kiongozi wa HAMAS: Israel inabeba dhima ya kukwama mazungumzo ya kusitisha vita

    Feb 17, 2024 23:30

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unawajibika kwa kushindwa kupiga hatua mazungumzo na kufikia makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.

  • Wananchi wa Ghana washerehekea kurejeshwa turathi zilizoibiwa na Marekani

    Wananchi wa Ghana washerehekea kurejeshwa turathi zilizoibiwa na Marekani

    Feb 12, 2024 01:07

    Wananchi wa Ghana wanaendelea kusherehekea hatua ya kurejeshwa nchini humo turathi za thamani zilizokuwa zimeibiwa zaidi ya karne moja na nusu iliyopita na askari wa mkoloni Muingereza na kuhifadhiwa Marekani.

  • "Akthari ya madini yanayohitajika na sekta ya nishati duniani yapo Afrika"

    Feb 06, 2024 07:31

    Rais wa Afrika Kusini amesema aghalabu ya madini ya thamani yanayohitajika katika mageuzi makubwa kwenye sekta ya nishati duniani yanapatikana katika ardhi ya Afrika.

  • Papa adai Maaskofu wa Afrika wanapinga kubarikiwa 'mashoga' kwa sababu ya imani za kiutamaduni

    Papa adai Maaskofu wa Afrika wanapinga kubarikiwa 'mashoga' kwa sababu ya imani za kiutamaduni

    Jan 30, 2024 23:13

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amesema, upinzani kutoka kwa maaskofu wa kikatoliki barani Afrika kwa agizo lake la kuwaruhusu makasisi kubariki watu wa jinsia moja wanaoishi kiunyumba, ni "kesi maalumu" inayochochewa na imani zao za kiutamaduni.

  • Katibu Mkuu wa UN: Afrika inapaswa kuwa na mwakilishi katika Baraza la Usalama

    Katibu Mkuu wa UN: Afrika inapaswa kuwa na mwakilishi katika Baraza la Usalama

    Jan 21, 2024 04:17

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amelikosoa Baraza la Usalama la umoja huo kwa kutokuwa na mwakilishi wa kudumu kutoka Afrika. Guterres amehoji katika ukurasa wake wa X kwamba: "Je, tunawezaje kukubali kwamba Afrika haina hata mwanachama mmoja wa kudumu katika Baraza la Usalama?"

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS