Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bashar al Assad

  • Rais Bashar al-Assad: Uelewa wa mataifa ya Kiarabu ni sababu ya umoja

    Rais Bashar al-Assad: Uelewa wa mataifa ya Kiarabu ni sababu ya umoja

    Aug 01, 2017 13:05

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, raia wa mataifa ya Kiarabu wamethibitisha kuwa, wana kiwango cha hali ya juu cha uelewa kuhusu matukio yanayojiri katika eneo la Mashariki ya Kati na kwamba suala hilo linatakiwa liwe kivutio kwa ajili ya umoja wa mataifa yote.

  • Bashar Assad: Syria inakabiliwa na ugaidi hatari

    Bashar Assad: Syria inakabiliwa na ugaidi hatari

    Aug 01, 2017 07:50

    Rais wa Syria amesema kuwa, nchi hiyo inakabiliwa na ugaidi ambao hauna kifani katika historia ya sasa katika upande wa ukubwa wake, chuki na ukatili wake.

  • Rais Bashar al-Assad: Umoja na mshikamano ndio umeshinda fikra za ukufurishaji nchini Syria

    Rais Bashar al-Assad: Umoja na mshikamano ndio umeshinda fikra za ukufurishaji nchini Syria

    Jul 10, 2017 04:13

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amekutana na shakhsia mbalimbali na wawakilishi wa asasi za kiraia mjini Hama na kusema kuwa, uelewa wa Wasyria umezuia kupenya fikra ghalati za uchupaji mipaka na ukufurishaji nchini humo.

  • Al-Assad: Wasyria wamewashinda magaidi kwa umoja na mshikamano

    Al-Assad: Wasyria wamewashinda magaidi kwa umoja na mshikamano

    Jul 05, 2017 04:06

    Rais Bashara al-Assad wa Syria amesema kuwa, Wasyria wameweza kuyashinda makundi ya kigaidi yanayowakufurisha Waislamu kwa umoja na mshikamano wao.

  • Ujerumani: Ni lazima kushirikiana na Assad ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    Ujerumani: Ni lazima kushirikiana na Assad ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    Jun 29, 2017 07:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesisitiza kuwa ni lazima kushirikiana na serikali ya Rais Bashar Assad wa Syria ili kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • Macron: Si muhimu sasa suala la kuondolewa Assad madarakani huko Syria

    Macron: Si muhimu sasa suala la kuondolewa Assad madarakani huko Syria

    Jun 22, 2017 08:03

    Rais wa Ufaransa amesema kuwa, suala la kuondolewa madarakani Rais Bashar Assad wa Syria halipewi tena kipaumbele kwa ajili ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo katika mtazamo wa Ufaransa.

  • Rais Rouhani: Iran na Syria zinashirikiana kuangamiza ugaidi

    Rais Rouhani: Iran na Syria zinashirikiana kuangamiza ugaidi

    Jun 09, 2017 04:32

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mapambano halisi na ya kweli dhidi ya ugaidi na kurejesha amani ya kudumu katika eneo la Mashaiki ya Kati ni lengo la pamoja la Iran na Syria.

  • Assad: Magaidi wanapata himaya ya Marekani, wanatumia kila mbinu vitani Syria

    Assad: Magaidi wanapata himaya ya Marekani, wanatumia kila mbinu vitani Syria

    Apr 23, 2017 03:54

    Rais Bashar al Assad wa Syria amesema maadui wa taifa la Syria hasa magaidi wakufurishaji wanaopata himaya ya Marekani wanatumia kila mbinu katika vita vyao dhidi ya watu wa Syria.

  • Assad: Nchi za Magharibi zinazuia uchunguzi kuhusu

    Assad: Nchi za Magharibi zinazuia uchunguzi kuhusu

    Apr 21, 2017 07:03

    Rais Bashar la al-Assad wa Syria anasema nchi za Magharibi zinalenga kuzuia uchunguzi huru kuhusu kile kilichotajwa kuwa ni hujuma ya silaha za kemikali nchini humo hivi karibuni.

  • White House yakiri kushindwa, yasema Bashar Asad aheshimiwe kama Rais wa Syria

    White House yakiri kushindwa, yasema Bashar Asad aheshimiwe kama Rais wa Syria

    Apr 01, 2017 07:45

    Baada ya magaidi wanaofadhiliwa na Saudi Arabia, Marekani, Israel na washirika wao kushindwa kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria kwa kipindi cha miaka 6 iliyopita, Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Marekani, White House amekiri kwamba kuna ulazima wa kukubali hali halisi ya kisiasa nchini Syria na kumuheshimu Rais wa nchi hiyo, Bashar Assad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS