-
Ubunifu wa Ansarullah wa kuunda jopokazi la mapatano jumuishi ya kitaifa
Aug 29, 2019 23:08Mahdi al-Mashat, Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen ametangaza kuwa, limeundwa jopokazi linalojumuisha shakhsia 20 wa nchi hiyo kwa madhumuni ya kuleta mapatano jumuishi ya kitaifa na kutatua kisiasa mgogoro unaoendelea nchini humo.
-
Al Mashat: Umoja wa Mataifa una nafasi katika vikwazo vya chakula dhidi ya taifa la Yemen
Aug 22, 2019 01:04Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema kuwa, Umoja wa Mataifa unachangia katika vikwazo vya kuingizwa chakula nchini Yemen kutokana na hatua yake ya kufungamanisha masuala ya kiuchumi ya nchi hiyo na kukaliwa kwa mabavu mji wa Aden.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Inalazimu kusimama na kukabiliana kwa nguvu zote na njama ya Saudia na Imarati ya kuigawanya Yemen
Aug 13, 2019 12:44Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Saudi Arabia na Imarati zinataka kuigawanya Yemen; na akasisitiza kwamba: Inalazimu kusimama na kukabiliana kwa nguvu zote na njama hiyo na kuunga mkono Yemen moja, iliyoungana na yenye ardhi yake yote kamili.
-
Viongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wakutana Beirut
Jul 11, 2019 00:05Viongozi kadhaa wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Answarullah ya Yemen wamekutana mjini Beirut, ambapo sambamba na kulaani kongamano la mjini Manama, Bahrain wamesisitizia umuhimu wa kudumishwa umoja na mshikamano wa Wapalestina kwa ajili ya kukabiliana na mradi huo wa Marekani na Israel.
-
Answarullah: Wasudan waondokane na ubeberu wa Saudia na Imarati
Jul 09, 2019 22:05Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa, raia wa Sudan na nchi yao wanatakiwa kuwa huru mbele ya udhibiti wa vibaraka wa Saudia na Imarati.
-
Ansarullah: Mkutano wa Bahrain ni uhaini dhidi ya Wapalestina
Jun 28, 2019 10:31Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, mkutano wa Marekani uliofanyika siku chache zilizopita katika mji mkuu wa Bahrain, Manama kwa shabaha ya kuzindua Muamala wa Karne ni hujuma ya moja kwa moja na uhaini dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Answarullah: Kuna vita vikubwa vinakuja ndani ya ardhi ya Saudi Arabia
Jun 15, 2019 21:48Mjumbe mmoja mwandamizi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Answarullah ya Yemen amesema kuwa, karibuni hivi kutaanza vita vikubwa ndani ya ardhi ya adui Saudi Arabia.
-
Answarullah: Operesheni za droni dhidi ya Saudia na Imarati zitaendelea
Jun 15, 2019 00:14Mohamed Albakhiti, Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen, amesema kuwa operesheni za kikosi cha anga na ndege zisizo na rubani (droni) zitaendelea hadi pale Saudia na Imarati zitakapohitimisha uvamizi wao.
-
Ansarullah ya Yemen: Jinai mpya Sana'a ni ishara ya kutokuwa na uwezo muungano vamizi wa Saudi Arabia
May 17, 2019 22:54Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amelaani jinai mpya za muungano vamizi wa Saudi Arabia na Imarati huko Sana'a na kusema kuwa, jinai hizo ni ishara ya wazi ya kutokuwa na uwezo muungano huo vamizi.
-
Answarullah: Baadhi ya tawala za Kiarabu zinaharakia kufutwa kadhia ya Palestina
Apr 22, 2019 09:03Msemaji wa Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa, baadhi ya tawala za Kiarabu zina pupa ya kutaka kufutwa haraka kadhia ya Palestina, kuliko hata utawala adui wa Kizayuni.