Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema siku ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya Rwanda hapo mwaka 1994 ni siku ya kutoa heshima kwa wahanga wa mauaji hayo na kuzidisha upendo kwa ajili ya kuimarisha uadilifu kote duniani.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesisitiza kwa mara nyengine tena kuwa mgogoro wa Syria hauwezi kutatuliwa kwa kutumia nguvu za kijeshi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amekaribisha kuwasili kwa Baraza la Urais la Libya mjini Tripoli mnamo Machi 30, 2016, akitaja kuwasili huko kama hatua muhimu katika kutekeleza makubaliano ya kisiasa ya Libya.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema ameshtushwa na ripoti za matukio mapya ya kashfa za unyanyasaji wa kingono uliofanywa na askari wa kulinda amani wa umoja huo nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amebainisha wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la ubaguzi na ghasia inayohusiana na chuki za kibaguzi duniani kote.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco Salahuddin Mizwar, amesema nchi yake ina hitilafu na malalamiko dhidi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa binafsi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti nchini Nigeria na kuua watu 25.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani jinai mpya zilizofanywa na utawala wa Saudi Arabia baada ya kushambulia soko la Khamis katika mkoa wa Hajjah huku kaskazini magharibi mwa Yemen.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuchukuliwa hatua kali dhidi ya askari wa kulinda amani wa kimataifa waliohusishwa na vitendo vya kunajisi wanawake.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameonya kuwa magaidi wakufurishaji wa Daesh wanaenea kwa kasi ya kuogofya nchini Libya.