-
Wanachama 13 wa Boko Haram wajisalimisha kwa jeshi la Nigeria
Sep 28, 2020 11:47Wanachama 13 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wamejisalimisha kwa jeshi la Nigeria, katika operesheni iliyolenga kusafisha mabaki ya wanamgambo hao huko kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Waliouawa katika shambulizi la Boko Haram Nigeria waongeza
Sep 27, 2020 07:59Idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la kundi la kigaidi la Boko Haram dhidi ya msafara wa Gavana wa jimbo la Borno la kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka na kufikia watu 30.
-
Magaidi 16 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria
Sep 19, 2020 12:47Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa wanachama 16 wa kundi la kigaidi la Boko Haram huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mamilioni ya watu walazimika kuwa wakimbizi eneo la Ziwa Chad kwa sababu ya machafuko
Sep 11, 2020 12:29Harakati za makundi ya waasi na majanga ya kimaumbile yamewalazimisha mamilioni ya watu kuwa wakimbizi katika eneo la Ziwa Chad barani Afrika.
-
Watu 10 wauawa katika shambulizi la Boko Haram, Maiduguri Nigeria
Sep 08, 2020 07:49Watu wasiopungua 10 wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram huko kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Boko Haram yaua watu 15 kaskazini mwa Cameroon
Aug 03, 2020 07:51Wanamgambao wanaoshukiwa kuwa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameua watu 15 na kuwajeruhi wengine 5 katika shambulio la guruneti walilofanya katika kambi ya raia wasio na makazi jana Jumapili huko kaskazini mwa Cameroon.
-
Kundi la kigaidi la Boko Haram laua raia 10 na kuteka nyara wengine saba nchini Chad
Aug 01, 2020 08:06Magaidi wa kundi la ukufurishaji la Boko Haram la nchini Nigeria wameua raia 10 wa Chad katika shambulio dhidi ya kijiji kimoja magharibi mwa nchi hiyo.
-
Askari 10 wa Nigeria wauawa katika mashambulizi ya kigaidi
Jul 14, 2020 07:59Duru za kiusalama nchini Nigeria zimetangaza habari ya kuuawa wanajeshi kumi wa nchi hiyo katika mashambulizi mawili tofauti ya kigaidi kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Jeshi la Nigeria liliua wanachama 75 wa Boko Haram mwezi Juni
Jul 06, 2020 03:29Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa wanachama 75 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni 17 zilizofanyika baina ya Juni Mosi na Juni 30 mwaka huu.
-
Makumi ya wapiganaji wa Boko Haram wauliwa katika shambulizi la jeshi, Nigeria
Jun 28, 2020 02:37Makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameuawa katika shambulizi lililofanywa na jeshi la taifa la Nigeria dhidi ya ngome za kundi hilo huko kaskazini mwa nchi hiyo.