Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Shambulio la bomu la Boko Haram laua askari 11 Nigeria

    Shambulio la bomu la Boko Haram laua askari 11 Nigeria

    Dec 30, 2020 14:55

    Maafisa usalama 11 wakiwemo wanajeshi wanne wameuawa katika shambulio la bomu la kutegwa ardhini la kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno huko kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Magaidi wa Boko Haram wateka nyara makumi ya wakata mbao Nigeria

    Magaidi wa Boko Haram wateka nyara makumi ya wakata mbao Nigeria

    Dec 27, 2020 15:28

    Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wamewateka nyara wakata mbao zaidi ya 40 na kuwaua wengine watatu katika jinai yao ya hivi karibuni.

  • Boko Haram yashambulia vijiji kadhaa na kuua katika mkesha wa Krismasi

    Boko Haram yashambulia vijiji kadhaa na kuua katika mkesha wa Krismasi

    Dec 25, 2020 13:39

    Watu saba wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kushambulia vijiji kadhaa katika majimbo ya Borno na Adamawa nchini Nigeria, usiku wa kuamkia leo.

  • Mamia ya wanafunzi waliotekwa na Boko Haram waachiwa huru

    Mamia ya wanafunzi waliotekwa na Boko Haram waachiwa huru

    Dec 18, 2020 07:22

    Vyombo vya usalama vya Nigeria vimetangaza habari ya kuwanusuru karibu wanafunzi wavulana 350 kati ya 520 wa shule ya upili ya eneo la Kankara kaskazini magharibi mwa nchi, waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Jeshi la Nigeria limefanikiwa kuwakomboa wanafunzi kadhaa waliokuwa wametekwa nyara  huko Katsina

    Jeshi la Nigeria limefanikiwa kuwakomboa wanafunzi kadhaa waliokuwa wametekwa nyara huko Katsina

    Dec 16, 2020 08:11

    Maafisa wa Nigeria wameeleza kuwa, wanafunzi kadhaa waliokuwa wametekwa nyara na magaidi wa kundi la Boko Haram wamekombolewa.

  • Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram huko Niger

    Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram huko Niger

    Dec 14, 2020 07:43

    Magaidi wa kundi la Boko Haram wamekishambulia kijiji kimoja kusini mashariki mwa Niger na kuua na kujeruhi watu kadhaa.

  • Jinai mpya ya Boko Haram, muendelezo wa misimamo ya kufurutu ada Afrika

    Jinai mpya ya Boko Haram, muendelezo wa misimamo ya kufurutu ada Afrika

    Nov 30, 2020 13:14

    Baada ya makundi ya kigaidi kudhoofishwa katika maeneo mbali mbali ya Asia Magharibi, hivi sasa makundi hayo yameeneza satwa yao na kuimarika katika maeneo mbali ya barani Afrika ambapo yamekithirisha hujuma. Katika tukio la hivi karibuni, magaidi wakufurishaji wa Boko Haram wameua wakulima 110 katika kijiji cha Koshobe karibu na Maiduguri, mji mkuu wa jimbo la Borno ambalo ni kitovu cha magaidi hao, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Kwa akali wakulima 43 wauawa na Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Kwa akali wakulima 43 wauawa na Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Nov 29, 2020 07:49

    Maafisa wa serikali ya Nigeria wametangaza kuwa, kwa akali watu 43 wameuawa kikatili kufuatia mashambulio yaliyofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Boko Haram yatungua helikopta Nigeria na kuua watu 5

    Boko Haram yatungua helikopta Nigeria na kuua watu 5

    Nov 19, 2020 06:55

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limetungua ndege aina ya helikopta huko kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua watu watano.

  • Wanachama 75 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Wanachama 75 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Nov 04, 2020 11:47

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS