Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ban Ki moon

  • Ban Ki moon aomboleza kifo cha Muhammad Ali

    Ban Ki moon aomboleza kifo cha Muhammad Ali

    Jun 05, 2016 14:26

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mkono wa pole kufuatia kifo cha bingwa na nguli wa ndondi duniani, Muhammad Ali.

  • Ombi la kufanyika mazungumzo mapana nchini Burundi

    Ombi la kufanyika mazungumzo mapana nchini Burundi

    May 29, 2016 03:52

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kufanyika mazungumzo mapana kati ya wapinzani na serikali ya Burundi.

  • Wito wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa kuongezwa misaada ya kibinadamu

    Wito wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa kuongezwa misaada ya kibinadamu

    May 23, 2016 13:11

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema umoja huo unawataka viongozi wa nchi duniani kutekeleza ahadi zao za kuongeza michango yao kwa watu wanaohitaji misaada.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kulihutubia Bunge la Madagascar leo

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kulihutubia Bunge la Madagascar leo

    May 11, 2016 07:34

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anatazamiwa kulihutubia Bunge la Madagascar hii leo, kabla ya kukutana na kufanya mazungumzo na rais wa nchi hiyo.

  • Ban atiwa uchungu na suala la wakimbizi wa Palestina

    Ban atiwa uchungu na suala la wakimbizi wa Palestina

    May 05, 2016 04:38

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, ameeleza kutiwa uchungu na suala la hatima ya wakimbizi wa Palestina wapatao milioni 5.2, ambalo halijapatiwa suluhu kwa muda mrefu.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa apongeza kuundwa serikali ya Umoja wa Kitaifa Sudan Kusini

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa apongeza kuundwa serikali ya Umoja wa Kitaifa Sudan Kusini

    Apr 30, 2016 04:09

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha kuundwa serikali ya عmoja wa نitaifa nchini Sudan Kusini baada ya Rais Salva Kiir wa nchi hiyo kuliapisha baraza jipya la mawaziri na kuzitaka pande husika zikamilishe hatua zote za kuunda taasisi za serikali hiyo ya mpito.

  • Rais Joseph Kabila wa DRC aonana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Rais Joseph Kabila wa DRC aonana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Apr 24, 2016 14:49

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameonana na Ban Ki mooon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na kujadiliana naye hali ya kisiasa na kiusalama ya nchi hiyo.

  • Ban amtaka Machar kurejea Juba

    Ban amtaka Machar kurejea Juba

    Apr 23, 2016 06:35

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtaka kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Rieck Machar arejee katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.

  • Ban: Mkataba wa tabianchi ni kwa ajili ya vizazi vijavyo

    Ban: Mkataba wa tabianchi ni kwa ajili ya vizazi vijavyo

    Apr 22, 2016 16:28

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema jitihada za kupambana na mabadiliko ya tabianchi ni kwa ajili ya vizazi vijavyo, wakati ambapo kila siku rekodi za uchafuzi wa hali ya hewa zinavunjwa.

  • Ban Ki-moon atahadharisha kuhusu kuenea hujuma za kundi la Daesh

    Ban Ki-moon atahadharisha kuhusu kuenea hujuma za kundi la Daesh

    Apr 09, 2016 04:00

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu kuenea harakati za kundi la kigaidi la Daesh kote ulimwenguni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS