-
FAO: Njaa inatishia eneo la mashariki mwa Afrika
Aug 14, 2017 07:46Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetahadharisha kuhusu ongezeko la vifo vya watu kutokana na ukame na njaa katika maeneo ya mashariki mwa Afrika.
-
Mtawa wa India aokoa wanawake wa Kiafrika kutoka kwenye utumwa wa ngono
Aug 10, 2017 02:37Mtawa wa India aliyeokoa wanawake wa Cameroon kutoka kwenye utumwa wa ngono katika eneo la Mashariki ya Kati ametoa wito wa kutolewa misaada kwa wahanga hao ili kusaidia mchakato wa kuwarejesha kwenye hali ya kawaida na kuwaondoa kwenye mfadhaiko wa kinafsi uliosababishwa na manyanyaso ya aina mbalimbali kama ya kubakwa, kunajisiwa na kushikiliwa mateka.
-
Kiongozi wa chama cha upinzani Zambia atiwa nguvuni
Aug 04, 2017 00:01Polisi ya Zambia imemkamata kiongozi wa upinzani wa nchini humo, Saviour Chishimba kwa tuhuma ya kumtukana Rais Edgar Lungu, kosa ambalo adhabu yake inawezeka kufikia kifungo cha miaka mitano jela.
-
Makubaliano kuhusu njia za kukabiliana na wahajiri haramu wa Afrika
Jul 25, 2017 22:36Katika kuendelea kukabiliana na wahajiri haramu, wawakilishi wa nchi 10 za Kiafrika, Ulaya na asasi nne za kieneo wamekubaliana kuhusu njia za kukabiliana na wahajiri hao haramu kupitia Bahari ya Mediterania na kuimarisha ushirikiano ili kuwazuia wahajiri hao.
-
FAO yatahadharisha kuhusu kuongezeka haja ya misaada ya dharura mashariki mwa Afrika
Jul 24, 2017 02:34Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetahadharisha katika ripoti yake kuwa kuna ongezeko la kutia wasiwasi la watu wanaohitaji misaada ya haraka ya kibinadamu katika nchi za mashariki mwa Afrika.
-
FAO yatahadharisha kuhusu njaa Afrika Mashariki
Jul 16, 2017 02:15Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO limetahadahrisha kuwa ukosefu wa mvua Afrika Mashariki umeongeza njaa katika eneo hilo.
-
Mtazamo wa G20 kwa bara la Afrika
Jul 07, 2017 12:40Mkutano wa viongozi wa nchi wanachama wa G20 umeanza huko Hamburg nchini Ujerumani na miongoni mwa ajenda zake kuu ni mjadala juu ya mabadiliko ya hali ya hewa, mustakbali wa makubaliano ya kibiashara na matatizo na masuala ya bara la Afrika.
-
Mawaziri wa Ulaya na Afrika wakutana Roma kujadili mgogoro wa wahajiri
Jul 06, 2017 09:30Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje na wa Masuala ya Wahajiri wa nchi za Ulaya na Afrika kimefanyika Roma mji mkuu wa Italia kujadili njia ya kupambamba na mgogoro wa sasa wa wahajiri katika bahari ya Mediterania.
-
UNICEF: Zaidi ya nusu ya wakimbizi barani Afrika ni watoto wadogo
Jul 05, 2017 03:44Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umesema kuwa, zaidi yawatoto milioni saba wa maeneo ya magharibi na katikati mwa Afrika wanaishi katika mazingira magumu kutokana na matatizo mbalimbali kama vile ukatili, umaskini na kuharibika hali ya hewa na kwamba idadi hiyo inaunda zaidi ya nusu ya wakimbizi barani Afrika.
-
Algeria: Waafrika elfu tano wamejiunga na makundi ya kigaidi
Jul 04, 2017 08:13Rais wa Algeria ametahadharisha kuhusu hatari ya vijana elfu tano wa Afrika waliojiunga na mkundi ya kigaidi.