Waislamu Mombasa Kenya walalamikia mavazi ya nusu uchi + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i36727-waislamu_mombasa_kenya_walalamikia_mavazi_ya_nusu_uchi_sauti
Waislamu nchini Kenya wamekosoa vikali tabia ya baadhi ya vijana kuvaa mavazi yasiyo ya heshima na kutoa mwito kwa serikali ya Kenya kuiga mfano wa Uganda ambayo inashinikiza mavazi ya heshima hasa katika maeneo ya umma. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Nov 24, 2017 02:41 UTC

Waislamu nchini Kenya wamekosoa vikali tabia ya baadhi ya vijana kuvaa mavazi yasiyo ya heshima na kutoa mwito kwa serikali ya Kenya kuiga mfano wa Uganda ambayo inashinikiza mavazi ya heshima hasa katika maeneo ya umma. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi