Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Baada ya Mauritius na Algeria, Cape Verde yawa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza Malaria

    Baada ya Mauritius na Algeria, Cape Verde yawa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza Malaria

    Jan 13, 2024 02:46

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitangaza Cabo Verde kuwa nchi isiyo na Malaria kwa kufanikiwa kuutokomeza ugonjwa huo na kuipatia cheti rasmi cha uthibitisho.

  • Ripoti: Israel inapanga kuwahamishia Afrika Wapalestina wa Gaza

    Ripoti: Israel inapanga kuwahamishia Afrika Wapalestina wa Gaza

    Jan 04, 2024 23:02

    Vyombo vya habari vya Israel vimethibitisha ripoti zinazodai kuwa, utawala wa Kizayuni unafanya mazungumzo ya siri ili kuwahamisha kwa nguvu mamilioni ya wakazi wa Ukanda wa Gaza na kuwapeleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi nyingine za Afrika.

  • Kiongozi wa zamani wa upinzani Chad ateuliwa kuwa Waziri Mkuu

    Kiongozi wa zamani wa upinzani Chad ateuliwa kuwa Waziri Mkuu

    Jan 02, 2024 03:34

    Serikali ya mpito ya Chad imemteua Succes Masra, kiongozi wa zamani wa upinzani ambaye alirejea nchini humo hivi karibuni kutoka uhamishoni, kuwa Waziri Mkuu.

  • M’membe: Vikwazo vya Magharibi vimezikurubisha pamoja Russia, Afrika

    M’membe: Vikwazo vya Magharibi vimezikurubisha pamoja Russia, Afrika

    Dec 25, 2023 07:12

    Rais wa Chama cha Kisoshalisti cha Zambia amesema nchi za Magharibi zinaziburuza nchi nyingine duniani kuingia vitani huku zikipora rasilimali zao.

  • Zaidi ya dola bilioni 1.8 kukusanywa ili kusaidia utengenezaji wa chanjo barani Afrika

    Zaidi ya dola bilioni 1.8 kukusanywa ili kusaidia utengenezaji wa chanjo barani Afrika

    Dec 08, 2023 22:58

    Taasisi ya Kimataifa ya Muungano wa Chanjo Gavi imetangaza maamuzi kadhaa iliyochukua ambayo yatasaidia nchi zenye kipato cha chini kukabiliana na athari za janga la COVID-19 na kuziwezesha kukabiliana na majanga ya kiafya katika siku zijazo. Maamuzi haya yamechukuliwa katika mkutano wa siku mbili chini ya uwenyeji wa serikali ya Ghana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Accra.

  • Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Iran: Afrika ina hamu ya kufufua utambulisho wake

    Nov 30, 2023 00:23

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika ikiwemo Senegal katika nyuga mbalimbali.

  • Makumi wauawa Sierra Leone, wafungwa 2,000 watoroka jela

    Makumi wauawa Sierra Leone, wafungwa 2,000 watoroka jela

    Nov 28, 2023 02:36

    Makumi ya watu waliuawa huku wafungwa karibu 2,000 wakitoroka jela katika mashambulio ya Jumapili dhidi ya kambi ya jeshi, gereza na maeneo mengine nchini Sierra Leone.

  • Utulivu warejea Sierra Leone, amri ya kutotoka nje usiku yatenguliwa

    Utulivu warejea Sierra Leone, amri ya kutotoka nje usiku yatenguliwa

    Nov 27, 2023 08:27

    Sierra Leone imetengua amri ya nchi nzima ya kutotoka nje usiku iliyotangazwa jana Jumapili huku hali ya utulivu ikirejea, siku moja baada ya watu wasiojulikana na waliokuwa wamejizatiti kwa silaha kushambulia kambi moja ya kijeshi katika mji mkuu wa nchi hiyo Freetown.

  • Chanjo ya Malaria kusambazwa pakubwa barani Afrika

    Chanjo ya Malaria kusambazwa pakubwa barani Afrika

    Nov 23, 2023 23:53

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuhusu mpango wa kuongezwa chanjo za malaria zitakazotolewa kote barani Afrika baada ya shehena ya kwanza ya dozi kuwasili Cameroon.

  • Rais wa zamani wa Nigeria: Demokrasia ya Magharibi imefeli barani Afrika

    Rais wa zamani wa Nigeria: Demokrasia ya Magharibi imefeli barani Afrika

    Nov 21, 2023 23:59

    Rais wa zamani wa Nigeria Olusegun Obasanjo amesema, demokrasia ya Magharibi imeshindwa kufanya kazi kama mfumo wa serikali barani Afrika kwa sababu iliwekwa na mamlaka za kikoloni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS