Sep 22, 2019 02:31
Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, kwa akali limewaua makamanda saba wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni dhidi ya wanamgambo hao iliyoendeshwa na jeshi la nchi hiyo likishirikiana na majeshi mengine ya nchi kadhaa katika Ukanda wa Ziwa Chad.