Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Wanachama 7,000 wa Boko Haram, ISWAP wajisalimisha Nigeria

    Wanachama 7,000 wa Boko Haram, ISWAP wajisalimisha Nigeria

    Mar 24, 2022 03:31

    Wanachama wasiopungua 7,000 wa kundi la kigaidi la Boko Haram na wenzao wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh tawi la Afrika Magharibi (ISWAP) wamejisalimisha kwa maafisa usalama katika kipindi cha wiki moja iliyopita kaskazini mwa Nigeria.

  • Gavana wa Borno Nigeria aonya kuhusu kundi la kigaidi la ISWAP

    Gavana wa Borno Nigeria aonya kuhusu kundi la kigaidi la ISWAP

    Feb 27, 2022 08:11

    Gavana wa Jimbo la Borno, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria hivi karibuni alionya kuhusu hatari ya kuenea satwa ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh tawi la Afrika Magharibi (ISWAP).

  • 24 wauawa katika mapigano baina ya Boko Haram na ISWAP Nigeria

    24 wauawa katika mapigano baina ya Boko Haram na ISWAP Nigeria

    Oct 04, 2021 04:12

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limeua wapiganaji 24 wa kundi hasimu la kigaidi linalojiita Dola la Kiislamu la Mkoa wa Afrika Magharibi (The Islamic State West Africa Province) kwa kifupi ISWAP, huko kaskazini mwa Nigeria.

  • Wanachama 91 wa Boko Haram wajisalimisha kwa jeshi la Nigeria

    Wanachama 91 wa Boko Haram wajisalimisha kwa jeshi la Nigeria

    Aug 01, 2021 07:51

    Wanachama 91 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wamejisalimisha kwa jeshi la Nigeria huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Wanajeshi saba wa Cameroon wauawa katika shambulio la Boko Haram

    Wanajeshi saba wa Cameroon wauawa katika shambulio la Boko Haram

    Jul 25, 2021 01:19

    Wanajeshi wasiopungua saba wa Cameroon wameuawa baada ya wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram kushambulia kambi moja ya kijeshi kaskazini mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50 wa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50 wa Boko Haram

    Jun 04, 2021 02:45

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamiza magaidi wasiopungua 50 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Kuendelea harakati za magaidi nchini Nigeria; wanafunzi 200 watekwa nyara

    Kuendelea harakati za magaidi nchini Nigeria; wanafunzi 200 watekwa nyara

    Jun 02, 2021 02:28

    Makundi ya kigaidi katika eneo la Afrika Magharibi hasa nchini Nigeria yamekithirisha vitendo vya uhalifu, na katika tukio la hivi karibuni wanafunzi karibu 200 wa shule moja ya Kiislamu wametekwa nyara kati mwa Nigeria.

  • Mkuu wa genge la Boko Haram ajipiga risasi kutaka kujiua Nigeria

    Mkuu wa genge la Boko Haram ajipiga risasi kutaka kujiua Nigeria

    May 22, 2021 06:35

    Serikali na jeshi la Nigeria limethibitisha habari zinasosema kuwa, Abubakar Shekau, mkuu wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram amejipiga risasi begani katika jaribio la kutaka kujiua. Hii ni katika hali ambayo vyombo vingi vya habari vimeripoti kuwa, Shekau amejiua.

  • Makumi wauawa katika hujuma za wabeba silaha Nigeria

    Makumi wauawa katika hujuma za wabeba silaha Nigeria

    Feb 10, 2021 23:34

    Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi kadhaa ya magenge ya wabeba silaha katika wilaya tano za eneo la kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • ISIS yadai kuhusika na kutekwa kambi ya jeshi Nigeria

    ISIS yadai kuhusika na kutekwa kambi ya jeshi Nigeria

    Jan 17, 2021 08:00

    Maafisa usalama na mamia ya wakazi wa mji mmoja katika jimbo la Borno la kaskazini mwa Nigeria wamelazimika kuyakimbia makazi yao baada ya genge la magaidi waliojizatiti kwa silaha kushambulia na kudhibiti kambi ya jeshi katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS