Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bashar al Assad

  • Araghchi: Matukio ya Syria ni sehemu ya njama za Wamarekani na Wazayuni dhidi ya eneo

    Araghchi: Matukio ya Syria ni sehemu ya njama za Wamarekani na Wazayuni dhidi ya eneo

    Dec 02, 2024 07:23

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo yake na Rais Bashar al-Assad wa Syria mjini Damascus, kwamba matukio ya Syria ni sehemu ya njama za Wazayuni na Wamarekani dhidi ya eneo la Asia Magharibi.

  • Kiongozi Muadhamu: Muqawama ni utambulisho mzuri sana wa Syria

    Kiongozi Muadhamu: Muqawama ni utambulisho mzuri sana wa Syria

    May 30, 2024 13:02

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muqawama ni utambulisho mzuri na bora wa Syria na akaeleza kwamba, nafasi maalumu iliyonayo Syria katika eneo ni kutokana na utambulisho huu na sifa hiyo muhimu inapaswa kuhifadhiwa.

  • Rais wa Syria: Mshikamano wa nchi za Kiarabu unapelekea kupatikana utulivu katika eneo

    Rais wa Syria: Mshikamano wa nchi za Kiarabu unapelekea kupatikana utulivu katika eneo

    Apr 29, 2024 03:06

    Rais wa Syria amesema kuwa kuwepo mshikamamo baina ya nchi za Kiarabu na kutekeleza hatua za pamoja kutapelekea kupatikana amani na uthabiti katika eneo.

  • Raisi katika mazungumzo na Bashar Assad: Nguvu ya mapambano ndio kigezo kikuu

    Raisi katika mazungumzo na Bashar Assad: Nguvu ya mapambano ndio kigezo kikuu

    Nov 12, 2023 06:39

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria wamesisitiza katika mazungumzo yao kuwa nguvu na uwezo wa mapambano ndio kigezo kikuu na cha mwisho kinachopasa kuzingatiwa na Waislamu.

  • Bashar Assad: Marekani inashirikiana na magaidi

    Bashar Assad: Marekani inashirikiana na magaidi

    Sep 30, 2023 07:16

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amezungumzia kuwepo kwa magaidi katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo na jinsi Marekani ilivyo na udhibiti kamili wa maeneo hayo na kusisitiza kwamba Washington inashirikiana na magaidi.

  • Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China

    Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China

    Sep 23, 2023 11:32

    Rais Bashar al Assad wa Syria Alhamisi ya juzi tarehe 21 Septemba aliwasili katika mji wa Hangzhou mashariki wa China kwa lengo la kushiriki katika hafla ya ufunguzi wa michezo ya Asia ya Hangzhou na kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Xi Jin Ping wa nchi hiyo.

  • Abdollahian: Iran itaendelea kusimama pamoja na Syria hadi kutokomeza kabisa ugaidi

    Abdollahian: Iran itaendelea kusimama pamoja na Syria hadi kutokomeza kabisa ugaidi

    Aug 31, 2023 12:14

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza haja ya kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi ya Syria na kusisitiza kwamba, Iran itaendelea kusimama pamoja na Syria katika kukamilisha kampeni yake dhidi ya ugaidi.

  • Rais wa Syria afanya ziara ya kihistoria nchini Saudi Arabia + Video

    Rais wa Syria afanya ziara ya kihistoria nchini Saudi Arabia + Video

    May 19, 2023 02:25

    Rais Bashar al Assad wa Syria usiku wa kuamkia leo Ijumaa amewasili nchini Saudi Arabia kwa ajili ya kushiriki katika kikao cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ikiwa ni ziara ya kwanza ya kutembelea nchi hiyo tangu Syria ilipotumbukizwa kwenye mgogoro wa uvamizi wa magenge ya kigaidi.

  • Rais wa Iran:  Syria imeibuka na ushindi licha ya vitisho na vikwazo

    Rais wa Iran: Syria imeibuka na ushindi licha ya vitisho na vikwazo

    May 03, 2023 11:40

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, serikali ya Syria pamoja na wananchi wa nchi hiyo wamepitia masaibu na matatizo mengi na hii leo taifa hilo limeweza kuibuka ushindi.

  • Saudia yamwalika Rais Assad wa Syria katika kikao cha Riyadh cha viongozi wa Arab League

    Saudia yamwalika Rais Assad wa Syria katika kikao cha Riyadh cha viongozi wa Arab League

    Apr 04, 2023 02:11

    Shirika la habari Reuters limeripoti kuwa, Saudi Arabia inapanga kumualika Rais Bashar al-Assad wa Syria kuhudhuria mkutano ujao wa wakuu wa nchi za Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS