-
Ansarullah yakaribisha kujiuzulu Hadi, yapinga mazungumzo ya Wayemen huko Saudia
Apr 08, 2022 21:55Harakati ya Ansarullah ya Yemen sambamba na kupongeza hatua ya Abdrabbuh Mansour Hadi, rais wa zamani wa Yemen aliyejiuzulu mwenyewe na kukimbilia Saudi Arabia kutangaza rasmi kuachia ngazi, imesema kitendo hicho kimeufanya Umoja wa Mataifa usiwe tena na kijisababu cha kuendelea kuwaunga mkono wavamizi wa nchi hiyo maskini, wakiongozwa na Saudia.
-
Kikao cha Riyadh kuhusu Yemen; tamthilia ya kisiasa kwa msaada wa Marekani na Umoja wa Mataifa
Mar 31, 2022 05:17Kikao cha Riyadh kuhusu Yemen kimeanza bila ya kushiriki serikali ya Abdu Rabbuh Mansour Hadi, rais wa zamani wa Yemen aliyejiuzulu mwenyewe na kukimbilia Saudia, na bila ya kushiriki pia Serikali ya Wokovu wa Kitaifa yenye makao yake Sana'a.
-
Sanaa: Makombora ya Yemen, ndege zisizo na rubani zitapindua viti vya wafalme wa nchi vamizi
Mar 21, 2022 03:13Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen limetangaza kuwa, mashambulio ya makombora na ndege zisizo na rubani za jeshi la nchi hiyo yataangusha viti vya wafalme wa nchi vamizi na kuwathibitishia kwa mara nyingine kwamba Yemen litakuwa kaburi la wavamizi hao.
-
Kongresi ya Taifa ya Yemen: Uhusiano na Ansarullah ni muhimu na wa kimkakati
Feb 06, 2022 23:26Kongresi ya Taifa ya Yemen imesema kuwa upo uhusiano imara kati ya viongozi wa chama hicho na harakati ya Ansarullah na kwamba propaganda na hujuma za vyombo vya habari za mamluki adui na wanaofanya khiyana haziathiri kivyovyote uhusinao wao huo.
-
Ansarullah ya Yemen yaikomboa Ma'rib toka mikononi mwa wavamizi
Oct 03, 2021 09:11Harakati ya Ansarullah ya Yemen imefanikiwa kuukomboa mkoa wa kistratajia wa Ma'rib uliokuwa chini ya udhibiti wa muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia.
-
Ansarullah yazionya US na Saudia zijiandae kupata pigo Yemen
Aug 31, 2021 09:00Baada ya Marekani kuondoka kwa madhila na fedheha kubwa nchini Afghanistan licha ya kutumia matrilioni ya dola, Harakati ya Ansarullah ya Yemen imezitaka Marekani na Saudi Arabia ziandae ramani ya njia ya kuondoka Yemen na kuonya kuwa, nchi hiyo ya Kiarabu karibu hivi itageuka na kuwa kaburi la wavamizi.
-
Al Houthi: Saudi Arabia ijifunze kutokana na kushindwa Marekani huko Afghanistan
Aug 19, 2021 19:36Mjumbe wa ngazi ya juu wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia unapaswa kujifunza na kupata ibra kutokana na tajiriba ya kushindwa na kufeli Marekani huko Afghanistan.
-
Ansarullah: Marekani inazuia suhulu ya kisiasa katika mgogoro wa Yemen
Aug 12, 2021 03:36Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Marekani inakwamisha na kuzuia kupatikana suluhisho la kisiasa katika mgogoro unaoikabili nchi hiyo maskini ya Kiarabu inayozongwa na vita na mapigano tokea mwaka 2015.
-
Ansarullah: Hatujawahi na kamwe hatutafuti utambulisho wetu kutoka kwa Marekani
Jun 26, 2021 02:46Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen ametuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter na kusisitiza kuwa, harakati hiyo ya wananchi wa Yemen kamwe haijawahi kufikiria kutafuta utambulisho wake kutoka kwa Marekani na haina haja ya kutambuliwa rasmi na dola hilo la kiistikbari.
-
Ansarullah yakosoa kauli ghalati ya jenerali wa kijeshi wa US dhidi ya Yemen
Jun 20, 2021 22:19Mwanachama wa ngazi ya juu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amemkosoa vikali Kamanda Mkuu wa Kamandi Kuu ya Kijeshi ya Marekani (CENTCOM) kwa kutoa matamshi yasiyo na msingi kuwa Sanaa imekataa kuketi kwenye meza ya mazungumzo na kusisitiza kuwa, afisa huyo wa Washington hana ufahamu wowote kuhusu siasa.