-
Nchi za Afrika zatahadharishwa kuhusu harakati za Israel za kutaka kuwa na ushawishi barani humo
Oct 15, 2017 23:39Makundi mbalimbali ya kisiasa ya Tunisia yamezitahadharisha nchi za Afrika kuhusu harakati zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuwa na ushawishi barani humo.
-
Katibu Mkuu wa UN asisitiza umuhimu wa kutatuliwa migogoro ya Afrika
Oct 14, 2017 23:25Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza umuhimu wa kutatuliwa migogoro ya Afrika kwa shabaha ya kutafuta sababu na chanzo cha njaa na uhaba wa chakula katika nchi za bara hilo na huko Yemen.
-
Usalama wa chakula Afrika unategemea misimamo ya tawala za nchi za bara hilo
Oct 11, 2017 23:18Kituo cha Afrika cha Mabadiliko ya Kiuchumi ACET kimesema kuwa, njia ya kuleta mapinduzi katika kudhamini usalama wa chakula barani humo ni kwa serikali zilizoko madarakani kubadilisha sera zao na kuwaandalia vijana fursa nzuri za kilimo pamoja na kutumia teknolojia za kisasa katika sekta hiyo.
-
Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika
Oct 11, 2017 04:43Rais Emannuel Macron wa Ufaransa Jumamosi iliyopita aliarifu kuhusu kuasisiwa ofisi ya kuwapokea wakimbizi katika nchi mbili za Kiafrika. Alisema kuwa katika wiki zijazo kabla ya kumalizika mwezi huu wa Oktoba, ofisi hizo zitaasisiwa huko Chad na Niger kwa ajili ya kuwatambaua raia waliotimiza masharti ya kuwa wakimbizi.
-
Kuimarishwa uhusiano wa Iran na Umoja wa Afrika
Oct 10, 2017 01:18Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kuimarisha uhusiano wake na Umoja wa Afrika, AU katika sekta za sayansi, teknolojia, kilimo, kijamii na uchumi.
-
Harakati za Israel za kutaka kupenya katika Umoja wa Afrika
Oct 07, 2017 23:12Balozi wa Palestina nchini Ethiopia amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya harakati za kutaka kupenya katika Umoja wa Afrika.
-
Mashauriano ya wawakilishi wa Afrika na Ufaransa katika "Kikao cha Afrika 2017"
Oct 07, 2017 08:14Kikao cha siku mbili chini ya anuani "Afrika 2017" kimefanyika kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa pande mbili za Afrika na Ufaransa.
-
Ripoti: Israel huwatia mbaroni mamia ya Waafrika kila mwaka
Sep 25, 2017 00:41Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeripoti kuwa vyombo vya usalama vya Israel huwakamata na kuwazuilia mamia ya Waafrika kila mwaka, kinyume cha sheria.
-
Unyanyasaji watoto wakimbizi wa Kiafrika barani Ulaya
Sep 12, 2017 22:04Katika hali ambayo, wimbi la wahajiri wa Kiafrika wanaoelekea barani Ulaya lingali linaendelea kushuhudiwa, ripoti za kimataifa zinaonyesha juu ya kuweko hali mbaya wanayokabiliwa nayo wahajiri hususan watoto wakimbizi wa Kiafrika.
-
Mkutano wa utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Afrika waakhirishwa
Sep 12, 2017 00:17Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa mkutano wa utawala huo na nchi za Afrika uliokuwa umepangwa kufanyika mwezi ujao nchini Togo umeakhirishwa hadi wakati mwengine.