Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Amerika ya Latini

  • Rais wa Nicaragua: Kanisa Katoliki ni mfano hai wa udikteta

    Rais wa Nicaragua: Kanisa Katoliki ni mfano hai wa udikteta

    Sep 29, 2022 21:34

    Rais wa Nicaragua, Daniel Ortega amelishambulia vikali Kanisa Katoliki na kuitaja taasisi hiyo kuwa mfano hai wa udikteta halisi duniani.

  • Kuendelea mvutano baina ya Marekani na mataifa ya mrengo wa kushoto ya Amerika ya Latini

    Kuendelea mvutano baina ya Marekani na mataifa ya mrengo wa kushoto ya Amerika ya Latini

    Apr 26, 2022 08:56

    Marekani ingali inaendeleza siasa zake za chuki na hasama dhidi ya mataifa ya mrengo wa kushoto ya Amerika ya Latini.

  • Mamia ya nafasi za ajira zapotea kwa corona Amerika ya Latini

    Mamia ya nafasi za ajira zapotea kwa corona Amerika ya Latini

    Oct 02, 2020 23:12

    Shirika la Kimataifa la Kazi (ILO) limetangaza habari ya kupotea zaidi ya fursa milioni 34 za kazi kutokana na wimbi la maambukizi ya kirusi cha corona katika eneo la Amerika ya Latini.

  • Wabunge Amerika ya Latini wataka kususiwa utawala wa Kizayuni

    Wabunge Amerika ya Latini wataka kususiwa utawala wa Kizayuni

    Sep 07, 2020 22:06

    Wabunge wa baadhi ya nchi za Amerika ya Latini wametaka kutungwe sheria za kuususia na kuuwekea vikwazo utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na mpango wa utawala huo ghasibu wa kutaka kuteka ardhi zaidi za Wapalestina za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Nchi za Amerika ya Latini zashinikiza vikwazo dhidi ya Israel

    Nchi za Amerika ya Latini zashinikiza vikwazo dhidi ya Israel

    Jul 04, 2020 03:14

    Marais wa zamani na shakhsia wengine mashuhuri wa kisiasa wa nchi za Amerika ya Latini wamekosoa vikali mpango wa utawala haramu wa Israel wa kupora eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuliunganisha na ardhi nyingine ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Venezuela na jibu kali la Rais Maduro

    Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Venezuela na jibu kali la Rais Maduro

    Jul 01, 2020 05:53

    Tangu mgogoro wa kisiasa wa Venezuela uliposhadidi, Umoja wa Ulaya umekuwa pamoja na Marekani dhidi ya Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo.

  • Venezuela yaionya Marekani iache kuendeleza uhasama wake dhidi ya eneo la Amerika ya Latini

    Venezuela yaionya Marekani iache kuendeleza uhasama wake dhidi ya eneo la Amerika ya Latini

    Jan 18, 2020 23:26

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Venezuela imeitahadharisha Marekani kutokana na tabia zake za kuendeleza mzingiro dhidi ya eneo la Amerika ya Latini na ukanda wa Karibiani.

  • Venezuela yaionya Marekani iache kuendeleza uhasama wake dhidi ya eneo la Amerika ya Latini

    Venezuela yaionya Marekani iache kuendeleza uhasama wake dhidi ya eneo la Amerika ya Latini

    Jan 18, 2020 12:59

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Venezuela imeitahadharisha Marekani kutokana na tabia zake za kuendeleza mzingiro dhidi ya eneo la Amerika ya Latini na ukanda wa Karibiani.

  • Makasisi wa Kanisa Katoliki wahukumiwa kifungo jela kwa kuwanyanyasa kingono wanafunzi viziwi, Argentina

    Makasisi wa Kanisa Katoliki wahukumiwa kifungo jela kwa kuwanyanyasa kingono wanafunzi viziwi, Argentina

    Nov 26, 2019 09:01

    Mahakama nchini Argentina imewahukumu makasisi wawili wa Kanisa Katoliki kifungo cha zaidi ya miaka 40 jela kila mmoja wao baada ya kupatikana na hatia ya kuwanyanyasa kingono wanafunzi 10 wa zamani wa shule ya viziwi ya kanisa hilo.

  • Mapinduzi ya kisiasa ya Marekani dhidi ya Rais Maduro wa Venezuela

    Mapinduzi ya kisiasa ya Marekani dhidi ya Rais Maduro wa Venezuela

    Jan 25, 2019 10:10

    Tangu kuingia madarakani nchini Venezuela serikali ya mrengo wa kushoto hapo mwaka 1999 hadi sasa, Marekani daima imekuwa ikifanya juhudi za kudhoofisha na kuingo'a mamlakani serikali hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS