-
Takwa la kupambana na miamala haramu ya kifedha barani Afrika
Mar 14, 2016 23:32Rais Macky Sall wa Senegal ametoa wito wa kuanzishw amapambano dhidi ya miamala haramu ya kifedha barani Afrika.
-
UN yapasisha azimio la kuwarejesha nyumbani askari wake ‘wabakaji’
Mar 12, 2016 11:49Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio linalotaka kurejeshwa nyumbani kikosi cha kulinda amani cha umoja huo, ambacho askari wake wanatuhumiwa kuhusika na vitendo vya ubakaji.
-
Kuimarishwa uhusiano wa Iran na Kodivaa
Mar 12, 2016 04:32Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa tayari kuimarisha uhusiano wake na Ivory Coast katika nyanja mbali mbali.
-
EAC yapata Katibu Mkuu mpya
Mar 02, 2016 23:38Mwanadiplomasia wa Burundi ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Viongozi wa nchi 5 za jumuiya hiyo mbali na kuidhinisha uanachama wa Sudan Kusini pia wamemteua Liberat Mfumukeko kuchukua nafasi ya Dkt. Richard Sezibera ambaye anamaliza muda wake.
-
Nchi za Afrika Mashariki kupiga marufuku mitumba
Feb 27, 2016 22:59Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki watakutana Arusha, Tanzania Jumatano ijayo kujadili upigaji marufuku uingizaji wa nguo zilizotumika au mitumba, magari yaliyotumika na bidhaa za ngozi kutoka nje ya eneo eneo hilo.
-
Sisitizo la nchi za Afrika juu ya kuvutia uwekezaji kwa ajili ya kuimarisha vyanzo vya maji
Feb 27, 2016 03:11Kongamano la 18 la viongozi wa bara la Afrika kwa ajili ya maji (AFWA) lililofanyika hivi karibuni jijini Nairobi, mji mkuu wa Kenya, limetaka kuwepo uwekezaji mpya kwa ajili ya kuongeza vyanzo vya upatikanaji maji barani humo.
-
Waafrika wataka uwekezaji zaidi katika sekta ya maji
Feb 26, 2016 00:11Viongozi wa nchi za Kiafrika wametoa wito wa kuwekeza zaidi katika sekta ya maji ili kurahisisha upatikanaji wa maji barani humo.
-
Wasiwasi kuhusu kuenea umasikini Afrika
Feb 25, 2016 08:16Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema umasikini ni adui mkubwa wa watu wa eneo la Maziwa Makuu barani Afrika.
-
Kabila: Umaskini ni adui mkubwa wa Afrika
Feb 24, 2016 22:45Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa umaskini ndio adui mkubwa wa watu wa eneo la Maziwa Makuu ya Afrika.
-
Jacob Zuma kutembelea Iran karibuni hivi
Feb 22, 2016 04:22Mtandao mmoja wa habari wa Afrika Kusini umesema kuwa, Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo anatarajiwa kutembelea Iran mwishoni mwa mwezi huu wa Februari.