-
Algeria yalaani jinai za wanajeshi wa Israel katika Ukanda wa Ghaza
Aug 11, 2018 22:39Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria amelaani vikali jinai za wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
-
Algeria yasitisha kuwafukuzia katika jangwa la Sahara wakimbizi
Jul 15, 2018 09:23Algeria karibuni imesimamisha kuwafukuza wakimbizi kuelekea katika jangwa la Sahara baada ya hatua hiyo kupingwa vikali na maafisa kadhaa wa usalama wa ngazi ya juu.
-
Jeshi la Algeria laanza oparesheni kubwa karibu na mpaka wa Tunisia
Jul 12, 2018 03:01Jeshi la Algeria limeanzisha oparesheni kubwa katika maeneo ya mpaka wa pamoja na nchi jirani ya Tunisia kufuatia kutekelezwa shambulio la kigaidi Jumapili iliyopita katika mkoa mmoja ulioko mpakani wa Jendouba. Wanajeshi sita waliuawa na watatu kujeruhiwa katika shambulio hilo la kigaidi.
-
Algeria yapinga mpango wa Ulaya kuhusu wahajiri haramu
Jul 01, 2018 09:15Waziri Mkuu wa Algeria ametangaza kuwa, nchi yake inapinga mpango wa Umoja wa Ulaya wa kuanzisha kambi za wahajiri haramu nchini humo.
-
UN yapongeza nafasi ya Algeria katika mapambano dhidi ya ugaidi
Jun 26, 2018 22:19Umoja wa Mataifa umeipongeza Algeria kwa nafasi yake katika mapambano dhidi ya ugaidi katika nchi za eneo la Sahel na magharibi mwa Afrika.
-
Taasisi za kidini Algeria zapongeza fatuwa ya Ayatullah Khamenei kuhusu masahaba wa Mtume (saw)
Jun 26, 2018 21:43Baraza Kuu la Kiislamu la Algeria limepongeza fatuwa iliyotolewa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei inayoharamisha kuwavunjia heshima masahaba wa Mtume (saw) na ulazima wa kulinda heshima ya wake wa mtukufu huyo.
-
Algeria yalaani jinai za Israel huko Palestina na uungaji mkono wa Marekani
Jun 21, 2018 23:33Waziri Mkuu wa Algeria amesema Algiers inapinga vikali jinai na mauaji yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Palestina licha ya uungaji mkono wa Marekani kwa utawala huo.
-
Tahadhari kuhusu njama zinazofanyika dhidi ya Uislamu na Iran
Jun 13, 2018 21:55Mwanafikra na kiongozi wa ngazi za juu wa kidini nchini Algeria ametahadharisha kuhusu njama zinazofanywa dhidi ya Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Akthari ya Walgeria wanataka nchi yao ijitoe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Jun 03, 2018 23:43Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Algeria yanaonyesha kuwa akthari ya raia wa nchi hiyo wanataka nchi yao ijiondoe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).
-
Morocco yaelekeza tuhuma zake kwa Algeria kwamba inaiunga mkono Polisario
May 22, 2018 09:23Kwa mara nyingine serikali ya Morocco kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo imeinyooshea kidole cha lawama serikali ya Algeria kwamba inaiunga mkono harakati ya Polisario, hasa katika kuendesha maneva ya kijeshi na wapiganaji wa harakati hiyo katika eneo Sahara Magharibi.