Oct 28, 2016 07:17
Bashar al Jaafari, mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa na Vitaly Churkin, mwakilishi wa kudumu wa Russia katika umoja huo wamekosoa vikali hatua ya maafisa wa UN wanaotoa ripoti za upendeleo na za upande mmoja kuhusiana na mgogoro wa Syria. Ikumbukwe kuwa hivi sasa Russia ndiye mwenyekiti wa Baraza la Usalama la umoja wa Mataifa.