Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Somalia: Tumeua wanachama 1,650 wa al-Shabaab ndani ya miezi 2

    Somalia: Tumeua wanachama 1,650 wa al-Shabaab ndani ya miezi 2

    Oct 05, 2023 14:01

    Serikali ya Somalia imesema imefanikiwa kuangamiza wanachama 1,650 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika operesheni za vikosi vya jeshi la nchi hiyo katika kipindi cha miezi miwili iliyopita.

  • Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 27 wa al-Shabaab Galmudug

    Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 27 wa al-Shabaab Galmudug

    Sep 23, 2023 07:42

    Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kuangamiza makumi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika jimbo la Galmudug, katikati mwa nchi.

  • Jeshi la Ethiopia lasema limeua magaidi 462 wa al-Shabaab Somalia

    Jeshi la Ethiopia lasema limeua magaidi 462 wa al-Shabaab Somalia

    Sep 22, 2023 02:41

    Kwa akali wanachama 462 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waliuawa mwisho mwa wiki nchini Somalia, Jeshi la Ulinzi la Taifa la Ethiopia (ENDF) limethibisha hayo na kueleza kuwa, magaidi hao waliuawa katika shambulizi lililotibuliwa katika kambi ya askari wa Ethiopia wanaohudumu chini ya Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS).

  • Al-Shabaab ya Somalia yaitishia Marekani, yasema italipiza kisasi

    Al-Shabaab ya Somalia yaitishia Marekani, yasema italipiza kisasi

    Sep 17, 2023 04:37

    Kiongozi mwandamizi wa kundi la kigaidi la al-Shabaab la Somalia ameionya Marekani kufuatia shambulizi la anga la hivi karibuni lililofanywa na ndege za kivita za US kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kundi la al-Shabaab ladhibiti miji mitano katikati ya Somalia

    Kundi la al-Shabaab ladhibiti miji mitano katikati ya Somalia

    Aug 30, 2023 02:31

    Wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameripotiwa kuteka miji mitano iliyoko katikati ya Somalia.

  • Rais wa Somalia: Tutaitokomeza al-Shabaab ndani ya miezi 5

    Rais wa Somalia: Tutaitokomeza al-Shabaab ndani ya miezi 5

    Aug 19, 2023 10:25

    Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amesema lengo la operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini humo ni kulitokomeza na kulisambaratisha kundi la kigaidi la al-Shabaab katika kipindi cha miezi mitano ijayo.

  • Shambulio la kigaidi la Al-Shabaab laua watu wawili na kujeruhi wengine 10 Lamu, Kenya

    Shambulio la kigaidi la Al-Shabaab laua watu wawili na kujeruhi wengine 10 Lamu, Kenya

    Aug 02, 2023 07:57

    Watu wawili wameaga dunia na wengine wapatao 10 wamejeruhiwa, akiwemo diwani wa eneo moja wakati magaidi 60 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la Al-Shabaab walipovamia magari katika eneo la Mwembeni, karibu na Lango la Simba kwenye barabara kuu ya Lamu-Witu-Garsen nchini Kenya.

  • Magaidi 60 wa al-Shabaab waangamizwa kusini ya Somalia

    Magaidi 60 wa al-Shabaab waangamizwa kusini ya Somalia

    Jul 28, 2023 02:26

    Wanachama wasiopungua 60 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni ya pamoja ya jeshi la Somalia na vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Magaidi 19 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa Somalia

    Magaidi 19 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa Somalia

    Jun 12, 2023 11:16

    Wanachama wasiopungua 19 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa kufuatia operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la kusini la Lower Shabelle.

  • 17 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na jeshi la Somalia

    17 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na jeshi la Somalia

    May 30, 2023 16:18

    Kwa akali watu 17 wameuawa baada ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kushambulia kambi ya jeshi katika mji wa Masagawa, katikati ya Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS