Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mkono wa pole kufuatia kifo cha bingwa na nguli wa ndondi duniani, Muhammad Ali.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kufanyika mazungumzo mapana kati ya wapinzani na serikali ya Burundi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema umoja huo unawataka viongozi wa nchi duniani kutekeleza ahadi zao za kuongeza michango yao kwa watu wanaohitaji misaada.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anatazamiwa kulihutubia Bunge la Madagascar hii leo, kabla ya kukutana na kufanya mazungumzo na rais wa nchi hiyo.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, ameeleza kutiwa uchungu na suala la hatima ya wakimbizi wa Palestina wapatao milioni 5.2, ambalo halijapatiwa suluhu kwa muda mrefu.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha kuundwa serikali ya عmoja wa نitaifa nchini Sudan Kusini baada ya Rais Salva Kiir wa nchi hiyo kuliapisha baraza jipya la mawaziri na kuzitaka pande husika zikamilishe hatua zote za kuunda taasisi za serikali hiyo ya mpito.
Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameonana na Ban Ki mooon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na kujadiliana naye hali ya kisiasa na kiusalama ya nchi hiyo.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtaka kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Rieck Machar arejee katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema jitihada za kupambana na mabadiliko ya tabianchi ni kwa ajili ya vizazi vijavyo, wakati ambapo kila siku rekodi za uchafuzi wa hali ya hewa zinavunjwa.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu kuenea harakati za kundi la kigaidi la Daesh kote ulimwenguni.