Jul 20, 2016 08:02
Hivi karibuni Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, aliwasilisha ripoti ya siri mbele ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na hatari ya kuenea kwa ugaidi, kupenya kwa kundi la Daesh (ISIS) na makundi mengine ya kigaidi kutoka nje ndani ya Libya na nchi nyingine za Afrika.