-
Harakati za Israel za kutaka kupenya katika Umoja wa Afrika
Oct 07, 2017 23:12Balozi wa Palestina nchini Ethiopia amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya harakati za kutaka kupenya katika Umoja wa Afrika.
-
Mashauriano ya wawakilishi wa Afrika na Ufaransa katika "Kikao cha Afrika 2017"
Oct 07, 2017 08:14Kikao cha siku mbili chini ya anuani "Afrika 2017" kimefanyika kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa pande mbili za Afrika na Ufaransa.
-
Ripoti: Israel huwatia mbaroni mamia ya Waafrika kila mwaka
Sep 25, 2017 00:41Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeripoti kuwa vyombo vya usalama vya Israel huwakamata na kuwazuilia mamia ya Waafrika kila mwaka, kinyume cha sheria.
-
Unyanyasaji watoto wakimbizi wa Kiafrika barani Ulaya
Sep 12, 2017 22:04Katika hali ambayo, wimbi la wahajiri wa Kiafrika wanaoelekea barani Ulaya lingali linaendelea kushuhudiwa, ripoti za kimataifa zinaonyesha juu ya kuweko hali mbaya wanayokabiliwa nayo wahajiri hususan watoto wakimbizi wa Kiafrika.
-
Mkutano wa utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Afrika waakhirishwa
Sep 12, 2017 00:17Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa mkutano wa utawala huo na nchi za Afrika uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi ujao nchini Togo umeakhirishwa hadi wakati mwengine.
-
Mwito wa kutumiwa Kiswahili kuimarisha utangamano Afrika Mashariki
Sep 09, 2017 03:19Naibu Waziri Mkuu wa Uganda ametoa wito wa kutumiwa lugha ya Kiswahili kuimarisha utangamano katika kanda ya Afrika Mashariki.
-
Viongozi wa nchi saba za Afrika na Ulaya wachunguza mwenendo wa uhajiri nchini Ufaransa
Aug 28, 2017 23:54Viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya wamekutana nchini Ufaransa kwa ajili ya kuchunguza namna ya kupunguza wimbi la uhajiri kutoka nchi za Afrika kuelekea barani Ulaya.
-
Vyama 32 vya siasa barani Afrika vyakutana mjini Khartoum, Sudan
Aug 20, 2017 12:12Wawakilishi wa vyama 32 vya siasa vya nchi za Afrika wamekutana katika mji mkuu wa Sudan Khartoum kujadili njia za kustawisha uhusiano wa kisiasa barani humo.
-
Jitihada za utawala wa Kizayuni za kuwa na ushawishi mkubwa barani Afrika
Aug 16, 2017 22:07Utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya jitihada ili uwe na ushawishi kwa kuimarisha uhusiano wake na nchi za bara la Afrika kwa lengo la kujiondoa katika hali ya kutengwa. Katika uga huo, viongozi wa Tel Aviv wamepanga kuitisha mkutano mwezi Oktoba nchini Togo chini ya anuani "Kikao cha Viongozi wa Kiafrika na Israel."
-
Zaidi ya watu 300 wameaga dunia baada ya kufukiwa na maporomoko ya udongo Sierra Leone
Aug 14, 2017 07:44Wwatu wasiopungua 312 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 2000 wamebaki bila ya makazi kutokana na maporomoko ya udongo yaliyotokea nje kidogo ya mji mkuu wa Sierra Leone.