Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • UNICEF yatahadharisha kuhusu kuendelea ndoa za watoto wadogo barani Afrika

    UNICEF yatahadharisha kuhusu kuendelea ndoa za watoto wadogo barani Afrika

    Oct 24, 2017 04:01

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limetahadharisha kuhusu madhara ya kuendelea kuozeshwa watoto wadogo barani Afrika.

  • Sisitizo la kuimarishwa kikosi cha kijeshi cha kundi la 5 la nchi za Sahel kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Sisitizo la kuimarishwa kikosi cha kijeshi cha kundi la 5 la nchi za Sahel kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Oct 24, 2017 01:03

    Nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimesisitiza kuimarishwa zaidii kikosi cha wanajeshi wa nchi tano za eneo la Sahel barani Afrika kwa jina la G-5 ili kutekeleza oparesheni za kupambana na ugaidi katika eneo hilo.

  • Marekani yazidi kujikita kijeshi Afrika; idadi ya askari wake barani humo yaongezeka mara tatu

    Marekani yazidi kujikita kijeshi Afrika; idadi ya askari wake barani humo yaongezeka mara tatu

    Oct 21, 2017 04:18

    Gazeti la Kifaransa la Le Monde limeripoti kuwa Marekani imepanua wigo wa uingiliaji wake kijeshi katika nchi za Afrika kwa kuongeza idadi ya askari wake walioko kwenye nchi za bara hilo.

  • WFP: Hakuna usawa katika ugawaji chakula duniani, umasikini unatia wasi wasi

    WFP: Hakuna usawa katika ugawaji chakula duniani, umasikini unatia wasi wasi

    Oct 17, 2017 04:42

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula la WPF limetoa ripoti likielezea kutokuwepo usawa katika ugawaji chakula na kwamba ongezeko la umasikini katika maeneo tofauti ya dunia ni lenye kutia wasi wasi mkubwa.

  • Tahadhari kuhusu njama za utawala wa Kizyauni wa Israel kujipenyeza zaidi Afrika

    Tahadhari kuhusu njama za utawala wa Kizyauni wa Israel kujipenyeza zaidi Afrika

    Oct 16, 2017 09:22

    Makundi ya kisiasa nchini Tunisia yametahadharisha kuhusu mikakati ya utawala wa Kizayuni wa Israel barani Afrika.

  • Nchi za Afrika zatahadharishwa kuhusu harakati za Israel za kutaka kuwa na ushawishi barani humo

    Nchi za Afrika zatahadharishwa kuhusu harakati za Israel za kutaka kuwa na ushawishi barani humo

    Oct 15, 2017 23:39

    Makundi mbalimbali ya kisiasa ya Tunisia yamezitahadharisha nchi za Afrika kuhusu harakati zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuwa na ushawishi barani humo.

  • Katibu Mkuu wa UN asisitiza umuhimu wa kutatuliwa migogoro ya Afrika

    Katibu Mkuu wa UN asisitiza umuhimu wa kutatuliwa migogoro ya Afrika

    Oct 14, 2017 23:25

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza umuhimu wa kutatuliwa migogoro ya Afrika kwa shabaha ya kutafuta sababu na chanzo cha njaa na uhaba wa chakula katika nchi za bara hilo na huko Yemen.

  • Usalama wa chakula Afrika unategemea misimamo ya tawala za nchi za bara hilo

    Usalama wa chakula Afrika unategemea misimamo ya tawala za nchi za bara hilo

    Oct 11, 2017 23:18

    Kituo cha Afrika cha Mabadiliko ya Kiuchumi ACET kimesema kuwa, njia ya kuleta mapinduzi katika kudhamini usalama wa chakula barani humo ni kwa serikali zilizoko madarakani kubadilisha sera zao na kuwaandalia vijana fursa nzuri za kilimo pamoja na kutumia teknolojia za kisasa katika sekta hiyo.

  • Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika

    Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika

    Oct 11, 2017 04:43

    Rais Emannuel Macron wa Ufaransa Jumamosi iliyopita aliarifu kuhusu kuasisiwa ofisi ya kuwapokea wakimbizi katika nchi mbili za Kiafrika. Alisema kuwa katika wiki zijazo kabla ya kumalizika mwezi huu wa Oktoba, ofisi hizo zitaasisiwa huko Chad na Niger kwa ajili ya kuwatambaua raia waliotimiza masharti ya kuwa wakimbizi.

  • Kuimarishwa uhusiano wa Iran na Umoja wa Afrika

    Kuimarishwa uhusiano wa Iran na Umoja wa Afrika

    Oct 10, 2017 01:18

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kuimarisha uhusiano wake na Umoja wa Afrika, AU katika sekta za sayansi, teknolojia, kilimo, kijamii na uchumi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS