Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

al shabab

  • Al-Shabaab yashambulia kambi ya jeshi Somalia, makumi ya askari 'wauawa'

    Al-Shabaab yashambulia kambi ya jeshi Somalia, makumi ya askari 'wauawa'

    Jan 25, 2024 03:27

    Wanajeshi kadhaa wa Somalia wanahofiwa kuuawa katika shambulizi la kushtukiza la kundi la wanamgambo la al-Shabaab kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Wanamgambo wa al Shabaab wauwa 1 na kuwatia nguvuni 5 kutoka helikopta ya UN

    Wanamgambo wa al Shabaab wauwa 1 na kuwatia nguvuni 5 kutoka helikopta ya UN

    Jan 11, 2024 07:47

    Maafisa nchini Somalia wameeleza kuwa wanamgambo wa kundi la al Shabaab wenye mfungamano na mtandao wa al Qaida jana walimuuwa mtu mmoja na kuwatekanyara wengine watano kutoka katika helikopta ya Umoja wa Mataifa huko katikati mwa Somalia.

  • Wanamgambo 80 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Wanamgambo 80 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Dec 27, 2023 06:52

    Wanachama wasiopungua 80 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni ya Jeshi la Taifa la Somalia katika mkoa wa Mudug, kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Somalia: Tumeua wanachama 1,650 wa al-Shabaab ndani ya miezi 2

    Somalia: Tumeua wanachama 1,650 wa al-Shabaab ndani ya miezi 2

    Oct 05, 2023 14:01

    Serikali ya Somalia imesema imefanikiwa kuangamiza wanachama 1,650 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika operesheni za vikosi vya jeshi la nchi hiyo katika kipindi cha miezi miwili iliyopita.

  • Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 27 wa al-Shabaab Galmudug

    Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 27 wa al-Shabaab Galmudug

    Sep 23, 2023 07:42

    Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kuangamiza makumi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika jimbo la Galmudug, katikati mwa nchi.

  • Jeshi la Ethiopia lasema limeua magaidi 462 wa al-Shabaab Somalia

    Jeshi la Ethiopia lasema limeua magaidi 462 wa al-Shabaab Somalia

    Sep 22, 2023 02:41

    Kwa akali wanachama 462 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waliuawa mwisho mwa wiki nchini Somalia, Jeshi la Ulinzi la Taifa la Ethiopia (ENDF) limethibisha hayo na kueleza kuwa, magaidi hao waliuawa katika shambulizi lililotibuliwa katika kambi ya askari wa Ethiopia wanaohudumu chini ya Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS).

  • Al-Shabaab ya Somalia yaitishia Marekani, yasema italipiza kisasi

    Al-Shabaab ya Somalia yaitishia Marekani, yasema italipiza kisasi

    Sep 17, 2023 04:37

    Kiongozi mwandamizi wa kundi la kigaidi la al-Shabaab la Somalia ameionya Marekani kufuatia shambulizi la anga la hivi karibuni lililofanywa na ndege za kivita za US kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kundi la al-Shabaab ladhibiti miji mitano katikati ya Somalia

    Kundi la al-Shabaab ladhibiti miji mitano katikati ya Somalia

    Aug 30, 2023 02:31

    Wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameripotiwa kuteka miji mitano iliyoko katikati ya Somalia.

  • Rais wa Somalia: Tutaitokomeza al-Shabaab ndani ya miezi 5

    Rais wa Somalia: Tutaitokomeza al-Shabaab ndani ya miezi 5

    Aug 19, 2023 10:25

    Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amesema lengo la operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini humo ni kulitokomeza na kulisambaratisha kundi la kigaidi la al-Shabaab katika kipindi cha miezi mitano ijayo.

  • Shambulio la kigaidi la Al-Shabaab laua watu wawili na kujeruhi wengine 10 Lamu, Kenya

    Shambulio la kigaidi la Al-Shabaab laua watu wawili na kujeruhi wengine 10 Lamu, Kenya

    Aug 02, 2023 07:57

    Watu wawili wameaga dunia na wengine wapatao 10 wamejeruhiwa, akiwemo diwani wa eneo moja wakati magaidi 60 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la Al-Shabaab walipovamia magari katika eneo la Mwembeni, karibu na Lango la Simba kwenye barabara kuu ya Lamu-Witu-Garsen nchini Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS