Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 60 wa Boko Haram jimbo la Borno

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 60 wa Boko Haram jimbo la Borno

    May 31, 2025 10:21

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaua wanachama 60 wa kundi la kigaidi la Boko Haram baada ya kuzima shambulio dhidi ya kambi ya kijeshi huko Bita, eneo la Gwoza, kaskazini mashariki mwa Jimbo la Borno.

  • Jeshi la Nigeria lashadidisha operesheni dhidi ya Boko Haram

    Jeshi la Nigeria lashadidisha operesheni dhidi ya Boko Haram

    May 24, 2025 07:02

    Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaangamiza wanachama 16 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi, huku operesheni dhidi ya magaidi hao zikichachamaa.

  • Magaidi washambulia kambi za jeshi Nigeria, Cameroon na kuua askari 16

    Magaidi washambulia kambi za jeshi Nigeria, Cameroon na kuua askari 16

    Mar 27, 2025 11:08

    Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa magenge ya kigaidi wamefanya mashambulizi yaliyoratibiwa dhidi ya kambi ya jeshi la Cameroon karibu na Ziwa Chad na dhidi ya kituo cha kijeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria, na kuua takriban wanajeshi 16.

  • Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 70 wa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 70 wa Boko Haram

    Jan 27, 2025 12:25

    Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imesema wanamgambo wasiopungua 70 wa Boko Haram waliuawa katika msururu wa operesheni za karibuni za kijeshi katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Jeshi la Nigeria laua 'magaidi' 187 ndani ya wiki moja

    Jeshi la Nigeria laua 'magaidi' 187 ndani ya wiki moja

    Nov 03, 2024 06:16

    Zaidi ya watu 187 wanaoshukiwa kuwa magaidi wameuawa huku wengine 262 wakikamatwa katika operesheni mbalimbali za kupambana na ugaidi za jeshi la Nigeria nchini kote katika muda wa wiki moja iliyopita.

  • Boko Haram yafanya mashambulizi ya kushtukiza na kuua 26 Borno, Nigeria

    Boko Haram yafanya mashambulizi ya kushtukiza na kuua 26 Borno, Nigeria

    Mar 10, 2023 07:16

    Kwa akali watu 26 wameuawa katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulio ya kushtukiza yaliyofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram.

  • Magaidi wa Boko Haram waua raia 17 kaskazini mwa Nigeria

    Magaidi wa Boko Haram waua raia 17 kaskazini mwa Nigeria

    Dec 27, 2022 07:37

    Vyombo vya habari vya Nigeria vimetangaza kuwa, watu 17 wameuawa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kufuatia shambulio lililofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram.

  • Wapiganaji zaidi ya 40 wa Boko Haram waangamizwa Nigeria

    Wapiganaji zaidi ya 40 wa Boko Haram waangamizwa Nigeria

    Dec 03, 2022 06:45

    Mkurugenzi wa Idara ya Habari ya Wizara ya Ulinzi ya Nigeria ametangaza mapema leo Jumamosi kwamba magaidi 44 wa kundi la Boko Haram wameuawa katika operesheni za anga na nchi kavu za jeshi kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji

    Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji

    Jun 11, 2022 07:27

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema kuwa, nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa ujumla wanapaswa kuungana na kuwa kitu kimoja katika vita vya kuangamiza fikra potofu ya ukufurishaji.

  • Magaidi 800 wa Boko Haram wauawa katika eneo la Ziwa Chad

    Magaidi 800 wa Boko Haram wauawa katika eneo la Ziwa Chad

    Jun 11, 2022 02:34

    Mamia ya wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa katika operesheni za Vikosi vya Pamoja vya Kimataifa (MNJTF) katika eneo la Ziwa Chad, magharibi mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS