-
Askari 10 wa Nigeria wauawa katika mashambulizi ya kigaidi
Jul 14, 2020 03:29Duru za kiusalama nchini Nigeria zimetangaza habari ya kuuawa wanajeshi kumi wa nchi hiyo katika mashambulizi mawili tofauti ya kigaidi kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Jeshi la Nigeria liliua wanachama 75 wa Boko Haram mwezi Juni
Jul 05, 2020 22:59Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa wanachama 75 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni 17 zilizofanyika baina ya Juni Mosi na Juni 30 mwaka huu.
-
Makumi ya wapiganaji wa Boko Haram wauliwa katika shambulizi la jeshi, Nigeria
Jun 27, 2020 22:07Makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameuawa katika shambulizi lililofanywa na jeshi la taifa la Nigeria dhidi ya ngome za kundi hilo huko kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Jeshi la Nigeria lashambulia ngome muhimu ya Boko Haram, laua kadhaa
Jun 20, 2020 02:56Kituo cha Kamandi ya kuendeshea operesheni za kundi la kigaidi la Boko Haram kimeharibiwa na kusambaratishwa kikamilifu katika mashambulizi kadhaa ya anga yaliyofanywa na jeshi la Nigeria, huko kaskazini mwa nchi.
-
Raia 40, wanajeshi 20 wauawa katika hujuma nchini Nigeria
Jun 14, 2020 02:34Raia zaidi ya 40 na wanajeshi wasiopungua 20 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria
Jun 10, 2020 03:31Watu 69 wameauwa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwa
May 29, 2020 23:12Jeshi la Nigeria limewaokoa watu 241 waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Askari 19 wa Niger na Nigeria wauawa katika mashambulizi ya Boko Haram
May 20, 2020 22:05Wanajeshi wasiopungua 12 wa Niger wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika eneo la Diffa, kusini mashariki mwa nchi.
-
Wanachama tisa wa Boko Haram wauawa katika mapigano na jeshi la Nigeria
May 17, 2020 03:30Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limewaua wanamgambo tisa wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika mapigano yaliyotokea kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Magaidi 75 wa Boko Haram waangamizwa kusini mwa Niger
May 14, 2020 19:58Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika operesheni za jeshi la nchi hiyo huko kusini mashariki mwa nchi.