-
Utawala wa Aal Khalifa wafanya njama za kueneza chuki dhidi ya Mashia Bahrain
Mar 08, 2016 03:12Mkuu wa masuala ya uhuru wa kidini katika shirika la kutetea haki za binadamu la Bahrain ametangaza kuwa kuwatuhumu Waislamu wa Kishia wa nchi hiyo kwa uhaini kunakofanywa na vyombo vya habari vyenye mfungamano na utawala wa Aal Khalifa sasa limekuwa ni jambo la kawaida.
-
Umoja wa Mataifa waukosoa utawala wa Aal Khalifa kwa kubadili muundo wa jamii ya Bahrain
Mar 04, 2016 14:35Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa viongozi wa utawala wa Bahrain wamekusudia kubadili muundo wa kijamii wa nchi hiyo.
-
Utawala wa Aal Khalifa washindwa kuzuia kusaliwa Sala ya Ijumaa Bahrain
Feb 27, 2016 02:59Hatua za askari polisi wa utawala wa Aal Khalifa za kutaka kuwazuia wananchi wa Bahrain wasishiriki kwenye Sala ya Ijumaa zimegonga mwamba.
-
Hali mbaya ya wafungwa wa kisiasa nchini Bahrain
Feb 26, 2016 16:20Matukio yanayojiri nchini Bahrain yanaonyesha kuwa utawala wa Aal Khalifa unazidisha hatua za ukandamizaji dhidi ya wananchi kiasi kwamba kuwatia nguvuni na kuwafungulia kesi wanaharakati wa kisiasa kunazidi kuchukua sura pana zaidi inayozidi kutia wasiwasi siku baada ya siku.
-
Ripoti: UK, Saudia zaukingia kifua utawala wa Bahrain
Feb 21, 2016 08:02Ripoti ya hivi karibuni imefichua kuwa, Saudi Arabia na Uingereza zilishirikiana kuvuruga azimio la Umoja wa Mataifa dhidi ya Bahrain.
-
Wabahrain waendeleza maandamano kupinga udikteta
Feb 20, 2016 13:22Wananchi wa Bahrain wameendeleza maandamano dhidi ya utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
-
Wabahrain waendesha kampeni ya uasi wa kiraia
Feb 12, 2016 15:37Wananchi wa Bahrain leo wameandamana katika miji na vijiji kadhaa katika kampeni ya uasi wa kiraia huku wakijitayarisha kuadhimisha mwaka wa tano wa mwamko dhidi ya utawala wa kiimla wa Aal Khalifa.
-
Bahrain nayo yasema iko tayari kutuma askari Syria
Feb 06, 2016 07:52Utawala wa Aal-Khalifa umesema Bahrain iko tayari kutuma askari wake wa nchi kavu nchini Syria, eti kupambana na wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.