-
Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa kundi la B/Haram wameuwa watu wasiopungua 10 Cameroon
Oct 30, 2017 10:27Washambuliaji wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram jana usiku waliwauwa wanavijiji wasiopungua kumi katika kile kilichotajwa na jeshi na maafisa wa kieneo kuwa mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya mashambulizi ya jeshi la Cameroon.
-
Jeshi la Nigeria laangamiza wanachama kadhaa wa Boko Haram
Oct 27, 2017 23:09Jeshi la Nigeria limewaangamiza wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni maalumu ya jeshi hilo kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Mke wa kiongozi wa Boko Haram ya Nigeria ameuawa?
Oct 26, 2017 04:52Jeshi la Nigeria linachunguza ripoti zinazoashiria kuwa mmoja wa wake wa kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, Abubakar Shekau ameuawa katika shambulizi la anga la hivi karibuni.
-
Boko Haram yaua wanajeshi sita wa Nigeria jimboni Yobe
Oct 26, 2017 01:08Kwa akali wanajeshi sita wa Nigeria wameuwa baada ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kushambulia kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Boko Haram washambulia msafara wa wanajeshi Nigeria
Oct 19, 2017 10:33Wanajeshi watatu wa Nigeria wameuawa baada ya kushambuliwa na genge la kigaidi na la ukufurishaji la Boko Haram.
-
Chad yaondoa askari wa jeshi lake Niger katika vita dhidi ya Boko Haram
Oct 13, 2017 04:05Chad imeondoa mamia ya askari wake katika nchi jirani ya Niger ambako walikuwa wakitoa msaada kwa vikosi vya nchi hiyo kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.
-
Kesi ya mamia ya magaidi wa Boko Haram yaanza kusikilizwa Nigeria
Oct 10, 2017 04:42Wizara ya Sheria ya Nigeria imetangaza habari ya kuanza kusikilizwa kesi ya wanachama zaidi ya elfu mbili wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika mahakama mbalimbali za nchi hiyo.
-
Indhari ya serikali ya Niger kwa wafanyabiashara wanaoshirikiana na kundi la kigaidi la Boko Haram
Oct 01, 2017 10:55Kutokana na kuendelea mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika eneo la magharibi mwa Afrika viongozi wa serikali ya Niger wametoa onyo kwa wafanyabiashara wanaoshirikiana kibiashara au kwa namna yoyote ile na kundi hilo.
-
Serikali ya Niger yawaonya wafanyabiashara wanaoshirikiana na Boko Haram
Oct 01, 2017 00:26Viongozi wa Niger wamewaonya vikali wafanyabiashara ambao wanafanya biashara kwa siri na kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
UNICEF: Zaidi ya nusu ya skuli katika eneo la ngome kuu ya Boko Haram Nigeria zimefungwa
Sep 29, 2017 04:07Huku hujuma na mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria yakiingia katika mwaka wake wa tisa, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limetangaza kuwa zaidi ya nusu ya skuli za jimbo la Borno ambalo ni kitovu cha hujuma na mashambulio ya kundi hilo zimefungwa.