Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Kifo kimoja kati ya vitano vya ajali za barabarani duniani hutokea Afrika

    Kifo kimoja kati ya vitano vya ajali za barabarani duniani hutokea Afrika

    Jul 17, 2024 22:59

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema katika ripoti yake kuwa ajali ya barabarani katika muongo uliopita zimeongezeka kwa kiasi kikubwa katika kanda ya Afrika, na kwamba mwaka 2021 pekee karibu watu 250,000 walipoteza maisha katika ajali za barabarani barani humo.

  • Ethiopia: Bara la Afrika lina hamu ya kujiunga na BRICS

    Ethiopia: Bara la Afrika lina hamu ya kujiunga na BRICS

    Jul 14, 2024 07:05

    Spika wa Bunge la Ethiopia amesema aghalabu ya nchi za Afrika zina hamu ya kuwa wanachama wa kundi la BRICS la mataifa yanayoinukia kiuchumi duniani.

  • Makundi ya kisiasa Sudan yakataa kutia saini taarifa ya mwisho ya mkutano wa Cairo

    Makundi ya kisiasa Sudan yakataa kutia saini taarifa ya mwisho ya mkutano wa Cairo

    Jul 08, 2024 03:37

    Mkutano wa makundi ya kisiasa na kiraia ya Sudan ulimalizika jana mjini Cairo, Misri ambapo vyama vya Sudan vilijadili njia za kutatua mgogoro wa ndani wa nchi hiyo, huku baadhi ya makundi yakikataa kutia saini taarifa ya mwisho ya mkutano wa Cairo.

  • Watu milioni 66 wanakabiliwa na uhaba wa chakula Pembe ya Afrika

    Watu milioni 66 wanakabiliwa na uhaba wa chakula Pembe ya Afrika

    Jul 04, 2024 22:43

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) na Jumuiya ya Kiserikali ya Maendeleo ya Afrika Mashariki IGAD zimesema katika ripoti yao mpya kwamba, watu milioni 66.7 katika eneo pana la Pembe ya Afrika hawana usalama wa chakula.

  • Chama cha Jacob Zuma chaungana na upinzani Afrika Kusini

    Chama cha Jacob Zuma chaungana na upinzani Afrika Kusini

    Jun 17, 2024 23:06

    Jacob Zuma Rais wa zamani wa Afrika Kusini amesema kuwa, chama chake kitaungana na muungano wa upinzani kushirikiana kuipinga serikali huku kikishikilia msimamo wake wa kupinga matokeo ya uchaguzi wa bunge mahakamani.

  • Serikali ya Sudan yakanusha kuwepo njaa nchini humo

    Serikali ya Sudan yakanusha kuwepo njaa nchini humo

    Jun 15, 2024 23:09

    Serikali ya Sudan imekanusha uwezekano wa kutokea baa la njaa nchini humo. Hayo ni kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan.

  • Ripoti: 90% ya migogoro iliyopuuzwa duniani ipo Afrika

    Ripoti: 90% ya migogoro iliyopuuzwa duniani ipo Afrika

    Jun 06, 2024 00:54

    Shirika moja la kibinadamu limesema aghalabu ya migogoro iliyotelekezwa duniani ipo katika nchi za bara Afrika.

  • Wataalamu: Eneo huria la biashara barani Afrika litachochea ukuaji wa biashara jumuishi

    Wataalamu: Eneo huria la biashara barani Afrika litachochea ukuaji wa biashara jumuishi

    May 27, 2024 23:19

    Wataalamu wa Kiafrika walisema jana Jumatatu huko Nairobi Kenya kwamba utekelezaji kamili wa Eneo Huria la Biashara barani Afrika (AfCFTA) utaleta ukuaji shirikishi katika bara zima.

  • Iran yapongeza maadhimisho ya

    Iran yapongeza maadhimisho ya "Siku ya Afrika"

    May 26, 2024 03:41

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepongeza na kutoa mkono wa kheri kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Afrika (Africa Day).

  • Guterres: Afrika ina mchango muhimu kwa amani na usalama wa dunia

    Guterres: Afrika ina mchango muhimu kwa amani na usalama wa dunia

    May 24, 2024 03:52

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameashiria nafasi muhimu ya Afrika katika kuufanya ulimwengu uwe pahala pazuri na salama na kusisitiza kuwa, "Wakati umefika wa kuanika uwezo wa amani wa Afrika."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS