Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Jeshi la Nigeria lashambulia ngome muhimu ya Boko Haram, laua kadhaa

    Jeshi la Nigeria lashambulia ngome muhimu ya Boko Haram, laua kadhaa

    Jun 20, 2020 07:26

    Kituo cha Kamandi ya kuendeshea operesheni za kundi la kigaidi la Boko Haram kimeharibiwa na kusambaratishwa kikamilifu katika mashambulizi kadhaa ya anga yaliyofanywa na jeshi la Nigeria, huko kaskazini mwa nchi.

  • Raia 40, wanajeshi 20 wauawa katika hujuma nchini Nigeria

    Raia 40, wanajeshi 20 wauawa katika hujuma nchini Nigeria

    Jun 14, 2020 07:04

    Raia zaidi ya 40 na wanajeshi wasiopungua 20 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria

    Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria

    Jun 10, 2020 08:01

    Watu 69 wameauwa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwa

    Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwa

    May 30, 2020 03:42

    Jeshi la Nigeria limewaokoa watu 241 waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Askari 19 wa Niger na Nigeria wauawa katika mashambulizi ya Boko Haram

    Askari 19 wa Niger na Nigeria wauawa katika mashambulizi ya Boko Haram

    May 21, 2020 02:35

    Wanajeshi wasiopungua 12 wa Niger wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika eneo la Diffa, kusini mashariki mwa nchi.

  • Wanachama tisa wa Boko Haram wauawa katika mapigano na jeshi la Nigeria

    Wanachama tisa wa Boko Haram wauawa katika mapigano na jeshi la Nigeria

    May 17, 2020 08:00

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limewaua wanamgambo tisa wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika mapigano yaliyotokea kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 75 wa Boko Haram waangamizwa kusini mwa Niger

    Magaidi 75 wa Boko Haram waangamizwa kusini mwa Niger

    May 15, 2020 00:28

    Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika operesheni za jeshi la nchi hiyo huko kusini mashariki mwa nchi.

  • Jeshi la Nigeria lawakomboa raia 72 waliokuwa wakishikiliwa mateka na Boko Haram

    Jeshi la Nigeria lawakomboa raia 72 waliokuwa wakishikiliwa mateka na Boko Haram

    May 14, 2020 11:08

    Jeshi la Nigeria limefanikiwa kuwakomboa raia 72 waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno.

  • Jeshi la Chad laua wapiganaji elfu moja wa Boko Haram

    Jeshi la Chad laua wapiganaji elfu moja wa Boko Haram

    Apr 10, 2020 07:55

    Msemaji wa jeshi la Chad ametangaza kuwa jeshi hilo limewaangamiza magaidi elfu moja wa kundi la Boko Haram huko Magharibi mwa nchi hiyo.

  • Chad: Tumeshawatokomeza magaidi wote wa Boko Haram katika ardhi yetu

    Chad: Tumeshawatokomeza magaidi wote wa Boko Haram katika ardhi yetu

    Apr 07, 2020 14:29

    Serikali ya Chad imetangaza kuwa magaidi wote wa kundi la Boko Haram wameshatokomezwa na kutimuliwa katika ardhi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS