-
Msemaji wa Ansarullah ya Yemen: UAE ni kibaraka wa Marekani
Jul 30, 2018 09:54Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema: Bila Marekani, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) si lolote si chochote na ni dhaifu mno kuweza hata kupigana vita na kijiji kimoja cha Yemen.
-
Utayarifu wa Yemen kwa ajili ya kushadidisha mashambulizi dhidi ya wavamizi
Jul 07, 2018 06:31Mohammed Abdulsalam msemaji rasmi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amebainisha kwamba vikosi vya kujitolea vya wananchi na jeshi la nchi hiyo vipo tayari kushadidisha mashambulizi dhidi ya muungano vamizi unaoongozwa na Marekani na Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali ya Yemen.
-
Ansarullah: Madai ya Imarati ya kusimamisha hujuma zake Hudaydah ni urongo
Jul 02, 2018 02:30Harakati ya Ansarullah ya Yemen imekadhibisha madai yaliyotolewa na Umoja wa Falme za Kiarabu kwamba eti imesitisha oparesheni ya kutaka kukalia kwa mabavu mji wa bandari wa al-Hudaydah nchini Yemen.
-
Answarullah: Sio kweli kwamba tumekubali kuukabidhi Umoja wa Mataifa bandari ya Al Hudaydah
Jun 28, 2018 09:11Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen imekadhibisha baadhi ya habari za vyombo vya habari vya nchi za Magharibi kwamba imekubali kukabidhi usimamizi wa bandari ya Al Hudaydah kwa Umoja wa Mataifa.
-
Tathmini ya Abdul Malik al Houthi kuhusu vita dhidi ya bandari ya al Hudaydah nchini Yemen.
Jun 16, 2018 02:23Abdul Malik al Houthi, Katibu Mkuu wa Harakati ya Answarullah ya Yemen ametoa hotuba maalumu kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr na kutathmmini matukio ya hivi karibuni ya Yemen na medani ya vita katika mji wa bandari wa al Hudaydah akisisitiza kuwa Israel, Marekani na Saudi Arabia zote zinashiriki kikamilifu katika vita hivyo.
-
Ansarullah: Al-Hudaydah itakuwa makaburi ya askari vamizi
Jun 15, 2018 00:07Kiongozi wa ngazi ya juu wa Harakati ya wananchi ya Ansarullah nchini Yemen amesema kuwa, shambulizi dhidi ya meli ya kivita ya Saudi Arabia katika pwani ya al-Hudaydah ni jibu imara dhidi ya wavamizi linalotoa ujumbe wa wazi kwamba, eneo hilo litakuwa makaburi ya askari vamizi.
-
Answarullah: Kuna mpasuko mkubwa katika muungano vamizi wa Saudia dhidi ya Yemen
May 22, 2018 09:53Mwakilishi wa Harakati ya Kiislamu ya Answarullah huko Iraq, ameelezea kuwepo mpasuko mkubwa ndani ya safu ya muungano vamizi dhidi ya Yemen ambao unaongozwa na Saudi Arabia.
-
Mamluki wa Saudia raia wa Sudan waendelea kuangamizwa Yemen
Apr 22, 2018 09:26Makumi ya mamluki wa Sudan waliokodishwa na Saudi Arabia wameuawa na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Yemen katika eneo la Asir, lililoko katika mpaka wa kusini magharibi mwa Saudia.
-
Answarullah ya Yemen yaiunga mkono Somalia; yaionya Imarati
Apr 21, 2018 02:57Muhammad Ali al Houthi, mkuu wa Kamati Kuu za Mapinduzi ya Yemen ameiunga mkono Somalia katika mgogoro wake na Imarati ambayo inaingilia waziwazi masuala ya ndani ya Somalia na kuitahadharisha Abu Dhabi kwa kuingilia masuala ya ndani ya Mogadishu.
-
Abdul-Malik al-Houthi: Ujuha wa Waarabu umetoa huduma kubwa kwa Marekani na Israel
Apr 13, 2018 23:46Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, ujuha na ujinga wa Waarabu umetoa huduma kubwa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.