-
Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa nchini Nigeria
Mar 28, 2020 12:10Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa kwa akali wanachama 100 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa katika operesheni dhidi ya ugaidi iliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo.
-
Makamanda na wanachama wa Boko Haram wauawa katika hujuma za anga Nigeria
Mar 20, 2020 12:25Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imethibitisha habari za kuangamizwa makamanda wa ngazi za juu na wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Magaidi wa Boko Haram wahujumu kijiji Chad, waua watu kadhaa
Jan 12, 2020 11:52Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia kijiji magharibi mwa Chad na kuwaua wanakijiji kadhaa na kuwateka nyara wanawake.
-
Watu 30 wauawa katika mripuko wa bomu nchini Nigeria
Jan 07, 2020 08:06Kwa akali watu 30 wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea karibu na daraja lenye shughuli nyingi katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Raia wawili wauliwa kaskazini mwa Cameroon katika shambulio la kigaidi la Boko Haram
Dec 29, 2019 08:09Maafisa usalama wa Cameroon wametangaza kuwa raia wawili wameuawa katika shambulio la kigaidi la kundi la Boko Haram katika eneo la kaskazini ya mbali nchini humo.
-
Watu 15 wauawa Nigeria katika shambulizi la Boko Haram
Dec 15, 2019 07:52Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika mji wa Magumeri, mkoani Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Mamia ya waliokuwa wakituhumiwa kuwa ni wanachama wa Boko Haram nchini Nigeria waachiliwa huru
Dec 02, 2019 12:31Jeshi la Nigeria limewaachilia huru mamia ya raia wa nchi hiyo waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Wanajeshi 12 wa Niger wauawa katika shambulio la Boko Haram
Oct 31, 2019 07:57Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa, wanajeshi 12 wa nchi hiyo wameuawa baada ya kambi yao kushambuliwa na kundi la kigaidi la Boko Haram kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Magaidi wa Boko Haram waua watu 27 Nigeria
Oct 06, 2019 12:00Watu 27 wamepoteza maisha kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulizi la kigaidi ambalo limetekelezwa na kundi la Boko Haram linalofungamna na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh).
-
Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram
Oct 05, 2019 15:05Rais wa zamani wa Benin amefichua kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia unawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram wanaoendesha vitendo vya kigaidi magharibi mwa bara la Afrika.