-
Jiji kuu la Afrika Kusini Johannesburg lakumbwa na uhaba wa maji ambao haujawahi kutokea
Mar 21, 2024 22:58Mji mkubwa zaidi wa Afrika Kusini Johannesburg, ambao pia ni mji mkuu wa kiuchumi wa nchi hiyo umekumbwa na uhaba mkubwa wa maji kwa zaidi ya wiki mbili sasa kutokana na kusambaratika mfumo wake wa maji.
-
Ukosoaji wa Afrika Kusini dhidi ya Israel kwa kukaidi uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki
Mar 21, 2024 04:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuwa kutotekelezwa maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki dhidi ya Israel kunaidhoofisha mahakama hiyo.
-
Maafisa wa uchunguzi Afrika Kusini wapekua nyumba ya Spika anayetuhumiwa kupokea hongo
Mar 20, 2024 08:03Maafisa wa Kitengo Maalumu cha Uchunguzi nchini Afrika Kusini wamepekua nyumba ya Spika wa Bunge kwa zaidi ya saa tano na kuchukua ushahidi kama sehemu ya uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili kiongozi huyo za kupokea hongo alipokuwa waziri wa ulinzi.
-
Iran yaipongeza Afrika Kusini kwa kuishtaki Israel katika mahakama ya ICJ
Mar 16, 2024 23:25Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameipongeza na kuishukuru Afrika Kusini kwa uamuzi wake wa kihistoria wa kuwasilisha kesi dhidi ya utawala haramu wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), kuhusu jinai za mauaji ya kimbari zinazotekelezwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Naledi Pandor: Raia wa Afrika wanaoshiriki katika vita dhidi ya Gaza wakirejea watakamatwa
Mar 14, 2024 11:24Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini amesema kuwa, raia yeyote wa nchi hiyo atakayeusaidia utawala wa Kizayuni katika vita vya Ukanda wa Gaza atatiwa mbaroni punde tu atakaporejea Afrika Kusini.
-
Afrika Kusini: Utawala wa Kizayuni hauheshimu hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu
Mar 11, 2024 22:40Rais wa Afrika Kusini ameashiria kutotekelezwa hukumu ya awali ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iliyosema kwamba kuna ulazima utawala ghasibu wa Israel uzuiye mauaji ya kimbari huko Ukanda wa Gaza; na kueleza wasiwasi wake kuhusu hali ya mambo katika mji wa Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Juhudi za Afrika Kusini za mashinikizo zaidi ya kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni
Mar 09, 2024 04:05Kufuatia kuendelea jinai za Israel dhidi ya Wapalestina, Afrika Kusini imewasilisha ombi la dharura katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ, ikiitaka korti hiyo ya Umoja wa Mataifa ichukue hatua zaidi za dharura dhidi ya Israel, ikisisitiza kuwa utawala huo wa Kizayuni umeendelea kupuuza amri iliyotolewa na chombo hicho cha sheria.
-
Afrika Kusini yaitaka ICJ ichukue hatua za dharura dhidi ya Israel
Mar 06, 2024 23:47Afrika Kusini imewasilisha ombi la dharura katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ, ikiitaka korti hiyo ya Umoja wa Mataifa ichukue hatua zaidi za dharura dhidi ya Israel, ikisisitiza kuwa utawala huo wa Kizayuni umeendelea kupuuza amri iliyotolewa na chombo hicho cha sheria.
-
Afrika Kusini yatahadharisha kuhusu maafa ya kutisha iwapo mazungumzo ya kusitisha vita Gaza yatafeli
Mar 06, 2024 04:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini jana alitahadharisha kuwa maafa ya kutisha yatashuhudiwa Ukanda wa Gaza iwapo mazungumzo kuhusu kuwaachia huru mateka na kusitisha vita katika eneo hilo yatafeli.
-
Afisa wa Afrika Kusini: Nchi za Magharibi hazipasi kuzungumza kuhusu 'haki za binadamu'
Mar 03, 2024 23:00Mohamed Faizal Dawjee, Mshauri wa Mawasiliano na Mkurugenzi wa Zamani wa Vyombo vya Habari wa serikali ya Afrika Kusini amelaani msimamo wa nchi za Magharibi kuhusu vita vya Israel dhidi ya Gaza, na kusema nchi za Magharibi "zimeshiriki katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina."