Sep 29, 2017 07:37
Huku hujuma na mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria yakiingia katika mwaka wake wa tisa, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limetangaza kuwa zaidi ya nusu ya skuli za jimbo la Borno ambalo ni kitovu cha hujuma na mashambulio ya kundi hilo zimefungwa.