Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Askari 10 wa Nigeria wauawa katika mashambulizi ya kigaidi

    Askari 10 wa Nigeria wauawa katika mashambulizi ya kigaidi

    Jul 14, 2020 03:29

    Duru za kiusalama nchini Nigeria zimetangaza habari ya kuuawa wanajeshi kumi wa nchi hiyo katika mashambulizi mawili tofauti ya kigaidi kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Jeshi la Nigeria liliua wanachama 75 wa Boko Haram mwezi Juni

    Jeshi la Nigeria liliua wanachama 75 wa Boko Haram mwezi Juni

    Jul 05, 2020 22:59

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa wanachama 75 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni 17 zilizofanyika baina ya Juni Mosi na Juni 30 mwaka huu.

  • Makumi ya wapiganaji wa Boko Haram wauliwa katika shambulizi la jeshi, Nigeria

    Makumi ya wapiganaji wa Boko Haram wauliwa katika shambulizi la jeshi, Nigeria

    Jun 27, 2020 22:07

    Makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameuawa katika shambulizi lililofanywa na jeshi la taifa la Nigeria dhidi ya ngome za kundi hilo huko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria lashambulia ngome muhimu ya Boko Haram, laua kadhaa

    Jeshi la Nigeria lashambulia ngome muhimu ya Boko Haram, laua kadhaa

    Jun 20, 2020 02:56

    Kituo cha Kamandi ya kuendeshea operesheni za kundi la kigaidi la Boko Haram kimeharibiwa na kusambaratishwa kikamilifu katika mashambulizi kadhaa ya anga yaliyofanywa na jeshi la Nigeria, huko kaskazini mwa nchi.

  • Raia 40, wanajeshi 20 wauawa katika hujuma nchini Nigeria

    Raia 40, wanajeshi 20 wauawa katika hujuma nchini Nigeria

    Jun 14, 2020 02:34

    Raia zaidi ya 40 na wanajeshi wasiopungua 20 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria

    Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria

    Jun 10, 2020 03:31

    Watu 69 wameauwa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwa

    Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwa

    May 29, 2020 23:12

    Jeshi la Nigeria limewaokoa watu 241 waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Askari 19 wa Niger na Nigeria wauawa katika mashambulizi ya Boko Haram

    Askari 19 wa Niger na Nigeria wauawa katika mashambulizi ya Boko Haram

    May 20, 2020 22:05

    Wanajeshi wasiopungua 12 wa Niger wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika eneo la Diffa, kusini mashariki mwa nchi.

  • Wanachama tisa wa Boko Haram wauawa katika mapigano na jeshi la Nigeria

    Wanachama tisa wa Boko Haram wauawa katika mapigano na jeshi la Nigeria

    May 17, 2020 03:30

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limewaua wanamgambo tisa wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika mapigano yaliyotokea kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 75 wa Boko Haram waangamizwa kusini mwa Niger

    Magaidi 75 wa Boko Haram waangamizwa kusini mwa Niger

    May 14, 2020 19:58

    Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika operesheni za jeshi la nchi hiyo huko kusini mashariki mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS