-
Tebboune: Algeria si koloni tena la Ufaransa
Oct 11, 2021 04:44Rais wa Algeria imetangaza kuwa Ufaransa inapasa kusahau kuwa Algeria ni nchi iliyokoloniwa.
-
Macron akataa tena kuomba radhi kwa masaibu yaliyosababishwa na ukoloni wa Ufaransa barani Afrika
Oct 09, 2021 04:45Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekataa tena kuomba radhi kutokana na athari mbaya za historia ya ukoloni wa nchi yake barani Afrika, akielezea hamu yake ya kuanzisha mtindo mpya wa uhusiano na bara hilo.
-
Ufaransa yataka kuondolewa mivutano katika uhusiano wake na Algeria
Oct 05, 2021 23:36Rais wa Ufaransa ametoa wito wa kuondolewa mivutano katika uhusiano wa nchi hiyo na Algeria.
-
Algeria yakadhibisha madai ya Morocco kuhusu kuwepo Hizbullah huko Tindouf
Oct 04, 2021 22:50Algeria imekadhibisha madai yaliyotolewa na Morocco kwamba wapiganaji wa harakati ya Hizbullah wako katika mji wa Tindouf kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa wapigania uhuru wa Polisario huko Sahara Magharibi. Algeria imeyataja madai hayo kuwa ni uongo mtupu.
-
Mvutano katika uhusiano wa Algeria na Ufaransa
Oct 03, 2021 13:43Usiku wa Jumamosi iliyopita serikali ya Algeria ilimwita nyumbani balozi wake nchini Ufaransa kwa ajili ya mashauriano ikilalamikia matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron dhidi ya nchi hiyo.
-
Algeria yaizuia Morocco kupita katika anga yake; uhusiano wazidi kuharibika
Sep 23, 2021 04:36Serikali ya Algeria imetangaza kuwa, imeifungia Morocco anga yake hatua ambayo inazidi kuchochea mvutano ulioshadidi hivi karibuni baina ya majirani hao wawili kufuatia hatua ya Algiers ya kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na Rabat.
-
Rais wa Ufaransa awaomba radhi wananchi wa Algeria
Sep 21, 2021 22:59Hatimaye baada ya kupita miongo mingi tangu Wafaransa watende jinai nchini Algeria na katika hali ambayo, kumekuwa kukifichuliwa nyaraka mpya za jinai hizo, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amewaomba radhi wananchi wa Algeria na kuahidi kupasishwa sheria katika siku za usoni ambayo itatoa fidia kwa nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Rais Macron awaomba radhi Waislamu wa Algeria kwa jinai zilizofanywa na nchi yake nchini humo
Sep 20, 2021 22:11Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron jana Jumatatu aliwaomba radhi Waislamu wa Algeria kutokana na jinai ilizofanywa na Ufaransa katika nchi hiyo.
-
Algeria na Libya zakubaliana kufunguliwa tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli
Sep 17, 2021 22:01Rais wa Algeria na Naibu Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya wamekubaliana kufungua tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli mji mkuu wa Libya.
-
Algeria yasisitiza udharura wa kuwatetea Wapalestina, Libya na Syria
Sep 09, 2021 06:39Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Algeria imetilia mkazo msimamo wake wa kuendelea kutetea taifa la Palestina na kupinga uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya Syria na Libya.