-
Gazeti la Oman: Wakati umewadia wa nchi za Kiarabu kurejea Syria
Feb 21, 2023 10:55Kufuatia safari ya Rais Bashar al Assad wa Syria nchini Oman na mazungumzo aliyofanya mjini Muscat na Sultan Haitham bin Tariq wa nchi hiyo gazeti moja la nchi hiyo limeandika kuwa wakati umewadia kwa nchi za Kiarabu kurudi Syria na kuanzisha tena uhusiano wa kawaida na nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Zaidi ya dazeni mbili za vyama vya Kiarabu vyataka kuondolewa haraka vikwazo dhidi ya Syria
Feb 18, 2023 03:32Zaidi ya dazeni mbili za vyama vya siasa vya Kiarabu vimetaka kuondolewa haraka vikwazo vyote vilivyowekwa na Marekani na washirika wake wa Magharibi dhidi ya Syria, hususan baada ya tetemeko kubwa la ardhi la 7.8 kwa kipimo cha Rishta lililoathiri maeneo ya kaskazini mwa Syria na nchi jirani ya Uturuki.
-
Rais wa Syria asisitiza ulazima wa kupambana na misingi ya kifikra ya ugaidi
Aug 27, 2022 03:22Rais Bashar al Assad wa Syria amesisitiza ulazima wa kupambana na misingi ya kifikra ya ugaidi na akaeleza kwamba, kupambana na ugaidi hakutawezekana kwa kutumia nguvu za kijeshi pekee, kwa sababu idiolojia ya mitazamo ya kufurutu ada haitambui mipaka bali inajipanua na kuenea kwa kasi kutoka nchi moja hadi nyingine.
-
Raisi: Iran inapinga uingiliaji wowote wa ajinabi nchini Syria
Jul 10, 2022 09:09Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran inaunga mkono amani na uthabiti na inapinga uingiliaji wowote wa madola ajinabi katika mambo ya ndani ya Syria.
-
Safari ya kwanza ya Bashar Assad mjini Aleppo (Halab)
Jul 10, 2022 07:10Rais Bashar al-Assad wa Syria aliutembele mji wa Aleppo (Halab) siku ya Ijumaa na sambamba na kushiriki katika swala ya Eid al-Adha, alizindua miradi kadhaa ya kiuchumi na maendeleo katika mji huo.
-
Rais wa Iran: Mustakabali wa eneo hili utaamuliwa na wanamapambano, sio meza ya mazungumzo
May 09, 2022 03:13Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kitakachoamua mustakabali wa eneo la Asia Magharibi na Palestina sio meza za mazungumzo na makubaliano kama yale ya "Oslo", "Camp David" na" Muamala wa Karne", bali muqawama na mapambano ya mataifa ndiyo yatakayoamua na kupanga utaratibu mpya wa kanda hiyo.
-
Kiongozi Muadhamu: Syria imeibuka mshindi katika vita vikubwa vya kimataifa
May 08, 2022 13:51Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kusimama kidete taifa na serikali ya Syria na kuibuka mshindi katika vita vikubwa vya kimataifa kumeandaa mazingira ya kupata hadhi na kuheshimika zaidi nchi hiyo duniani.
-
Syria: Habari ya jaribio la mauaji dhidi ya Rais Bashar al-Assad siyo ya kweli
May 02, 2022 10:41Vyombo vya habari vya Syria vimetangaza kuwa, habari ya jaribio la mauaji dhidi ya Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo haina ukweli wowote.
-
Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko Imarati
Mar 21, 2022 02:35Rais wa Syria Bashar al-Assad Ijumaa iliyopita alifanya ziara yake ya kwanza katika nchi ya Kiarabu baada ya miaka 11. Assad alitembelea nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika ziara ambayo imewashangaza wengi na kuikasirisha mno serikali ya Marekani
-
Bashar al-Assad: Magharibi imegeuza dunia kuwa msitu
Mar 18, 2022 14:58Rais Bashar al-Assad wa Syria amekosoa sera za nchi za Magharibi dhidi ya nchi yake na kusema: "Magharibi imeigeuza dunia kuwa msitu."