Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Amerika ya Latini

  • Kukabiliana mataifa ya Amerika Kusini na vita vya ushuru vya Trump

    Kukabiliana mataifa ya Amerika Kusini na vita vya ushuru vya Trump

    May 05, 2025 13:24

    Wanachama wa Soko la Pamoja la Amerika Kusini (Mercado Común del Sur) wameongeza idadi ya bidhaa zisizo na ushuru kwa bidhaa zinazoangizwa kutoka nje ya jumuiya ya kikanda, katika hatua muhimu dhidi ya vita vya kibiashara vilivyoanzishwa na Rais wa Marekani Donald Trump.

  • Malengo ya kisiasa na kiuchumi inayofuatilia Iran katika eneo la Amerika ya Latini

    Malengo ya kisiasa na kiuchumi inayofuatilia Iran katika eneo la Amerika ya Latini

    Feb 14, 2025 02:32

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Colombia wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu wakitilia mkazo kupanuliwa na kustawishwa uhusiano baina ya pande mbili.

  • Kukatwa kikamilifu uhusiano wa Colombia na utawala wa Kizayuni; kuendelea kutengwa Tel Aviv kimataifa

    Kukatwa kikamilifu uhusiano wa Colombia na utawala wa Kizayuni; kuendelea kutengwa Tel Aviv kimataifa

    May 03, 2024 02:43

    Rais Gustavo Petro wa Colombia alisema siku ya Jumatano tarehe Mosi Mei katika hotuba yake kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kuwa kuanzia Alhamisi amekata kikamilifu uhusiano wa nchi hiyo na utawala wa Kizayuni kwa sababu ya jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo huko Ukanda wa Gaza.

  • Rais Raisi: Muqawama, kupigania uadilifu na uhuru mataifa ya dunia kumewahamakisha mabeberu

    Rais Raisi: Muqawama, kupigania uadilifu na uhuru mataifa ya dunia kumewahamakisha mabeberu

    Jun 15, 2023 06:35

    Rais wa Jamhuri ya Kiialamu ya Iran amesema kuwa, muqawama, kupigania uadilifu na uhuru mataifa ya dunia kumewahamikisha maadui na kuwalazimisha kurudi nyuma.

  • Mexico yaupandishia hadhi ubalozi wa Palestina nchini humo

    Mexico yaupandishia hadhi ubalozi wa Palestina nchini humo

    Jun 04, 2023 11:25

    Mexico imechukua hatua ya kuimarisha uhusiano wake wa kidiplomasia na Palestina, na sasa ofisi ya mahusiano ya Palestina katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini imepandishwa ngazi na kuwa ubalozi kamili.

  • Nchi za Amerika ya Latini zalaani ujenzi wa vitongoji haramu

    Nchi za Amerika ya Latini zalaani ujenzi wa vitongoji haramu

    Feb 18, 2023 09:53

    Kundi la nchi za Amerika ya Latini limelaani na kukosoa vikali uamuzi wa serikali ya Israel yenye misimamo ya kufurutu ada ya Benjamin Netanyahu wa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya tisa katika ardhi za Wapalestina za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Rais wa Argentina: Nchi za Amerika ya Latini hazitaipatia silaha Ukraine

    Rais wa Argentina: Nchi za Amerika ya Latini hazitaipatia silaha Ukraine

    Jan 29, 2023 07:43

    Rais wa Argentina amesema kuwa nchi za Amerika ya Latini, kinyume na nchi za Magharibi, hazina mpango wa kuipatia Ukraine silaha kwa kisingizio cha vita vinavyoendelea nchini humo.

  • Indhari ya Evo Morales kuhusu nia ya Marekani ya kufanya mapinduzi Amerika ya Latini

    Indhari ya Evo Morales kuhusu nia ya Marekani ya kufanya mapinduzi Amerika ya Latini

    Jan 16, 2023 02:26

    Evo Morales, Rais wa zamani wa Bolivia amesema kuwa, Marekani ipo katika mkondo wa kuporonmoka hasa kwa kuzingaia matukio ya hivi karibuni katika baadhi ya mataifa ya Amerika ya Latini na ni kutokana na sababu hiyo ndio maana Washington imeamua kutumia mabavu na kwamba, hivi sasa inatekeleza njama za mapinduzi katika maeneo ya Ukanda huo.

  • Rais wa Nicaragua: Kanisa Katoliki ni mfano hai wa udikteta

    Rais wa Nicaragua: Kanisa Katoliki ni mfano hai wa udikteta

    Sep 30, 2022 01:04

    Rais wa Nicaragua, Daniel Ortega amelishambulia vikali Kanisa Katoliki na kuitaja taasisi hiyo kuwa mfano hai wa udikteta halisi duniani.

  • Kuendelea mvutano baina ya Marekani na mataifa ya mrengo wa kushoto ya Amerika ya Latini

    Kuendelea mvutano baina ya Marekani na mataifa ya mrengo wa kushoto ya Amerika ya Latini

    Apr 26, 2022 13:26

    Marekani ingali inaendeleza siasa zake za chuki na hasama dhidi ya mataifa ya mrengo wa kushoto ya Amerika ya Latini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS