Marais wa zamani na shakhsia wengine mashuhuri wa kisiasa wa nchi za Amerika ya Latini wamekosoa vikali mpango wa utawala haramu wa Israel wa kupora eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuliunganisha na ardhi nyingine ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Tangu mgogoro wa kisiasa wa Venezuela uliposhadidi, Umoja wa Ulaya umekuwa pamoja na Marekani dhidi ya Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Venezuela imeitahadharisha Marekani kutokana na tabia zake za kuendeleza mzingiro dhidi ya eneo la Amerika ya Latini na ukanda wa Karibiani.
Mahakama nchini Argentina imewahukumu makasisi wawili wa Kanisa Katoliki kifungo cha zaidi ya miaka 40 jela kila mmoja wao baada ya kupatikana na hatia ya kuwanyanyasa kingono wanafunzi 10 wa zamani wa shule ya viziwi ya kanisa hilo.
Tangu kuingia madarakani nchini Venezuela serikali ya mrengo wa kushoto hapo mwaka 1999 hadi sasa, Marekani daima imekuwa ikifanya juhudi za kudhoofisha na kuingo'a mamlakani serikali hiyo.
Rex Tillerson Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amedai akiwa Mexico katika safari yake ya kiduru ya kuzitembelea nchi za Amerika ya Latini kuwa Russia ina mpango wa kuingilia masuala ya uchaguzi ya nchi hiyo.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javad Zarif amesema kuwa, hayati Fidel Castro kiongozi wa zamani wa Cuba aliyefariki dunia alikuwa akisisitiza kuimarishwa ushirikiano na mataifa mengine.
Wanaharakati nchini Marekani wametangaza azma yao ya kuendeleza maandamano ya kumpinga rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump wakisisitiza kuwa Trump si chaguo la raia wa Marekani.
Mkurugenzi mtendaji wa shirika la kimataifa la haki za binadamu la Human Rights Watch amemtahadharisha rais mteule wa Marekani Donald Trump, juu ya utendaji kazi wake baada ya kuingia madarakani.