-
Wagonjwa wa malaria nchini Zambia waliongezeka kwa asilimia 37 mwaka jana
Apr 22, 2024 23:37Alhamisi wiki hii Zambia itaungana na nchi nyingine kuadhimisha "Siku ya Malaria Duniani" chini ya kaulimbiu ya kimataifa "Jinsia, Afya, Usawa na Haki za Binadamu."
-
Ukame uliokithiri kusini mwa Afrika umewasababishia njaa mamilioni ya watu
Mar 31, 2024 08:11Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umetangaza kuwa ukame ulioziathiri Zimbabwe na majirani zake Zambia na Malawi umefikia viwango vya hatari. Zambia na Malawi tayari zimetangaza kuwa zinakabiliwa na majanga ya kitaifa. Ukame pia umeiathiri Msumbiji na Madagascar kwa upande wa mashariki.
-
Benin yasema iko tayari kutuma maelfu ya askari nchini Haiti
Feb 27, 2024 03:57Nchi nyingine ya Kiafrika ya Benin imetangaza utayarifu wake wa kutuma maelfu ya askari wataoungana na Kikosi cha Kimataifa cha kulisaidia jeshi la Haiti kupambana na magenge ya uhalifu.
-
Zaidi ya nusu ya nchi 20 zenye uchumi unaostawi kwa kasi zaidi duniani 2024 ni za Kiafrika
Feb 20, 2024 22:50Afrika itachangia nchi 11 kati ya 20 zinazokua kwa kasi kiuchumi duniani mwaka 2024. Hayo ni kulingana na ripoti ya hivi punde ya Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB).
-
Watawala wa kijeshi Guinea watangaza kuvunja serikali ya mpito
Feb 20, 2024 09:22Utawala wa kijeshi wa Guinea Conakry ambao ulitwaa madaraka kupitia mapinduzi zaidi ya miaka miwili iliyopita, umetangaza kuvunja serikali ya mpito ya nch hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Kiongozi wa HAMAS: Israel inabeba dhima ya kukwama mazungumzo ya kusitisha vita
Feb 17, 2024 23:30Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unawajibika kwa kushindwa kupiga hatua mazungumzo na kufikia makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.
-
Wananchi wa Ghana washerehekea kurejeshwa turathi zilizoibiwa na Marekani
Feb 12, 2024 01:07Wananchi wa Ghana wanaendelea kusherehekea hatua ya kurejeshwa nchini humo turathi za thamani zilizokuwa zimeibiwa zaidi ya karne moja na nusu iliyopita na askari wa mkoloni Muingereza na kuhifadhiwa Marekani.
-
"Akthari ya madini yanayohitajika na sekta ya nishati duniani yapo Afrika"
Feb 06, 2024 07:31Rais wa Afrika Kusini amesema aghalabu ya madini ya thamani yanayohitajika katika mageuzi makubwa kwenye sekta ya nishati duniani yanapatikana katika ardhi ya Afrika.
-
Papa adai Maaskofu wa Afrika wanapinga kubarikiwa 'mashoga' kwa sababu ya imani za kiutamaduni
Jan 30, 2024 23:13Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amesema, upinzani kutoka kwa maaskofu wa kikatoliki barani Afrika kwa agizo lake la kuwaruhusu makasisi kubariki watu wa jinsia moja wanaoishi kiunyumba, ni "kesi maalumu" inayochochewa na imani zao za kiutamaduni.
-
Katibu Mkuu wa UN: Afrika inapaswa kuwa na mwakilishi katika Baraza la Usalama
Jan 21, 2024 04:17Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amelikosoa Baraza la Usalama la umoja huo kwa kutokuwa na mwakilishi wa kudumu kutoka Afrika. Guterres amehoji katika ukurasa wake wa X kwamba: "Je, tunawezaje kukubali kwamba Afrika haina hata mwanachama mmoja wa kudumu katika Baraza la Usalama?"