Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • Jeshi la Nigeria lawakomboa raia 72 waliokuwa wakishikiliwa mateka na Boko Haram

    Jeshi la Nigeria lawakomboa raia 72 waliokuwa wakishikiliwa mateka na Boko Haram

    May 14, 2020 06:38

    Jeshi la Nigeria limefanikiwa kuwakomboa raia 72 waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno.

  • Jeshi la Chad laua wapiganaji elfu moja wa Boko Haram

    Jeshi la Chad laua wapiganaji elfu moja wa Boko Haram

    Apr 10, 2020 03:25

    Msemaji wa jeshi la Chad ametangaza kuwa jeshi hilo limewaangamiza magaidi elfu moja wa kundi la Boko Haram huko Magharibi mwa nchi hiyo.

  • Chad: Tumeshawatokomeza magaidi wote wa Boko Haram katika ardhi yetu

    Chad: Tumeshawatokomeza magaidi wote wa Boko Haram katika ardhi yetu

    Apr 07, 2020 09:59

    Serikali ya Chad imetangaza kuwa magaidi wote wa kundi la Boko Haram wameshatokomezwa na kutimuliwa katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa nchini Nigeria

    Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa nchini Nigeria

    Mar 28, 2020 07:40

    Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa kwa akali wanachama 100 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa katika operesheni dhidi ya ugaidi iliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo.

  • Makamanda na wanachama wa Boko Haram wauawa katika hujuma za anga Nigeria

    Makamanda na wanachama wa Boko Haram wauawa katika hujuma za anga Nigeria

    Mar 20, 2020 08:55

    Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imethibitisha habari za kuangamizwa makamanda wa ngazi za juu na wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Magaidi wa Boko Haram wahujumu kijiji Chad, waua watu kadhaa

    Magaidi wa Boko Haram wahujumu kijiji Chad, waua watu kadhaa

    Jan 12, 2020 08:22

    Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia kijiji magharibi mwa Chad na kuwaua wanakijiji kadhaa na kuwateka nyara wanawake.

  • Watu 30 wauawa katika mripuko wa bomu nchini Nigeria

    Watu 30 wauawa katika mripuko wa bomu nchini Nigeria

    Jan 07, 2020 04:36

    Kwa akali watu 30 wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea karibu na daraja lenye shughuli nyingi katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Raia wawili wauliwa kaskazini mwa Cameroon katika shambulio la kigaidi la Boko Haram

    Raia wawili wauliwa kaskazini mwa Cameroon katika shambulio la kigaidi la Boko Haram

    Dec 29, 2019 04:39

    Maafisa usalama wa Cameroon wametangaza kuwa raia wawili wameuawa katika shambulio la kigaidi la kundi la Boko Haram katika eneo la kaskazini ya mbali nchini humo.

  • Watu 15 wauawa Nigeria katika shambulizi la Boko Haram

    Watu 15 wauawa Nigeria katika shambulizi la Boko Haram

    Dec 15, 2019 04:22

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika mji wa Magumeri, mkoani Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Mamia ya waliokuwa wakituhumiwa kuwa ni wanachama wa Boko Haram nchini Nigeria waachiliwa huru

    Mamia ya waliokuwa wakituhumiwa kuwa ni wanachama wa Boko Haram nchini Nigeria waachiliwa huru

    Dec 02, 2019 09:01

    Jeshi la Nigeria limewaachilia huru mamia ya raia wa nchi hiyo waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS