-
Austria, nchi ya EU yashuhudia ongezeko la wasiojua kusoma, kuandika
Jun 01, 2025 07:05Karibu thuluthi moja ya watu nchini Austria wana uwezo mdogo wa kusoma, jambo linaloashiria ongezeko la kuogofya la watu wasiojua kusoma na kuandika nchini humo, ofisi ya takwimu za serikali ya nchi hiyo ya Umoja wa Ulaya imesema.
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Vikwazo vya kikatili vya Marekani na Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran lazima vifutwe
Mar 05, 2025 06:38Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia Masuala ya Kisiasa amesema: Vikwazo vya kikatili vya Marekani na Umoja wa Ulaya ambavyo vimewalenga watu wenye utamaduni na ustaarabu mkongwe wa Iran ni lazima viondolewe.
-
Wanawake wanaovaa Hijabu Austria wakabiliwa na chuki dhidi ya Uislamu
Mar 30, 2023 07:40Asasi moja isiyo ya kiserikali imeripoti kuwa, wanawake wanaovaa vazi la staha la Hijabu nchini Austria wanakabiliwa na ongezeko la ubaguzi na hujuma za chuki dhidi ya Uislamu ikilinganishwa na wanaume katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Kesi za kushambuliwa Waislamu nchini Austria zaongezeka
Aug 14, 2022 07:21Jinai za kushambuliwa Waislamu kwa misingi ya dini yao zimeongezeka kwa kiwango cha kutisha nchini Austria.
-
Kuongezeka mpasuko ndani ya EU kuhusu vikwazo vya mafuta na gesi dhidi ya Russia
Mar 28, 2022 02:27Waziri Mkuu wa Poland, Mateusz Morawiecki amedai kuwa, nchi tatu za Ulaya za Ujerumani, Austria na Hungary ni kizuizi katika utekelezaji wa vikwazo vipya dhidi ya Russia na kuzifananisha nchi hizo tatu na breki inayozuia vikwazo vya Magharibi dhidi ya Moscow.
-
Maelfu waandamana Ulaya kupinga chanjo ya lazima ya Covid-19
Jan 16, 2022 07:59Maelfu ya wananchi wa Austria wamejitokeza mabarabarani katika maandamano ya kupinga hatua ya serikali ya kuwalazimisha wananchi kupiga chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19.
-
Vienna, Austria yageuzwa uwanja wa maandamano ya kupinga karantini na chanjo ya lazima ya corona
Nov 20, 2021 13:57Mji mkuu wa Austria, Vienna leo umegeuzwa uwanja wa maandamano ya kupinga uwekaji karantini kwa sababu ya ugonjwa wa Covid-19 na upigaji chanjo ya lazima ya ugonjwa huo.
-
Rais Raisi: Miaka 500 ya uhusiano wa kirafiki wa Iran na Austria ni rasilimali yenye thamani kwa mustakabali
Aug 24, 2021 02:46Rais Ebrahim Raisi amesema miaka 500 ya uhusiano wa kirafiki wa nchi mbili za Iran na Austria ni rasilimali yenye thamani kwa mustakabali wa uhusiano huo.
-
Waislamu wa Austria kuishtaki serikali kwa kuhatarisha usalama wao, ubaguzi
May 30, 2021 12:42Kundi linaloongoza la Waislamu nchini Austria limesema lina mpango wa kufungua kesi dhidi ya serikali ya Kansela Sebastian Kurz kwa kuanika "ramani ya Uislamu" iliyozusha utata mkubwa.
-
Zarif afuta safari yake Austria akipinga kuwekwa bendera za Israeli kwenye majengo ya serikal
May 16, 2021 04:32Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amefuta safari yake rasmi nchini Austria akipinga hatua ya nchi hiyo ya kupeperusha bendera za utawala haramu wa Israel juu ya majengo ya serikali katika mji mkuu wa nchi hiyo Vienna, huku Israel ikiendelea kuwaua kinyama raia wa Palestina.