Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Benki

  • Kufilisika benki za Marekani na hofu ya madhara yake

    Kufilisika benki za Marekani na hofu ya madhara yake

    Mar 18, 2023 04:05

    Mtikisiko uliosababishwa na kufilisika kwa Benki ya Silicon Valley (SVB) unaendelea kushuhudiwa katika jamii ya Marekani. Wataalamu wengi pia wana wasiwasi kuhusu mustakbali wa uwekezaji na hali ya uchumi katika nchi hiyo na uwezekano wa hali hiyo kuhamia katika maeneo mengine, ikiwa ni pamoja na Ulaya.

  • Benki za Kiislamu Tanzania zakumbatiwa na wasiokuwa Waislamu

    Benki za Kiislamu Tanzania zakumbatiwa na wasiokuwa Waislamu

    Apr 07, 2022 01:57

    Benki za Kiislamu nchini Tanzania zimeendelea kupata umaarufu na kupongezwa kwa huduma zao, na sasa zinawavutia kwa wingi hata wateja wasiokuwa Waislamu nchini humo.

  • Vikwazo vipya vya Marekani, njama za juu zaidi za serikali ya Trump dhidi ya wananchi wa Iran

    Vikwazo vipya vya Marekani, njama za juu zaidi za serikali ya Trump dhidi ya wananchi wa Iran

    Oct 10, 2020 02:33

    Baada ya Marekani kujitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018, White House imewawekea wananchi wa Iran vikwazo vya kiwango cha juu na hadi hivi sasa bado viongozi wa Washington wanaendelea kuongeza vikwazo hivyo.

  • Marekani yaiwekea Iran vikwazo vingine vipya vya kibenki

    Marekani yaiwekea Iran vikwazo vingine vipya vya kibenki

    Oct 08, 2020 14:23

    Serikali ya Marekani imeiwekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo vipya vya kibenki ukiwa ni mwendelezo wa mashinikizo na vikwazo vya kidhalimu vya Washington dhidi ya Tehran.

  • Kuthibitika kuwa uchumi wa Marekani umeingia katika mdororo mkubwa

    Kuthibitika kuwa uchumi wa Marekani umeingia katika mdororo mkubwa

    Mar 21, 2020 06:08

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitumai kutumia madai yake ya mafanikio ya kiuchumi katika kampeni zake za uchaguzi wa rais nchini humo mwaka huu wa 2020, lakini hakuwa ametabiri kuhusu kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona ambao umepelekea kuporomoka masoko ya hisa Marekani na hivyo kuingiza uchumi huo mkubwa zaidi duniani katika mdororo.

  • Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia

    Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia

    Nov 20, 2019 02:29

    Kwa mara nyingine benki za Lebanon zimefunguliwa na kuanza shughuli zake chini ya ulinzi mkali wa maafisa usalama wa nchi hiyo.

  • Banki za Iran ni kati ya banki 10 bora za Kiislamu duniani

    Banki za Iran ni kati ya banki 10 bora za Kiislamu duniani

    Sep 08, 2019 03:30

    Jarida moja maarufu la kimataifa limeorodhesha banki tatu za Iran kuwa kati ya banki 10 bora za Kiislamu duniani.

  • Waislamu Uganda kuendelea kushinikiza mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo

    Waislamu Uganda kuendelea kushinikiza mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo

    Jun 06, 2019 06:18

    Viongozi wa Kiislamu nchini Uganda wamesisitiza kuwa wataendelea kushinikiza utekelezwaji wa mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo.

  • Tanzania yazidi kubanwa, Denmark na Benki ya Dunia zaifutia ruzuku, mikopo

    Tanzania yazidi kubanwa, Denmark na Benki ya Dunia zaifutia ruzuku, mikopo

    Nov 15, 2018 15:26

    Serikali ya Denmark imefuta mpango wake wa kuipa Tanzania msaada wa dola milioni 10 za Marekani, kulalamikia kile ilichotaja kama rekodi mbaya ya ukiukaji wa haki za binadamu nchini humo, na matamshi 'yasiyokubalika' dhidi ya mashoga.

  • Kutozingatia mashirika mawili ya kifedha ya Marekani vikwazo vya Washington dhidi ya Iran

    Kutozingatia mashirika mawili ya kifedha ya Marekani vikwazo vya Washington dhidi ya Iran

    Aug 25, 2018 13:40

    Gazeti la The Washington Free Beacon limeandika kuwa, mashirika mawili ya kifedha ya Kimarekani, hayafungamani na amri ya kuhitimisha miamala ya kifedha na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS