-
Shambulio la bomu la Boko Haram laua askari 11 Nigeria
Dec 30, 2020 14:55Maafisa usalama 11 wakiwemo wanajeshi wanne wameuawa katika shambulio la bomu la kutegwa ardhini la kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno huko kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Magaidi wa Boko Haram wateka nyara makumi ya wakata mbao Nigeria
Dec 27, 2020 15:28Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wamewateka nyara wakata mbao zaidi ya 40 na kuwaua wengine watatu katika jinai yao ya hivi karibuni.
-
Boko Haram yashambulia vijiji kadhaa na kuua katika mkesha wa Krismasi
Dec 25, 2020 13:39Watu saba wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kushambulia vijiji kadhaa katika majimbo ya Borno na Adamawa nchini Nigeria, usiku wa kuamkia leo.
-
Mamia ya wanafunzi waliotekwa na Boko Haram waachiwa huru
Dec 18, 2020 07:22Vyombo vya usalama vya Nigeria vimetangaza habari ya kuwanusuru karibu wanafunzi wavulana 350 kati ya 520 wa shule ya upili ya eneo la Kankara kaskazini magharibi mwa nchi, waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Jeshi la Nigeria limefanikiwa kuwakomboa wanafunzi kadhaa waliokuwa wametekwa nyara huko Katsina
Dec 16, 2020 08:11Maafisa wa Nigeria wameeleza kuwa, wanafunzi kadhaa waliokuwa wametekwa nyara na magaidi wa kundi la Boko Haram wamekombolewa.
-
Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram huko Niger
Dec 14, 2020 07:43Magaidi wa kundi la Boko Haram wamekishambulia kijiji kimoja kusini mashariki mwa Niger na kuua na kujeruhi watu kadhaa.
-
Jinai mpya ya Boko Haram, muendelezo wa misimamo ya kufurutu ada Afrika
Nov 30, 2020 13:14Baada ya makundi ya kigaidi kudhoofishwa katika maeneo mbali mbali ya Asia Magharibi, hivi sasa makundi hayo yameeneza satwa yao na kuimarika katika maeneo mbali ya barani Afrika ambapo yamekithirisha hujuma. Katika tukio la hivi karibuni, magaidi wakufurishaji wa Boko Haram wameua wakulima 110 katika kijiji cha Koshobe karibu na Maiduguri, mji mkuu wa jimbo la Borno ambalo ni kitovu cha magaidi hao, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Kwa akali wakulima 43 wauawa na Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria
Nov 29, 2020 07:49Maafisa wa serikali ya Nigeria wametangaza kuwa, kwa akali watu 43 wameuawa kikatili kufuatia mashambulio yaliyofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Boko Haram yatungua helikopta Nigeria na kuua watu 5
Nov 19, 2020 06:55Kundi la kigaidi la Boko Haram limetungua ndege aina ya helikopta huko kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua watu watano.
-
Wanachama 75 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria
Nov 04, 2020 11:47Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.